Mwanamuziki nyota wa Bongo Fleva, Khalid Mohammed 'TID Mnyama' akizikonga nyoyo za mashabiki wa Dar Live katika Usiku wa Mnyama na Wanyama.
Mnyama TID akijiachia kwa mashabiki wake wa Dar Live.
Mwanamuziki Jafarai akipagawisha mashabiki waliofurika katika Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live.
Jay Moe akifanya makamuzi katika steji ya kupanda na kushuka ya Dar Live.
Inspector Haroun akiwapa hi mashabiki wake ndani ya Dar Live.
Mwanadada Naaziz kutoka Kenya akilishambulia jukwaa la Dar Live.
Masai Sharo akifanya vitu vyake stejini.
Mashabiki wakijiachia kijanja ndani ya Dar Live.
TID akitunzwa Cheni na shabiki wake.
TID akifanya manjonjo yake mbele ya Naaziz.
Nyomi ikifuatilia burudani za Idd Pili ndani ya Dar Live.
(PICHA NA RICHARD BUKOS NA GABRIEL NG'OSHA / GPL)

photo ,


Mmoja wa watoto anaelelewa katika kituo cha yatima cha Mwandaliwa Islamic kilichopo Bunju jijini Dar es Salaam,Asha Ramadhan,akihudumiwa futari na baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania,wakati walipokwenda kufutulisha futari watoto hao wa kituo hicho jana.
Ofisa Mkuu wa Idara ya Huduma kwa wateja wa Vodacom Tanzania Harriet Lwakatare akimmiminia uji Ali Shaban (3) wakati wafanyakazi wa kampuni hiyo lipokwenda kufuturisha katika kituo cha kulelea watoto yatima cha Mwandaliwa Islamic kilichopo Bunju jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia akiwasaidia kuweka uji kwa baadhi ya watoto wanaolelewa katika kituo cha yatima cha Mwandaliwa Islamic kilichopo Bunju jijini Dar es Salaam,Wakati wafanyakazi wa kampuni hiyo walipotembelea kituo hicho kwa lengo la kujumuika na watoto hao kufuturu kwa pamoja hapo jana.
Mkuu wa kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia akiwagawia keki baadhi ya watoto wanaolelewa katika kituo cha yatima cha Mwandaliwa Islamic kilichopo Bunju jijini Dar es Salaam.Wakati wafanyakazi wa kampuni hiyo walipotembelea kituo hicho kwa lengo la kujumuika na watoto hao kufuturu kwa pamoja hapo jana.
Baadhi ya watoto wanaolelewa katika kituo cha yatima cha Mwandaliwa Islamic kilichopo Bunju jijini Dar es Salaam,wakifuturu futari iliyoandaliwa kwaajili yao na wafanyakazi wa Vodacom Tanzania hapo jana.
Mkuu wa kitengo cha kusaidia jamii cha Vodacom"Vodacom Foundation"Yessaya Mwakifulefule akiwagawia futari watoto wanaolelewa katika kituo cha yatima cha Mwandaliwa Islamic kilichopo Bunju jijini Dar es Salaam.Ambapo wafanyakazi wa kampuni hiyo waliwatembelea watoto hao na kujumuika pamoja kwa futari hapo jana.
Baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania pamoja na watoto yatima wanaolelewa katika kituo cha Mwandaliwa Islamic kilichopo Bunju jijini Dar es Salaam wakikata keki wakati wafanyakazi wa kampuni hiyo walipowatembelea watoto hao na kujumuika nao kwa futari hapo jana.
Mtoto anaelelewa katika kituo cha yatima cha Mwandaliwa Islamic kilichopo Bunju jijini Dar es Salaam,Mwanaidi Omary.akilishwa keki na Mfanyakazi wa Vodacom Tanzania,Asteria Mallya,wakati wafanyakazi wa kampuni hiyo walipofika kituoni hapo kufuturisha jana.
Mtoto anaelelewa katika kituo cha yatima cha Mwandaliwa Islamic kilichopo Bunju jijini Dar es Salaam,Hamisa Juma akilishwa keki na Mfanyakazi wa Vodacom Tanzania,Asteria Mallya,wakati wafanyakazi wa kampuni hiyo walipofika kituoni hapo kufuturisha,katikati ni Ofisa Mkuu wa Idara ya huduma kwa wateja wa Vodacom Herriet Lwakatare.
Mfanyakazi wa Vodacom Tanzania,Asteria Mallya,akimlisha keki Husn Ramadhani anaelelewa katika kituo cha yatima cha Mwandaliwa Islamic kilichopo Bunju jijini Dar es Salaam,wakati wafanyakazi wa kampuni hiyo walipofika kituoni hapo kufuturisha.Kushoto ni Mkuu wa kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa kampuni hiyo Rosalynn Mworia.

