Basi la kampuni ya ABOOD BUS likiwa limepinduka katika eneo la mkambarani siku ya jumatano alfajili ya saa kumi na
moja na kujeruhi watu na kukimbizwa hospitali ya mkoa wa Morogoro, hakuna
mtu aliepoteza maisha katika ajali hiyo.
NBC Yatoa Mikopo ya Makazi kwa Wakulima 57
-
- Yaendelea kukabidhi Malori kwa Vyama vya Ushirika
Kufuatia hatua ya Serikali kukabidhi Shilingi bilioni 300 kwa taasisi saba
za kifedha, ikiwemo Benki...
JUMIA YATOA SAMSUNG S9 NA S9+ KWA WATEJA WAKE
-
Mkurugenzi Mkuu wa Jumia Tanzania, Bw. Zadok Prescott , akimkabidhi simu ya
Samsung Galaxy S9, mteja Happiness Keto aliyoinunua simu hiyo kwa shilingi
5...
0 Responses so far.
Post a Comment