Upendo Merere a.k.a-Perlon mmoja wa wadau wakubwa wa Blog hii akiwa katika pozi wakati akitoka katika kikao cha wanafunzi watokao mikoa ya nyanda za juu kusini kilichofanyika katika ukumbi wa Chuo kikuu Mzumbe-Mbeya Campus.
TASAF YATAKIWA KUJENGA UWEZO WA WANANCHI KUJITEGEMEA
-
Serikali imeutaka Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) kuendana na
utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kwa kuimarisha programu
zinazowawezesha ...
8 hours ago