TA1
Afisa Mwandamizi Uraghibishi wa Ushindani,Alex Mbaga akizungumza kwenye semina hiyo leo kwa wataalamu wa manunuzi na ugavi kutoka taasisi mbalimbali juu ya manunuzi yanayozingatia thamani (Value for Money) iliyofanyika kwenye hotel ya Tanga Beach Resort mjini hapa.
TA2
Mkuu wa Idara ya Cartels (Makubaliano yanayodhirisha ushindani) kutoka Tume ya Ushindani Dar es Salaam,Shedrack Nkelebe akisisitiza jambo kwenye semina hiyo iliyohusisha wataalamu wa manunuzi na ugavi kutoka taasisi mbalimbali juu ya manunuzi yanayozingatia thamani (Value for Money) iliyofanyika kwenye hotel ya Tanga Beach Resort mjini hapa.
TA3
wataalamu wa manunuzi na ugavi kutoka taasisi mbalimbali nchini wakifuatilia semina ya juu ya manunuzi yanayozingatia thamani (Value for Money) iliyofanyika kwenye hotel ya Tanga Beach Resort mjini hapa
TA4
Wataalamu wa manunuzi na ugavi kutoka taasisi mbalimbali nchini wakifuatilia semina ya juu ya manunuzi yanayozingatia thamani (Value for Money) iliyofanyika kwenye hotel ya Tanga Beach Resort mjini hapa
TA5
Washiriki wa semina hiyo wakiwa kwenye picha ya pamoja leo iliyofanyika kwenye hotel ya Tanga Beach Resort mjini hapa
TA6
Washiriki wa semina hiyo wakiwa kwenye picha ya pamoja leo iliyofanyika kwenye hotel ya Tanga Beach Resort mjini hapa
TA7
Bi Martha Mapalala kutoka mmoja wa waratibu wa semina hiyo inayofanyika mkoani Tanga.
...................................................................................
NA MWANDISHI WETU,TANGA MAAFISA Ugavi nchini wametakiwa kuzingatia ubora wa vitu vinavyonunuliwa kwenye maeneo yao jambo ambalo litapelekea kuondoka bidhaa feki kwenye soko.

Wito huo ulitolewa leo na Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Mzumbe, Noel Mrope wakati wa semina ya wataalamu wa manunuzi na ugavi kutoka taasisi mbalimbali juu ya manunuzi yanayozingatia thamani (Value for Money) iliyofanyika kwenye hotel ya Tanga Beach Resort mjini hapa.

Semina hiyo ilikuwa na lengo la kuwajengea uwezo maafisa hao juu ya umuhimu wa kufanya manunuzi yanayozingatia thamani halisi ya fedha iliyoendeshwa na bodi ya taaluma ya manunuzi na ugavi nchini (PSPTB).

“Pamoja na kuzingatia sheria za Manunuzi lakini kwa kinachonunuliwa kuanzia fedha zilizotumika kwenye manunuzi kwa sababu hali hii itawezesha kuondoa uwepo wa bidhaa feki zinazosambazwa kwenye masoko “Alisema Mdhahiri huyo.

Aidha alisema kuwa mambo ya muhimu yaliyotiliwa mkazo kwenye semina hiyo ni namna ya wataalamu hao kuangalia thamani ya kitu na jinsi gani kinaweza kutumika katika kupandisha thamani yake na ubora ili mwisho wa siku watu wengi waweze kukitumia kitu hicho. “Katika jambo hili lazima wataalamu wa manunuzi kuhakikisha kwa pamoja wanafuata taratibu za manunuzi kwa kuzingatia sheria lengo likiwa kuona uthamani na ubora wa kitu ikiwemo thamani ya fedha halisi iliyotumika “Alisema.

Alisema kuwa kuwa kimsingi maafisa hayo wanatakiwa wanapokwenda kununua vitu wasikimbilie bei ya chini bali waangalie ubora na thamani ya kitu halisia ili kuweza kuzipa changamoto bidhaa zisizokuwa na kiwango kukosa soka na hatimaye kuondoka kwenye soko la ushindani.

Hata hiyo alisema kuwa wananchi wanapobaini kuna vitu vimefanyika kwenye Halmashauri yao chini ya kiwango wanapaswa kulalamika kupitia maeneo husika ili kuweza kukabiliana na hali hiyo.

photo ,






Na Athumani Issa Hanang'

MWANARIADHA mkongwe nchini, Wilhelm Gidabuday, ametangaza rasmi nia ya kugombea Ubunge katika Jimbo la Hanang’ kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kwenye uchaguzi mkuu ujao.

Gidabuday ambaye katika siku za hivi karibuni, amejozelea umaarufu kutokana na misimamo yake ya kutetea masilahi ya wanariadha nchini, aliyabainisha hayo juzi katika mazungumzo maalum na Wazalendo 25 Blog.

Alisema baada ya kufikiria kwa makini huku akifuata ushauri wenye busara kutoka kwa wenyeji wa wilaya ya Hanang’, ameamua kuitikia maombi ya wana Hanang.

Baada ya kufikiri na kushauriwa vizuri na watanzania wenye busara wenyeji wa Hanang’ hatimaye nimeamua kutangaza nia yangu ya kuwania nafasi ya Ubunge katika uchaguzi mkuu wa 2015 kupitia Chadema”, alisema Gidabuday.

Gidabuday alisisitiza kwamba uamuzi wake kugombea nafasi ya Ubunge wa Jimbo hilo, ambalo kwa sasa linashikiliwa na Dkt. Mary Nagu (CCM), umetokana na imani kwamba kugombea nafasi yoyote ni haki ya msingi ya kila Mtanzania kikatiba.

“Kabla ya kujitathmini mwenyewe nilifanyiwa tathmini na rika tofauti ndani ya jamii, makundi hayo yakiwakilisha watu wenye busara katika jamii. mimi nilikumbushwa nijitathmini baada ya wao kuniweka katika orodha ya watu wenye sifa stahiki”, alisema.


Alipoulizwa kuhusu uwezo wake katika kutumikia nafasi hiyo, Gidabuday alisema uzoefu wake katika kupigania maendeleo ya michezo nchini kunampa kiburi kuwa akipewa fursa hiyo atawatumikia wananchi wa jimbo lake.


