Wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es salaam wakifungasha vilago baada ya kutolewa kwa tamko la kuondoka chuoni hapo baada ya mgomo wa kuingia darasani ili kuishinikiza serikali kutoa asilimia 100 kkwa hela ya field.
TASAF YATAKIWA KUJENGA UWEZO WA WANANCHI KUJITEGEMEA
-
Serikali imeutaka Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) kuendana na
utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kwa kuimarisha programu
zinazowawezesha ...
8 hours ago