Showing posts with label AJALI. Show all posts
Showing posts with label AJALI. Show all posts

Basi la kampuni ya ABOOD BUS likiwa limepinduka  katika eneo la mkambarani siku ya jumatano alfajili ya saa kumi na moja na kujeruhi watu na kukimbizwa hospitali ya mkoa wa Morogoro, hakuna mtu aliepoteza maisha katika ajali hiyo.

photo