“Wanaonifahamu watanijibia hili, mwaka 2010, niliongoza harakati za kuwaondoa wavamizi wa vyanzo vya maji pembezoni mwa mlima Hanang, upande wa kijiji cha Nangwa, utakumbuka wavamizi wale walijiamini sana sababu kati yao kulikuwa na wajomba zake Mbunge”, alisema Gidabuday.

Katika siku za hivi karibuni, kutokana na misimamo yake na harakati za kupinga rushwa, Gidabuday alijikutana akiingia kwenye mgogoro na viongozi wa shirikisho la riadha nchini (RT), inayoongozwa na Mbunge wa Mvomero, Anthony Mtaka (CCM).

Mwanaharakati amekuwa akiutuhumu uongozi wa RT, kuhusika na michezo michafu ambayo imepelekea mafanikio kiduchu ya Riadha, alisema kazi yake ya kwanza kama Mbunge itakuwa ni kumaliza migogogro ya ardhi kati ya wakulima na wafugaji Jimboni mwake.

“Nitahakikisha natatua tatizo la migogoro ya ardhi yaliyoanza tangu uvamizi wa mashamba ya Gehandu na Bassotu mwishoni mwa 1960 hadi mwanzoni mwa 1980 kwa kile kilichodaiwa kuwa uwekezaji wa shirika la NAFCO la Canada, kufuatilia kesi iliyopo mahakama ya dunia kuhusu haki ya jamii ya Wadatoga maarufu Wabarbaig”, alisema


Aidha mwanariadha huyo ambaye kwa sasa anaendesha mradi wa Ujenzi wa Kijiji cha michezo cha kitaifa (National Sports Village), alisema akiwa Mbunge atahakikisha ujenzi wa kituo hicho ambacho kimekuwa kikiwekewa pingamizi kutokana na mitizamo mbalimbali na tamaa ya wachache, kinakamilika.

Mwanariadha huyo, alisema msukumo wa kuingia bungeni unatokana na hamu ya kuona rasilimali nyingi za wilaya ya Hanang’ zinatumika kuwakomboa wana Hanang’ kuondokana na lundo la umasikini unaowakabili kwa sasa.

“Wilaya ya Hanang ni tajiri sana, ardhi yenye rutuba, mlima wa tatu kwa urefu Tanzania, msitu wenye wanyama adimu duniani (Extinct & Rare Birds), ziwa la chumvi, mifugo na mazao mengi sana! Iweje wanahanang wanaishi maisha wanayoishi sasa kama si uzembe wa viongozi wasio wazalendo?” alihoji

photo ,



 Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,Balozi Seif Ali Idd (wa pili kushoto) akiwa katika meza kuu pamoja na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI,Mh. Hawa Ghasia (kushoto),Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam,Mh. Said Meck Sadick (wa pili kulia),Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uongozi,Prof. Joseph Sembojo (katikati) pamoja na Dkt. Remy Sietchiping kutoka UN-Habitat wakati wa Mkutano wa Kikanda uliojadili Ukuaji wa maisha ya baadae kwa miji ya Afrika,uliofanyika leo kwenye Hoteli ya Hyatt Regency,Jijini Dar es salaam. Picha na Emmanuel Masaka,Globu ya Jamii.
 Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uongozi,Prof. Joseph Sembojo akizungumza wakati wa ufunguzi Mkutano wa Kikanda uliojadili Ukuaji wa maisha ya baadae kwa miji ya Afrika,uliofanyika leo kwenye Hoteli ya Hyatt Regency,Jijini Dar es salaam. 
 Muwakilishi kutoka Shirika la UN-Habitat,Dkt. Remy Sietchiping akifafanua jambo juu ya changamoto mbali mbali zinazoikabili miji mingi ya mikubwa Afrika Mashariki wakati wa Mkutano wa Kikanda uliojadili Ukuaji wa maisha ya baadae kwa miji ya Afrika,uliofanyika leo kwenye Hoteli ya Hyatt Regency,Jijini Dar es salaam. 
 Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uongozi,Prof. Joseph Sembojo akiteta jambo na Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,Balozi Seif Ali Idd wakati wa Mkutano wa Kikanda uliojadili Ukuaji wa maisha ya baadae kwa miji ya Afrika,uliofanyika leo kwenye Hoteli ya Hyatt Regency,Jijini Dar es salaam.Katikati ni Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI,Mh. Hawa Ghasia. 
 Sehemu wa washiriki wakiw katika Mkutano wa Kikanda uliojadili Ukuaji wa maisha ya baadae kwa miji ya Afrika,uliofanyika leo kwenye Hoteli ya Hyatt Regency,Jijini Dar es salaam.
 Mtoa Mada katika Mkutano huo,Prof. David Simon akizungumza jambo wakati Mkutano wa Kikanda uliojadili Ukuaji wa maisha ya baadae kwa miji ya Afrika,uliofanyika leo kwenye Hoteli ya Hyatt Regency,Jijini Dar es salaam.
 Mmoja wa wadau wa Mkutano huo akichangia mada.
 Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,Balozi Seif Ali Idd akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya ufunguzi wa Mkutano wa Kikanda uliojadili Ukuaji wa maisha ya baadae kwa miji ya Afrika,uliofanyika leo kwenye Hoteli ya Hyatt Regency,Jijini Dar es salaam.
Picha ya pamoja.

Na Chalila Kibuda Makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,Balozi Seif Ali Idd,amesema watu wegi waonaishi maeneo ya mijini katika Afrika na dunia nzima wanapata changamoto ambazo ni lazima ziainishwe katika kuweza kuzikabili.
Balozi Idd ameyasema hayo leo wakati wa ufunguzi wa mkutano wa kikanda uliowakutanisha viongozi na watunga sera kutoka nchi za Afrika Mashariki kuzungumzia changamoto za ukuaji wa miji na kushughulikia hali ya baadaye ya miji ya Afrika na jinsi gani tunataka kuishi mwaka 2050,uliofanyika katika ukumbi wa Hyatt Regency jijini Dar es Salaam.
‘’Maeneo ya mjini  katika Afrika yana  fursa lakini maeneo hayo yana changamoto kutokana na ukuaji wa uchumi pamoja na mwingiliano wa kijamii’’amesema Balozi Idd.
Amesema maeneo ya mijini na majiji ni vituo vya fursa za uchumi,Teknolojia na sehemu ya kubadilishana mawazo na uzoefu  na kufanya watu wa vijijini kuvutika zaidi wakiwemo vijana kukombilia mjini kwa ajili ya urahisi wa kupatikana kwa fursa pamoja na huduma mbalimbali.
Balozi Idd amesema watu wanaokwenda katika  majiji wanajifunza njia  mpya za kuishi na kufikiria jinsi ya kuendesha maisha yao kutokana na kuwepo hali hiyo majiji yanapambana dhidi ya umasikini na kuweka mikakati bora  ya kuendesha majiji hayo.
Aidha amesema kushindikana na uimara katika miji na majiji matokeo yake ni umasikini unaingia ,magonjwa na kuwepo hali hiyo inaleta maswali ambayo yanatakiwa kuangalia ni jinsi gani ya kuweza kuyatatua.
Nae Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uongozi wa Afrika kwa Maendeleo Endelevu,Profesa Joseph Semboja amesema jukwaa hilo la leo ni kuangalia changamoto na fursa mbalimbali  zinazoletwa na ukuaji wa miji ya ukanda wa Afrika Mashariki  na jinsi ya viongozi wa Afrika wanavyoweza kukabiliana nazo kwa pamoja.

