Wafuasi wa Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda wakiwa nje ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo huku wakipaza sauti baada Sheikh Ponda kushinda rufaa ya kupinga hukumu ilitolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ya kuvamia na kujimilikisha kwa nguvu kiwanja cha Markaz Chang’ombe jijini Dar es Salaam. Hukumu hiyo ilitolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, mbele ya Hakimu Mkazi Victoria Nongwa, Mei 9, 2013. (Picha na Francis Dande)
 Wafuasi wa Sheikh Ponda.
 Wafuasi wa Sheikh Ponda Issa wakitoka Mahakamani.
  Wafuasi wa Sheikh Ponda Issa wakitoka Mahakamani.
 Gari la Polisi.
 Wafuasi wa Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda wakiwa nje ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam huku wakipaza sauti.
Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda (wa pili kushoto) akitoka katika chumba cha Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kushinda rufaa ya kupinga hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ya kuvamia na kujimilikisha kwa nguvu kiwanja cha Markaz Chang’ombe jijini Dar es Salaam.

Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda akiwa chini ya ulinzi wa askari wa Magereza wakati  akitoka Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.

Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda akitoka katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam baada ya kushinda rufaa ya kupinga hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ya kuvamia na kujimilikisha kwa nguvu kiwanja cha Markaz Chang’ombe jijini Dar es Salaam.
 Wafuasi wa Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda wakiwa nje ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam huku wakipaza sauti baada ya kushinda kesi iliyokuwa ikimakabili.
 Wafuasi wa Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda wakiwa nje ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam huku wakipaza sauti baada ya Sheikh Ponda kushinda kesi iliyokuwa ikimakabili.
  Wafuasi wa Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda wakiwa nje ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam huku wakipaza sauti baada ya Sheikh Ponda kushinda kesi iliyokuwa ikimakabili.
Wafuasi wa Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda wakiwa nje ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam huku wakipaza sauti baada ya Sheikh Ponda kushinda kesi iliyokuwa ikimkabili.
Mfuasi wa  Sheikha Ponda akitoka Mahakamani.

 Ulinzi ukiwa umeimarishwa nje ya Mahakama Kuu Dar es Salaam wakati wa kesi ya Ponda.
  Wafuasi wa Sheikh Ponda Issa wakiwa wamelizunguka basi la Magereza alilokuwa amepanda Sheikh Ponda wakati akielekea mahabusu ya gereza la Keko.
  Wafuasi wa Sheikh Ponda Issa wakilifukuza basi la Magereza alilokuwa amepanda Sheikh Ponda wakati akielekea mahabusu ya gereza la Keko.

photo ,


Mkurugenzi kwa Walipakodi na Elimu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),Richard Kayombo akizungumza wakati wa ufunguzi wa kilele cha Maadhimisho ya nane ya Siku ya Mlipa Kodi,yaliyofanyika leo Novemba 21,2014 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu J.K. Nyerere,Jijini Dar es Salaam.Picha zote na Othman Michuzi.
Brass Band ya JWTZ ikitumbuiza kwenye Maadhimisho hayo wakati wa kuimba Wimbo wa Taifa.
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),Rished Bade akitoa hotuba yake kwenye kilele cha Maadhimisho ya nane ya Siku ya Mlipa Kodi yenye kauli mbiu isemayo "Risiti ni Haki Yako,Unaponunu Dai Risiti na Unapouza ni Lazima Utoe Risiti",yaliyofanyika leo Novemba 21,2014 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu J.K. Nyerere,Jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),Bernard Mchomvu akitoa hotuba yake kwenye kilele cha Maadhimisho ya nane ya Siku ya Mlipa Kodi yenye kauli mbiu isemayo "Risiti ni Haki Yako,Unaponunu Dai Risiti na Unapouza ni Lazima Utoe Risiti",yaliyofanyika Novemba 21,2014 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu J.K. Nyerere,Jijini Dar es Salaam.
Naibu Waziri wa Fedha,Mh. Adam Malima akitoa nasaha zake kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakati wa Maadhimisho ya nane ya Siku ya Mlipa Kodi yenye kauli mbiu isemayo "Risiti ni Haki Yako,Unaponunu Dai Risiti na Unapouza ni Lazima Utoe Risiti",yaliyofanyika  Novemba 21,2014 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu J.K. Nyerere,Jijini Dar es Salaam.
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),Rished Bade akiteta jambo na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),Bernard Mchomvu.
Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya nane ya Siku ya Mlipa Kodi,Waziri Kiongozi (Mstaafu),Mh. Shamsi Vuai Nahodha akitoa hotuba yake katika kilele cha Maadhimisho hayo yaliyofanyika Novemba 21,2014 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu J.K. Nyerere,Jijini Dar es Salaam.Picha zote na Othman Michuzi.