photo , ,


 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Ngosi Mwihava (kushoto) akifungua rasmi mafunzo  yanayowakutanisha wataalamu kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Ofisi ya Makamu wa Rais – Mazingira na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam yanayoendelea mjini Morogoro. Aliyekaa upande wa kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Usimamizi wa Mazingira kutoka Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Gidion  Kasege.
 Mmoja wa wawezeshaji Profesa Pius Yanda kutoka Kituo cha Taaluma ya Mabadiliko ya Tabianchi kilichopo chini ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam akiwasilisha mada wakati wa mafunzo hayo
 Mkuu wa Kitengo cha Usimamizi wa Mazingira Mhandisi Gidion  Kasege  (kulia) na Afisa Mazingira Mkuu na Mratibu wa Mradi wa EMA-ISP Bw. Theodore Silinge kutoka Wizara ya Nishati na Madini wakifuatilia kwa makini mada zilizokuwa zinawasilishwa
 Afisa Mazingira Mkuu na Mratibu wa Mradi wa EMA-ISP kutoka Wizara ya Nishati na Madini Bw. Theodore Silinge akisisitiza jambo wakati wa mafunzo hayo
 Mtaalamu kutoka Idara ya Nishati iliyopo chini ya Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Nyaso Makwaya akisisitiza jambo wakati alipokuwa  akiwasilisha mada kuhusiana na mikakati ya Wizara katika kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi.

photo ,

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Bw. Clement Mshana (kulia) akiwakaribisha wageni walioalikwa katika hafla ya kuhitimisha michuano ya kombe la dunia 2014 iliyofanyika Julai 12, 2014 katika ofisi za Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) zilizopo Mikocheni jijini Dar es Salaam. 
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Prof. Elisante ole Gabriel, akiongea machache katika hafla ya kuhitimisha michuano ya kombe la dunia 2014 iliyofanyika Julai 12, 2014 katika ofisi za Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) zilizopo Mikocheni jijini Dar es Salaam.
Wizara ya Habari, Vijana,Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia akiongea akiongea katika hafla ya kuhitimisha michuano ya kombe la dunia 2014 iliyofanyika Julai 12, 2014 katika ofisi za Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) zilizopo Mikocheni jijini Dar es Salaam. 
Mshehereshaji wa Hafla hiyo Elisha Elia akiongea machache.
Rais wa Bongo Movie, Steve Nyerere akitoa shukrani zake kwa niaba ya wasanii katika hafla ya kuhitimisha michuano ya kombe la dunia 2014 iliyofanyika jana Julai 12, 2014 katika ofisi za Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) zilizopo Mikocheni jijini Dar es Salaam.
Kutoka kushoto ni Mboni Masimba, Mbunge wa Temeke Mh. Abbas Mtemvu pamoja na mchambuzi wa Mpira Manara katika hafla ya kuhitimisha michuano ya kombe la dunia 2014 iliyofanyika Julai 12, 2014 katika ofisi za Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) zilizopo Mikocheni jijini Dar es Salaam. 
Wasanii walioalikwa wakipakua chakula (futari) iliyoandaliwa katika hafla hiyo.
Wasanii mbali mbali walioungana katika hafla hiyo wakipata futari.
Wafanyakazi wa TBC hawakuwa nyuma kujipongeza kwa kazi nzuri waliyoifanya.
Wasanii wakifurahia jambo na Mchambuzi wa Mpira, Mw. Kashasha.
Msanii JB akiongea na Mchambuzi wa Mpira wa Miguu, Mwl. Kashasha.
Wasanii wakijadili mambo.
Dokta Cheni akishow love.
Mw. Kashasha nae alikuwepo.
Meza kuu kutoka kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Bw. Clement Mshana, Mbunge wa Temeke Mhe. Abbas Mtemvu, Wizara ya Habari, Vijana,Utamaduni na Michezo Mh. Juma Nkamia pamoja na Mdau mkubwa wa Michezo, Juma Kipingu wakifuatilia mpira wa fainali ya kombe la dunia 2014, kati ya Argentina na Ujerumani
Wasanii wakifuatilia kwa makini mpira huo.
Wafanyakazi wa TBC nao hawakuwa nyuma.
Wafanyakazi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) wakipongezwa kwa kazi waliyoifanya.
PICHA ZOTE NA CATHBERT KAJUNA WA KAJUNASON BLOG.

photo , ,