‘’Kuna changamoto na uwiano mkubwa wa ongezeko la watu Afrika na duniani kwa ujumla wanaoishi mijini na kusababisha msongamano na shinizo la nyumba ,ajira huduma za kijamii’’amesema Prof.Semboja.

photo , ,

DAR ES SALAAM:WAJUMBE WA TUZO YA JAMII WATEMBELEA UKUMBI KUTAKAKOFANYIKA UTOAJI WA TUZO HIYO MWAKA HUU Ndani ya Ukumbi kutakakofanyika hafla ya utoaji wa Tuzo ya Jamii Wajumbe wa Kamati ya maandalizi ya Tuzo ya Jamii ndani ya ukumbi. Katibu wa Tuzo ya Jamii Amani Theophilas Mwaipaja akisisitiza jambo Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tuzo ya Jamii DJ Malegesi akiwa na Mhandisi Sylvester Mayunga (Mjumbe) Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Maandalizi ya Tuzo ya Jamii itayotolewa Aprili 13 mwaka huu wametembelea katika ukumbi wa Julius Nyerere International Convention Center (JNICC) ambako kutafanyika hafla ya utoaji wa Tuzo hiyo. Tuzo hiyo iliyoandaliwa na Kampuni ya Tanzania Awards International Limited itakuwa katika kipengele cha Tuzo ya Jamii ya heshima itakayotolewa kwa Rais wa awamu ya kwanza wa Tanzania Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere na Rais wa kwanza wa Afrika Kusini Hayati Nelson Mandela. Pamoja na Tuzo hiyo ya heshima pia itatolewa Tuzo ya Haki za binadamu ambapo mshindi atatangazwa siku hiyo, Tuzo kwa mwanasiasa kijana na mwanasiasa mtu mzima mwenye mafanikio katika siasa za Tanzania. Washindi wa siasa watapatikana baada ya kupigiwa kura kupitia huduma ya simu ya mkononi ya PUSH ambapo vigezo vya kutazama unapopiga kura kuwa ni pamoja na uvumilivu katika siasa ,uwezo wa kuibua na kutetea hoja ,ushiriki wake katika kutetea maslahi ya Taifa,ushiriki wake katika huduma za Jamii na Nidhamu katika shughuli zasiasa. Hii itakuwa ni mara ya Kwanza nchini Tanzania kwa Kampuni ya Tanzania Awards Internation Limited kutoa Tuzo ya Heshima kwa viongozi hao huku mgeni rasmi katika hafla hiyo akitarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete. Posted by MADUHU at 7:35 AM 0 comments PICHA:MWILI WA MAREHEMU ESTER MHANDO WAAGWA LEO JIJINI DAR ES SALAAM Mch Geogrey Mbwana akihutubia mamia ya waombolezaji Mume wa Marehemu Dr Herry Muhando wa pili toka kulia Watoto na Wajuu wa Marehemu Mhandisi Mayunga akiimbisha wimbo Mch Geofrey Mbwana akimfariji Dr Herry Mhando Mamia ya ndugu jamaa na marafiki leo walifurika kuuaga mwili wa marehemu Esta Muhando katika Kanisa la Waadventista Wa Sabato Mwenge. Mwili wa Marehemu ambaye alikuwa mke wa Dr Herry Muhando umesafirishwa kwenda Hedaru ambapo mazishi yanatarajiwa kuwa kesho Februari 15 mwaka huu. Ibada ya kuuaga mwili iliendeshwa na Makamu wa Kiongozi wa Kanisa la Waadventista Wa Sabato Mch Geofrey Mbwana ambaye alihimiza watu waliohudhuria kuacha alama zitakazokumbukwa hata baada ya wao kutoweka duniani kama ilivyo kwa marehemu Ester. Posted by MADUHU at 12:21 PM 3 comments KIGALI:TED WILSON AZINDUA CHUO KIKUU CHA SAYANSI NA TEKNOLOJIA CHA WAADVENTISTA WA SABATO Dr Ted Wilson akiteta jambo na Dr Blasious Ruguri Waimbaji wa Ambassadors of Christ waliimba Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Afrika ya Kati cha Kanisa la Waadventista Wa Sabato kilichoko Gishushu,Kigali Rwanda kimezinduliwa rasmi jana na Kiongozi wa Kanisa la Waadventista Wa Sabato Duniani Dr Ted Wilson akiwa ameambatana na viongozi mbalimbali wa Kanisa hilo katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati(ECD) Ted ambaye yuko katika ziara ya kikazi katika ukanda huo aliwasili juzi mjini Kigali akitokea Juba,Sudani ya Kusini huku akitarajiwa kuelekea Uganda kabla ya kurejea Marekani yaliko makao makuu ya kanisa la Waadventista Wa Sabato Duniani. Posted by MADUHU at 4:14 AM 0 comments JUBA:DR TED WILSON AFUNGUA MAJENGO MAWILI YA KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO HUKO JUBA SUDANI YA KUSINI Nyumba ya Kulala Wageni ya ECD iliyofunguliwa Ofisini za Field za Kanisa la Waadventista Wa Sabato zilizoko Juba Kiongozi wa Kanisa la Waadventista Wa Sabato Duniani Dr Ted Wilson akiwa katika ziara yake ya kutembelea nchi zilizoko katika Divisheni ya Afrika Mashariki na Kati amezindua na kufungua majengo mawili huko Juba,Sudani ya Kusini ikiwa ni sehemu ya ziara yake katika eneo hilo. Akiwa Juba Ted Wilson amezindua na kuweka wakfu majengo mawili moja likiwa ni Ofisini za Field na Union ya Ikweta na jengo la pili ni la nyumba ya kulala wageni ya Kanisa la Waadventista Wa Sabato la Divisheni ya Afrika Mashariki na Kati(ECD). Posted by MADUHU at 7:57 AM 0 comments JUBA:KIONGOZI WA KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO DUNIANI TED WILSON AWASILI JUBA,SUDANI YA KUSINI Kiongozi wa Kanisa la Waadventista Wa Sabato Duniani Dr Ted Wilson amewasili Juba,Sudan ya Kusini akitokea nchini Tanzania baada ya kushiriki kwenye sherehe za utume wa kanisa hilo(Mission Extravaganza) zilizofanyika kwa juma zima toka februari mosi mwaka huu na kuhitimishwa kwenye uwanja wa Taifa kuanzia Februari 4 hadi 7,mwaka huu. Ted akiwa nchini Tanzania aliongoza ibada ya siku ya Sabato ambapo alihutubia waumini wa kanisa hilo wapatao 50,000 wanaounda Divisheni ya Afrika Mashariki na Kati yenye nchi 11,huku ukihudhuriwa na Makamu wa Rais Dr Mohamed Gharib Bilal ambaye alizindua mkutano huo akiwataka waumini hao kuombea taifa la Tanzania kudumisha amani,upendo na mshikamano. Mkutano huo ambao pia ulihudhuriwa na viongozi wandamizi wa Kanisa la Waadventista Wa Sabato toka yalipo makao makuu yake huko Washngton DC,Marekani ulishuhudia Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernad Membe akiufunga kwa kulipongeza na kulitaka kanisa hilo kutojiingiza katika migogoro ya aina yoyote. Ted Wilson akiwa ameambatana na viongozi wengine wa Divisheni ya Afrika Mashariki na Kati aliwasili Juba na kupokelewa na viongozi mbalimbali wa kanisa hilo nchini humo ikiwa ni mara ya kwanza kwa kiongozi huyo kutembelea nchini hiyo toka ilipojitenga na Sudani julai 9,2011. Posted by MADUHU at 3:30 AM 0 comments KARIBU RHEVAN STUDIO KWA KAZI ZA VIWANGO KARIBU RHEVAN STUDIO KWA KAZI ZA VIWANGO JIUNGE SASA NA UNIVERSAL COLLEGE OF AFRICA JIUNGE SASA NA UNIVERSAL COLLEGE OF AFRICA TRANSLATE

Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin
DAR ES SALAAM:WAJUMBE WA TUZO YA JAMII WATEMBELEA UKUMBI KUTAKAKOFANYIKA UTOAJI WA TUZO HIYO MWAKA HUU Ndani ya Ukumbi kutakakofanyika hafla ya utoaji wa Tuzo ya Jamii Wajumbe wa Kamati ya maandalizi ya Tuzo ya Jamii ndani ya ukumbi. Katibu wa Tuzo ya Jamii Amani Theophilas Mwaipaja akisisitiza jambo Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tuzo ya Jamii DJ Malegesi akiwa na Mhandisi Sylvester Mayunga (Mjumbe) Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Maandalizi ya Tuzo ya Jamii itayotolewa Aprili 13 mwaka huu wametembelea katika ukumbi wa Julius Nyerere International Convention Center (JNICC) ambako kutafanyika hafla ya utoaji wa Tuzo hiyo. Tuzo hiyo iliyoandaliwa na Kampuni ya Tanzania Awards International Limited itakuwa katika kipengele cha Tuzo ya Jamii ya heshima itakayotolewa kwa Rais wa awamu ya kwanza wa Tanzania Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere na Rais wa kwanza wa Afrika Kusini Hayati Nelson Mandela. Pamoja na Tuzo hiyo ya heshima pia itatolewa Tuzo ya Haki za binadamu ambapo mshindi atatangazwa siku hiyo, Tuzo kwa mwanasiasa kijana na mwanasiasa mtu mzima mwenye mafanikio katika siasa za Tanzania. Washindi wa siasa watapatikana baada ya kupigiwa kura kupitia huduma ya simu ya mkononi ya PUSH ambapo vigezo vya kutazama unapopiga kura kuwa ni pamoja na uvumilivu katika siasa ,uwezo wa kuibua na kutetea hoja ,ushiriki wake katika kutetea maslahi ya Taifa,ushiriki wake katika huduma za Jamii na Nidhamu katika shughuli zasiasa. Hii itakuwa ni mara ya Kwanza nchini Tanzania kwa Kampuni ya Tanzania Awards Internation Limited kutoa Tuzo ya Heshima kwa viongozi hao huku mgeni rasmi katika hafla hiyo akitarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete. Posted by MADUHU at 7:35 AM 0 comments PICHA:MWILI WA MAREHEMU ESTER MHANDO WAAGWA LEO JIJINI DAR ES SALAAM Mch Geogrey Mbwana akihutubia mamia ya waombolezaji Mume wa Marehemu Dr Herry Muhando wa pili toka kulia Watoto na Wajuu wa Marehemu Mhandisi Mayunga akiimbisha wimbo Mch Geofrey Mbwana akimfariji Dr Herry Mhando Mamia ya ndugu jamaa na marafiki leo walifurika kuuaga mwili wa marehemu Esta Muhando katika Kanisa la Waadventista Wa Sabato Mwenge. Mwili wa Marehemu ambaye alikuwa mke wa Dr Herry Muhando umesafirishwa kwenda Hedaru ambapo mazishi yanatarajiwa kuwa kesho Februari 15 mwaka huu. Ibada ya kuuaga mwili iliendeshwa na Makamu wa Kiongozi wa Kanisa la Waadventista Wa Sabato Mch Geofrey Mbwana ambaye alihimiza watu waliohudhuria kuacha alama zitakazokumbukwa hata baada ya wao kutoweka duniani kama ilivyo kwa marehemu Ester. Posted by MADUHU at 12:21 PM 3 comments KIGALI:TED WILSON AZINDUA CHUO KIKUU CHA SAYANSI NA TEKNOLOJIA CHA WAADVENTISTA WA SABATO Dr Ted Wilson akiteta jambo na Dr Blasious Ruguri Waimbaji wa Ambassadors of Christ waliimba Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Afrika ya Kati cha Kanisa la Waadventista Wa Sabato kilichoko Gishushu,Kigali Rwanda kimezinduliwa rasmi jana na Kiongozi wa Kanisa la Waadventista Wa Sabato Duniani Dr Ted Wilson akiwa ameambatana na viongozi mbalimbali wa Kanisa hilo katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati(ECD) Ted ambaye yuko katika ziara ya kikazi katika ukanda huo aliwasili juzi mjini Kigali akitokea Juba,Sudani ya Kusini huku akitarajiwa kuelekea Uganda kabla ya kurejea Marekani yaliko makao makuu ya kanisa la Waadventista Wa Sabato Duniani. Posted by MADUHU at 4:14 AM 0 comments JUBA:DR TED WILSON AFUNGUA MAJENGO MAWILI YA KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO HUKO JUBA SUDANI YA KUSINI Nyumba ya Kulala Wageni ya ECD iliyofunguliwa Ofisini za Field za Kanisa la Waadventista Wa Sabato zilizoko Juba Kiongozi wa Kanisa la Waadventista Wa Sabato Duniani Dr Ted Wilson akiwa katika ziara yake ya kutembelea nchi zilizoko katika Divisheni ya Afrika Mashariki na Kati amezindua na kufungua majengo mawili huko Juba,Sudani ya Kusini ikiwa ni sehemu ya ziara yake katika eneo hilo. Akiwa Juba Ted Wilson amezindua na kuweka wakfu majengo mawili moja likiwa ni Ofisini za Field na Union ya Ikweta na jengo la pili ni la nyumba ya kulala wageni ya Kanisa la Waadventista Wa Sabato la Divisheni ya Afrika Mashariki na Kati(ECD). Posted by MADUHU at 7:57 AM 0 comments JUBA:KIONGOZI WA KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO DUNIANI TED WILSON AWASILI JUBA,SUDANI YA KUSINI Kiongozi wa Kanisa la Waadventista Wa Sabato Duniani Dr Ted Wilson amewasili Juba,Sudan ya Kusini akitokea nchini Tanzania baada ya kushiriki kwenye sherehe za utume wa kanisa hilo(Mission Extravaganza) zilizofanyika kwa juma zima toka februari mosi mwaka huu na kuhitimishwa kwenye uwanja wa Taifa kuanzia Februari 4 hadi 7,mwaka huu. Ted akiwa nchini Tanzania aliongoza ibada ya siku ya Sabato ambapo alihutubia waumini wa kanisa hilo wapatao 50,000 wanaounda Divisheni ya Afrika Mashariki na Kati yenye nchi 11,huku ukihudhuriwa na Makamu wa Rais Dr Mohamed Gharib Bilal ambaye alizindua mkutano huo akiwataka waumini hao kuombea taifa la Tanzania kudumisha amani,upendo na mshikamano. Mkutano huo ambao pia ulihudhuriwa na viongozi wandamizi wa Kanisa la Waadventista Wa Sabato toka yalipo makao makuu yake huko Washngton DC,Marekani ulishuhudia Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernad Membe akiufunga kwa kulipongeza na kulitaka kanisa hilo kutojiingiza katika migogoro ya aina yoyote. Ted Wilson akiwa ameambatana na viongozi wengine wa Divisheni ya Afrika Mashariki na Kati aliwasili Juba na kupokelewa na viongozi mbalimbali wa kanisa hilo nchini humo ikiwa ni mara ya kwanza kwa kiongozi huyo kutembelea nchini hiyo toka ilipojitenga na Sudani julai 9,2011. Posted by MADUHU at 3:30 AM 0 comments KARIBU RHEVAN STUDIO KWA KAZI ZA VIWANGO KARIBU RHEVAN STUDIO KWA KAZI ZA VIWANGO JIUNGE SASA NA UNIVERSAL COLLEGE OF AFRICA JIUNGE SASA NA UNIVERSAL COLLEGE OF AFRICA TRANSLATE

Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin
DAR ES SALAAM:WAJUMBE WA TUZO YA JAMII WATEMBELEA UKUMBI KUTAKAKOFANYIKA UTOAJI WA TUZO HIYO MWAKA HUU Ndani ya Ukumbi kutakakofanyika hafla ya utoaji wa Tuzo ya Jamii Wajumbe wa Kamati ya maandalizi ya Tuzo ya Jamii ndani ya ukumbi. Katibu wa Tuzo ya Jamii Amani Theophilas Mwaipaja akisisitiza jambo Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tuzo ya Jamii DJ Malegesi akiwa na Mhandisi Sylvester Mayunga (Mjumbe) Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Maandalizi ya Tuzo ya Jamii itayotolewa Aprili 13 mwaka huu wametembelea katika ukumbi wa Julius Nyerere International Convention Center (JNICC) ambako kutafanyika hafla ya utoaji wa Tuzo hiyo. Tuzo hiyo iliyoandaliwa na Kampuni ya Tanzania Awards International Limited itakuwa katika kipengele cha Tuzo ya Jamii ya heshima itakayotolewa kwa Rais wa awamu ya kwanza wa Tanzania Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere na Rais wa kwanza wa Afrika Kusini Hayati Nelson Mandela. Pamoja na Tuzo hiyo ya heshima pia itatolewa Tuzo ya Haki za binadamu ambapo mshindi atatangazwa siku hiyo, Tuzo kwa mwanasiasa kijana na mwanasiasa mtu mzima mwenye mafanikio katika siasa za Tanzania. Washindi wa siasa watapatikana baada ya kupigiwa kura kupitia huduma ya simu ya mkononi ya PUSH ambapo vigezo vya kutazama unapopiga kura kuwa ni pamoja na uvumilivu katika siasa ,uwezo wa kuibua na kutetea hoja ,ushiriki wake katika kutetea maslahi ya Taifa,ushiriki wake katika huduma za Jamii na Nidhamu katika shughuli zasiasa. Hii itakuwa ni mara ya Kwanza nchini Tanzania kwa Kampuni ya Tanzania Awards Internation Limited kutoa Tuzo ya Heshima kwa viongozi hao huku mgeni rasmi katika hafla hiyo akitarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete. Posted by MADUHU at 7:35 AM 0 comments PICHA:MWILI WA MAREHEMU ESTER MHANDO WAAGWA LEO JIJINI DAR ES SALAAM Mch Geogrey Mbwana akihutubia mamia ya waombolezaji Mume wa Marehemu Dr Herry Muhando wa pili toka kulia Watoto na Wajuu wa Marehemu Mhandisi Mayunga akiimbisha wimbo Mch Geofrey Mbwana akimfariji Dr Herry Mhando Mamia ya ndugu jamaa na marafiki leo walifurika kuuaga mwili wa marehemu Esta Muhando katika Kanisa la Waadventista Wa Sabato Mwenge. Mwili wa Marehemu ambaye alikuwa mke wa Dr Herry Muhando umesafirishwa kwenda Hedaru ambapo mazishi yanatarajiwa kuwa kesho Februari 15 mwaka huu. Ibada ya kuuaga mwili iliendeshwa na Makamu wa Kiongozi wa Kanisa la Waadventista Wa Sabato Mch Geofrey Mbwana ambaye alihimiza watu waliohudhuria kuacha alama zitakazokumbukwa hata baada ya wao kutoweka duniani kama ilivyo kwa marehemu Ester. Posted by MADUHU at 12:21 PM 3 comments KIGALI:TED WILSON AZINDUA CHUO KIKUU CHA SAYANSI NA TEKNOLOJIA CHA WAADVENTISTA WA SABATO Dr Ted Wilson akiteta jambo na Dr Blasious Ruguri Waimbaji wa Ambassadors of Christ waliimba Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Afrika ya Kati cha Kanisa la Waadventista Wa Sabato kilichoko Gishushu,Kigali Rwanda kimezinduliwa rasmi jana na Kiongozi wa Kanisa la Waadventista Wa Sabato Duniani Dr Ted Wilson akiwa ameambatana na viongozi mbalimbali wa Kanisa hilo katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati(ECD) Ted ambaye yuko katika ziara ya kikazi katika ukanda huo aliwasili juzi mjini Kigali akitokea Juba,Sudani ya Kusini huku akitarajiwa kuelekea Uganda kabla ya kurejea Marekani yaliko makao makuu ya kanisa la Waadventista Wa Sabato Duniani. Posted by MADUHU at 4:14 AM 0 comments JUBA:DR TED WILSON AFUNGUA MAJENGO MAWILI YA KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO HUKO JUBA SUDANI YA KUSINI Nyumba ya Kulala Wageni ya ECD iliyofunguliwa Ofisini za Field za Kanisa la Waadventista Wa Sabato zilizoko Juba Kiongozi wa Kanisa la Waadventista Wa Sabato Duniani Dr Ted Wilson akiwa katika ziara yake ya kutembelea nchi zilizoko katika Divisheni ya Afrika Mashariki na Kati amezindua na kufungua majengo mawili huko Juba,Sudani ya Kusini ikiwa ni sehemu ya ziara yake katika eneo hilo. Akiwa Juba Ted Wilson amezindua na kuweka wakfu majengo mawili moja likiwa ni Ofisini za Field na Union ya Ikweta na jengo la pili ni la nyumba ya kulala wageni ya Kanisa la Waadventista Wa Sabato la Divisheni ya Afrika Mashariki na Kati(ECD). Posted by MADUHU at 7:57 AM 0 comments JUBA:KIONGOZI WA KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO DUNIANI TED WILSON AWASILI JUBA,SUDANI YA KUSINI Kiongozi wa Kanisa la Waadventista Wa Sabato Duniani Dr Ted Wilson amewasili Juba,Sudan ya Kusini akitokea nchini Tanzania baada ya kushiriki kwenye sherehe za utume wa kanisa hilo(Mission Extravaganza) zilizofanyika kwa juma zima toka februari mosi mwaka huu na kuhitimishwa kwenye uwanja wa Taifa kuanzia Februari 4 hadi 7,mwaka huu. Ted akiwa nchini Tanzania aliongoza ibada ya siku ya Sabato ambapo alihutubia waumini wa kanisa hilo wapatao 50,000 wanaounda Divisheni ya Afrika Mashariki na Kati yenye nchi 11,huku ukihudhuriwa na Makamu wa Rais Dr Mohamed Gharib Bilal ambaye alizindua mkutano huo akiwataka waumini hao kuombea taifa la Tanzania kudumisha amani,upendo na mshikamano. Mkutano huo ambao pia ulihudhuriwa na viongozi wandamizi wa Kanisa la Waadventista Wa Sabato toka yalipo makao makuu yake huko Washngton DC,Marekani ulishuhudia Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernad Membe akiufunga kwa kulipongeza na kulitaka kanisa hilo kutojiingiza katika migogoro ya aina yoyote. Ted Wilson akiwa ameambatana na viongozi wengine wa Divisheni ya Afrika Mashariki na Kati aliwasili Juba na kupokelewa na viongozi mbalimbali wa kanisa hilo nchini humo ikiwa ni mara ya kwanza kwa kiongozi huyo kutembelea nchini hiyo toka ilipojitenga na Sudani julai 9,2011. Posted by MADUHU at 3:30 AM 0 comments KARIBU RHEVAN STUDIO KWA KAZI ZA VIWANGO KARIBU RHEVAN STUDIO KWA KAZI ZA VIWANGO JIUNGE SASA NA UNIVERSAL COLLEGE OF AFRICA JIUNGE SASA NA UNIVERSAL COLLEGE OF AFRICA TRANSLATE

Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin



Na Saidi Mkabakuli 

Waziri wa nchi (Ofisi ya Rais) Mahusiano na Uratibu, Mhe. Dkt. Mary Nagu amefanya ziara ya kujitambulisha kwa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango ambayo ni moja taasisi anazoziratibu. 

Akizungumza wakati wa ziara hiyo Dkt. Nagu alitoa wito kwa Tume ya Mipango ijielekeze katika kujibu changamoto kuu za kiuchumi zinazowakabili watanzania kwa sasa ikiwemo umaskini miongoni kwa Watanzania walioko vijijini, ukosefu wa wa viwanda vya kuongeza thamani mazao hasa kipindi hiki Tanzania inapoelekea kwenye uchumi wa gesi. 

Dkt. Nagu aliasa Tume ya Mipango kufanya tafiti mbalimbali za kiuchumi na kijamii zitakazotoa majibu ya changamoto hizo. “Kwa kuwa moja ya majukumu ya Tume ya Mipango ni kuandaa mipango ya maendeleo ya muda mrefu, kati na ile ya kila mwaka na pia kufanya tafiti mbalimbali za kiuchumi na kijamii, napenda kusisitiza kuwa mipango inayoandaliwa ijielekeze katika kujibu changamoto hizo kubwa zinazowakabili wananchi wetu ili kuhakikisha kuwa tunafikia malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025,” alisema Dkt. Nagu. 

Kwa mujibu wa malengo makuu ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025, serikali imejipanga kuhakikisha maisha bora na mazuri kwa kila mtanzania, utawala bora unaozingatia sheria, na kujenga uchumi imara, wa kisasa na ushindani. 

Akizungumza wakati wa kumkaribisha Dkt. Nagu, Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, Dkt. Philip Mpango alisema kuwa majukumu ya msingi ya Tume ya Mipango ni kutoa dira na mwongozo wa uchumi wa Taifa pamoja na kubuni sera za uchumi na mikakati ya mipango ya maendeleo ya Taifa; usimamizi wa uchumi na kufanya utafiti katika nyanja za uchumi na maendeleo ya jamii. 

Dkt. Mpango aliongeza kuwa kwa sasa Tume ya Mipango inafanya kazi ya kuratibu utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo wa Taifa 2014/15 pamoja na uandaaji wa Mpango wa Maendeleo wa Taifa 2015/16 na Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa mwaka 2016/17. “Vilevile, Tume ya Mipango tumejidhatiti katika kuandaa Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Miaka Mitano 2016/17 – 2020/21 ambao utajikita katika kuifikisha tanzania kuwa ni nchi ya viwanda,” alisema Dkt. Mpango. 

Kwa mujibu wa Dkt. Mpango, tangu kuundwa upya kwa Tume ya Mipango mwaka 2008, imefanikiwa kukamilisha kazi kubwa za kitaifa ikiwemo kufanya mapitio ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025, kuandaa Mpango Elekezi wa Miaka 15 (2011/12 – 2025/26 pamoja na kuandaa Mpango wa Kwanza wa Maendeleo wa Miaka Mitano (2011/12 – 2015/16) na kuratibu utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Idadi ya Watu 2006. 

Kazi nyingine ni pamoja na kuandaa Mipango ya Maendeleo ya Taifa kila Mwaka, kuandaa mfumo wa ufuatiliaji na utekelezaji wa miradi ya Matokeo Makubwa Sasa na kuratibu uanzishwaji wa President Delivery Bureau (PDB), Kuandaa Mwongozo wa Usimamizi wa Uwekezaji katika Sekta ya Umma (Public Investiment Management - Operational Manual – PIM-OM), na kufanya tafiti mbalimbali za kiuchumi na kijamii.
Waziri wa nchi (Ofisi ya Rais) Mahusiano na Uratibu, Mhe. Dkt. Mary Nagu (Wapili kushoto) akizungumza na baadhi ya watendaji wa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango alipotembelea na kujitambulisha Tume ya Mipango. Wanaomsikiliza ni Katibu Mtendaji, Dkt. Philip Mpango (Kushoto), Naibu Katibu Mtendaji (Miundombinu na Huduma), Mhandisi Happiness Mgalula (Wapili kulia) na Naibu Katibu Mtendaji (Biashara za Kimataifa na ya Kiuchumi), Bw. Paul Sangawe (Kulia).
Baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango wakimsikiliza Waziri wa nchi (Ofisi ya Rais) na Uratibu, Mhe. Dkt. Mary Nagu (Hayupo pichani) alipotembelea na kujitambulisha Tume ya Mipango.
Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, Dkt. Philip Mpango (Kushoto) akitoa maelezo ya kumkaribisha Waziri wa nchi (Ofisi ya Rais) Mahusiano na Uratibu, Mhe. Dkt. Mary Nagu (Kulia) wakati alipofanya ziara ya kujitambulisha kwa Tume ya Mipango.
Waziri wa nchi (Ofisi ya Rais) Mahusiano na Uratibu, Mhe. Dkt. Mary Nagu akizungumza na watumishi na viongozi wa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango (Hawapo pichani) wakati alipofanya ziara ya kujitambulisha kwa Tume ya Mipango.
Baadhi ya viongozi waandamizi wa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango wakimsikiliza kwa makini Waziri wa nchi (Ofisi ya Rais) Mahusiano na Uratibu, Mhe. Dkt. Mary Nagu (Kulia) wakati alipofanya ziara ya kujitambulisha kwa Tume ya Mipango.
Waziri wa nchi (Ofisi ya Rais) Mahusiano na Uratibu, Mhe. Dkt. Mary Nagu (Kulia) akizungumza na Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, Dkt. Philip Mpango (Kushoto) wakati alipofanya ziara ya kujitambulisha kwa Tume ya Mipango.
Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi (TUGHE) Tawi la Mipango, Bw. Stephen Katemba (aliyesimama) akizungumza wakati Waziri wa nchi (Ofisi ya Rais) Mahusiano na Uratibu, Mhe. Dkt. Mary Nagu alipofanya ziara ya kujitambulisha kwa Tume ya Mipango.
Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, Dkt. Philip Mpango (Kushoto) akimkabidhi zawadi za vitendea kazi Waziri wa nchi (Ofisi ya Rais) Mahusiano na Uratibu, Mhe. Dkt. Mary Nagu alipofanya ziara ya kujitambulisha kwa Tume ya Mipango.
Naibu Katibu Mtendaji (Miundombinu na Huduma), Mhandisi Happiness Mgalula (Kushoto) akimkabidhi zawadi Waziri wa nchi (Ofisi ya Rais) Mahusiano na Uratibu, Mhe. Dkt. Mary Nagu alipofanya ziara ya kujitambulisha kwa Tume ya Mipango.
Naibu Katibu Mtendaji (Biashara za Kimataifa na ya Kiuchumi), Bw. Paul Sangawe (Kushoto) akimkabidhi zawadi ya kitenge Waziri wa nchi (Ofisi ya Rais) Mahusiano na Uratibu, Mhe. Dkt. Mary Nagu alipofanya ziara ya kujitambulisha kwa Tume ya Mipango. Anayeshuhudia ni Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, Dkt. Philip Mpango.
Naibu Katibu Mtendaji (Huduma za Jamii na Masuala ya Idadi ya Watu), Bibi Florence Mwanri (Kulia) akitoa neno la shukrani kwa Waziri wa nchi (Ofisi ya Rais) Mahusiano na Uratibu, Mhe. Dkt. Mary Nagu (Kushoto) alipofanya ziara ya kujitambulisha kwa Tume ya Mipango.
Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, Dkt. Philip Mpango (Kushoto) akiagana na Waziri wa nchi (Ofisi ya Rais) Mahusiano na Uratibu, Mhe. Dkt. Mary Nagu mara alipomaliza ziara yake ya kujitambulisha kwa Tume ya Mipango.

