MIXX yakutanisha wajasiriamali 18 Sabasaba
-
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MIXX imewakutanisha wajasiriamali 18 katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya
Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba), ...
53 minutes ago

Mimi nilitaka nimuone mwili mzima.
WEWE ULITAKA UONE MWILI MZIMA MPAKA WAPI MZEE?HAPO TU UTAMU WOTE UNAONEKA....HII KWELI HAIKUBALIKI...BIG UP MWAIPAJA KWA KUANZISHA MIJADALA KAMA HII....
NIAMINI KWELI MITANDAO INASAIDIA KUFICHUA MAOVU....WABONGO MLIIPATA HII?HAYA NDIYO MAMBO YA DUNIANI...UKISTAAJABU YA MUSA.....
Uyu dada kama kichaa vile mbona wenzie sio ivyo jamani?Au ameshauguaga ukichaaaaaaaa?Nisaidieni na muwe na uwakika.Ni hayo tu.
Acha ushamba wewe yaani hiyo nusu tu unawaka je ingekuwamwili mzima ungesemaje?yaani hata kama una picha ya raisi mstaafu kapiga hivyo ibandike tu kaka kila mtu ana mwili wake wala usiogope
Acheni ujinga nyie kaka zetu! Tatizo la hiyo picha ninini? Shame on you guys!!