Sehemu ya Wageni waalikwa kutoka nchi mbali mbali wakifatikia kwa makini hotuba ya Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),Rished Bade (hayupo pichani) aliyokuwa akiitoa wakati wa kilele cha Maadhimisho ya nane ya Siku ya Mlipa Kodi yenye kauli mbiu isemayo "Risiti ni Haki Yako,Unaponunu Dai Risiti na Unapouza ni Lazima Utoe Risiti",yaliyofanyika Novemba 21,2014 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu J.K. Nyerere,Jijini Dar es Salaam.
Meya wa Manispaa ya Kinondoni,Mh. Yussuf Mwenda akiwa kwenye Mkutano huo wa kilele cha Maadhimisho ya nane ya Siku ya Mlipa Kodi yenye kauli mbiu isemayo "Risiti ni Haki Yako,Unaponunu Dai Risiti na Unapouza ni Lazima Utoe Risiti",yaliyofanyika leo Novemba 21,2014 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu J.K. Nyerere,Jijini Dar es Salaam.
Kamishna Mkuu wa zamani wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Harry Kitilya akifatilia kwa makini hotuba zilizokuwa zikitolewa Mkutanoni hapo.
Sehemu ya Wadau wa TRA wanaoongoza kwa Ulipaji Kodi wakiwa kwenye Mkutano huo.

Sehemu ya Wafanyakazi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakiwa kwenye Mkutano huo wa kilele cha Maadhimisho ya nane ya Siku ya Mlipa Kodi yenye kauli mbiu isemayo "Risiti ni Haki Yako,Unaponunu Dai Risiti na Unapouza ni Lazima Utoe Risiti",yaliyofanyika leo Novemba 21,2014 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu J.K. Nyerere,Jijini Dar es Salaam.
Wachekeshaji wa Kundi la Orijino Komedi wakiwa ni sehemu ya waalikwa kwenye Maadhimisho hayo yaliyofanyika leo Novemba 21,kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu J.K. Nyerere,Jijini Dar es Salaam.Toka kulia ni Seki,Masanja,Joti,LeProfeseli,Wakuvywanga na Mpoki.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Ilala,Kamishna wa Polisi Msaidizi Mwandamizi (SACP) Mary Nzuki akifatilia jambo wakati wa Mkutano huo wa kilele cha Maadhimisho ya nane ya Siku ya Mlipa Kodi yenye kauli mbiu isemayo "Risiti ni Haki Yako,Unaponunu Dai Risiti na Unapouza ni Lazima Utoe Risiti",yaliyofanyika leo Novemba 21,2014 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu J.K. Nyerere,Jijini Dar es Salaam.
Wachekeshaji wa Kundi la Orijino Komedi kwa nyakati tofauti wakitoa burudani kwa washiriki wa Mkutano huo wa kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Mlipa Kodi yaliyofanyika leo Novemba 21,2014 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu J.K. Nyerere,Jijini Dar es Salaam.
MC Taji Liundi "Master T" akiwa kwenye tabasamu la nguvu kutokana na vichekesho vya Orijino Komedi.
Meza Kuu.
Massanja Mkandamizaji akimwaga maombi ya nguvu ukumbini hapo.

Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),Rished Bade akitafakati jambo.

Mkutano ukiendelea.
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),Rished Bade akimpatia tuzo ya heshima Kamishna Mkuu wa zamani wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Harry Kitilya.
Washindi wa Tuzo mbali mbali.
Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya nane ya Siku ya Mlipa Kodi,Waziri Kiongozi (Mstaafu),Mh. Shamsi Vuai Nahodha (kulia) amkimkabidhi Kombe na Cheti,Meneja wa Kodi wa Kampuni ya Sigara Tanzania (TCC),Godfrey Ferdinand baada ya kuibuka washindi wa tatu kwa Walipa Kodi hodari.
Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya nane ya Siku ya Mlipa Kodi,Waziri Kiongozi (Mstaafu),Mh. Shamsi Vuai Nahodha (kulia) amkimkabidhi Kombe na Cheti,Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Vodacom Tanzania,Rene Meza baada ya kuibuka washindi wa pili (kati ya Watatu Bora) kwa Walipa Kodi hodari.
Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya nane ya Siku ya Mlipa Kodi,Waziri Kiongozi (Mstaafu),Mh. Shamsi Vuai Nahodha (kulia) amkimkabidhi Kombe na Cheti,Meneja wa Huduma za Pamoja wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),Alois Maleck Qande kwa kuibuka mshindi wa kwanza (kati ya Watatu Bora) kwa Walipa Kodi hodari.
Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya nane ya Siku ya Mlipa Kodi,Waziri Kiongozi (Mstaafu),Mh. Shamsi Vuai Nahodha (wa pili kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Washiri watatu wanaolipa kodi vizuri.Washindi hao ni TBL (kulia),Vodacom (pili kushoto) na TCC (kushoto).
Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya nane ya Siku ya Mlipa Kodi,Waziri Kiongozi (Mstaafu),Mh. Shamsi Vuai Nahodha (kulia) akimkabidhi Kombe na Cheti,Mkurugenzi wa Fedha wa Kampuni ya Tanzania Distilleries,Michael Brown (wa tatu kushoto) kwa kuibuka washindi wa jumla kwa walipa kodi wote Tanzania.
Picha ya pamoja na Makamishna Mamlaka za Mapato za nchi mbali mbali Barani Afrika.
Picha ya Pamoja na Washindi mbali mbali.

photo , , ,