CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA TANZANIA (TPSC) KUFANYA KILELE CHA MAADHIMISHO YA
MIAKA 25 TAREHE 3 JULAI 2026
-
Dar es Salaam, Julai 2026
Mkuu wa Chuo na Mtendaji Mkuu wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC),
Dkt. Ernest Mabonesho, ametangaza kuwa kilele cha m...
1 hour ago

Kujishika tama huku ni kwa kutoka moyoni ama ni kutokana na shinikizo mara nyingi binadamu tunajuta baada ya kutenda na si kujuta kabla ya kutenda,Ila nashukuru tu kwamba jamaa ameonesha mfano kwa kukubali kauchia ngazi kutoakana na kashifa,Viongozi wangapi leo wanakubali kufanya hivi wanataka tu waendelee kurudisha nyuma maendeleo kwa kujinufaisha wenyewe na kufanya ufuska
inaonekana hapo mzee alikuwa kwenye bahari ya mawazo...kuutema urais wakati bado unaupenda sio kazi rahisi
big maduhu kwa kujiunga na kijiji hiki