photo ,


 Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),Jaji Damian Lubuva akizungumza wakati wa mkutano na Viongozi wa Vyama vya Siasa uliofanyika  kwenye Ukumbi wa JB Belmonte,Jijini Dar es salaam.Wengine pichani ni Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,Julius Malaba na kulia ni Kamishina wa Tume yaTaifa ya Uchaguzi,Prof. Amon Challigha
Sehemu ya Viongozi wa Vyama vya Siasa waliohudhulia Mkutano huo wakimsikiliza kwa makini Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),Jaji Damian Lubuva (hayupo pichani) leo kwenye Ukumbi wa JB Belmonte,Jijini Dar es salaam.
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini,Jaji Francis Mutungi akichangia mada katika mkutano huo wa Viongozi wa Vyama vya Siasa uliofanyika leo kwenye Ukumbi wa JB Belmonte,Jijini Dar es salaam.
Mwenyekiti wa Chama cha UDP,Mh. John Momose Cheyo akiwa na Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi CCM,Ndg. Nape Nnauye wakati wa mapumziko mafupi ya mkutano huo.
Mwenyekiti wa CHADEMA,Mh. Freeman Mbowe akijadiliana jambo na Katibu Mkuu wa Chama cha ACT,Ndg. Samson Mwigamba.
Eeehh....bwanaaaaa upoooo........?? Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi,Mh. James Mbatia akifurahi jambo na Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi CCM,Ndg. Nape Nnauye.Katikati ni Katibu Mkuu wa CHADEMA,Dkt. Wilbroad Slaa.Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii.

photo ,


 Mke wa Rais na Mjumbe wa NEC Taifa ya Chama Cha Mapinduzi Mama Salma Kikwete akimsikiliza mtoto mwenye mahitaji maalum Mohammed Hashim aliyeweza kuimba vizuri wimbo wa Taifa.
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimpongeza mtoto Mohammed Hashim mara baada ya kuimba wimbo wa Taifa.
  Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akishiriki kufundisha darasa la wanafunzi wenye mahitaji maalum wanaosoma katika Shule ya Msingi Mpilipili huko Lindi tarehe 11.2.2015.
  Mke wa Rais Mama Salma Kikwete aizungumza na wanafunzi wa Shule ya Msingi Mpilipili mara baada ya kutembelea kitengo cha elimu maalum shuleni hapo tarehe 11.2.2015.
 Mke wa Rais na Mjumbe wa NEC Taifa ya CCM Mama Salma Kikwete akisahihisha madaftari ya wanafunzi wenye mahitaji maalum wanaosoma Shule ya Msingi Mpilipili katika Manispaa ya Lindi mara baada ya kuwafundisha na kuwapa zoezi wanafunzi hao tarehe 11.2.2015.
 Mke wa Rais na Mjumbe wa NEC Taifa ya CCM Mama Salma Kikwete akisahihisha madaftari ya wanafunzi wenye mahitaji maalum wanaosoma Shule ya Msingi Mpilipili katika Manispaa ya Lindi mara baada ya kuwafundisha na kuwapa zoezi wanafunzi hao tarehe 11.2.2015.
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete aizungumza na wanafunzi wa Shule ya Msingi Mpilipili mara baada ya kutembelea kitengo cha elimu maalum shuleni hapo tarehe 11.2.2015.
  Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwaelekeza wanafunzi wa Shule ya Msingi Mpilipili namna bora ya kubeba mifagio yao ili kuepuka kuwaumiza wanafunzi wenzao.
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiagana na wanafunzi wa Shule ya Msingi Mpilipili mara baada ya kutembelea kitengo cha elimu maalum tarehe 11.2.2015.
 Mke wa Rais na Mjumbe wa NEC Taifa ya CCM Mama Salma Kikwete akizungumza na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi Tawi la Mtuleni B katika Kata ya Matopeni huko Lindi Mjini tarehe 11.2.2015.
 Mjumbe wa NEC Taifa ya CCM na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiongea na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi Tawi la Mpilipili Kaskazini katika Kata ya Nachingwea huko Lindi Mjini tarehe 11.2.2015.
 Mke wa Rais na Mjumbe wa NEC Taifa ya Chama Cha Mapinduzi Mama Salma Kikwete akisalimiana na mamia ya wananchi wenye shauku kubwa wakati alipowasili kwenye eneo la mkutano wa hadhara kwenye Tawi la Mpilipili Kaskazini katika Kata ya Nachingwea huko Lindi Mjini tarehe 11.2.2015.
 Baadhi ya wananchi waliohudhuria mkutano wa hadhara uliofanyika katika Tawi la CCM Mpilipili Kaskazini wakimsikiliza kwa makini Mke wa Rais Mama Salma Kikwete (hayupo pichani) wakati alipowahutubia tarehe 11.2.2015.
 Mke wa Rais na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi Mama Salma Kikwete akiwahutubia mamia ya wananchi (hawapo pichani) kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika Tawi la Mpilipili katika Kata ya Nachingwea huko Lindi Mjini  tarehe 11.2.2015.
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwapungia mamia ya wananchi wa Kata ya Nachingwea baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara kwenye Tawi la Mpilipili Kaskazini huko Lindi Mjini tarehe 11.2.2015.
Mke wa Rais na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi Mama Salma Kikwete akisalimiana na Mwalimu Mkuu Ndugu Fadhili Mtitima wa Shule ya Msingi Mpilipili iliyoko Manispaa ya Lindi tarehe 11.2.2015. Mama Salma alikwenda shuleni hapo kuwatembelea wanafunzi wenye mahitaji maaalum.
PICHA NA JOHN  LUKUWI

photo , ,