Showing posts with label NANENANE. Show all posts
Showing posts with label NANENANE. Show all posts

Wakili Msomi Valentine Kamugisha (mwenye shati Jeupe) akiwa na Mwasisi wa Blog hii Mheshimiwa Amani Mwaipaja ndani ya Banda la Sheria lililomo ndani ya viwanja vya maonyesho ya wakulima Nanenane Morogoro
 Waikili Msomi Valentine Kamugisha akiwa nje ya Banda la Sheria



BANDA LA SHERIA LAWA KIVUTIO NANENANE
Banda la sheria lililomo ndani ya viwanja vya maonyesho ya wakulima nanenane Morogoro limekuwa kivutio kwa watu mbalimbali wakiwemo wakulima, wanafunzi na wanasheria kutokana na ukweli kuwa Banda hilo limekuwa likitoa msaada wa kisheria kwa watu mbalimbali wenye matatizo ya kisheria.

Mbali na banda la sheria kutoa ushauri kuhusu masuala ya kisheria lakini ndani ya banda hilo kuna vitabu, vijarida na vipeperushi mbalimbali vinavyohusu sheria mbalimbali za nchi yetu
 
 

+-

photo





Wakili Msomi Valentine Kamugisha (Wa Kwanza Kulia mwenye Shati Jeupe) akiwa na baashi ya maafisa wa Banda la Wakala wa Mbegu za Kilimo-ASA



photo











photo


Ndugu Abbas Mbwela, Mjasiliamali anayechipukia akiwa katika viwanja vya Maonyesho nanenane.

photo

MDAU

0 Comments Imetumwa na Unknown at 8/04/2013 03:00:00 PM

Naibu  Katibu wa TASO-Kanda ya Mashariki Morogoro Bwana Dastan Lukosi akiwa amepozi nje ya Banda la Sheria alipokuwa akitembelea shughuli mbalimbali ndani ya Viwanja vya Maonyesho ya Wakulima-Nanenane Morogoro

photo

J 






 Bi. Joyce akitoa maelezo kwa timu ya Mwaipaja Blog juu ya  matumizi ya Mafuta yatokanayo na Nazi isiyokomaa

 Mtafiti akitoa maelezo ndani  ya Banda la Wizara ya Kilimo Chakula Na Ushirika ndani ya Banda la Wizara hiyo


 Mtafiti Joseph Mbogoni akitoa maelezo kwa wanaottembelea banda hilo

Baadhi ya watu wakiangalia bidhaa na kupata taarifa ya namna wizara inavyofanya kazi zako ikiwemo kufanya tafiti za kilimo
Baadhi ya Bidhaa zikiwa katika Banda la Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika ndani ya viwanja vya maaonyesho ya wakulima-Nanenane Morogoro 2013

photo ,








Banda la Msaada wa Sheria lililopo ndani ya viwanja vya maonyesho ya wakulima nanenane yanayofanyika Mkoani Morogoro. Banda hili linaendeshwa kwa ufadhili wa Mwanasheria Mshauri na Mtafiti-Amani Mwaipaja

photo