Baadhi ya majengo ya shule ikiwemo maliwato si salama kwa usomaji,mazingira na afya,ni Changamoto inayotakiwa kuchukuliwa hatua za haraka kabla hayajatokea maafa makubwa
photo
KIMAMBA
Wakati wa Likizo...
Madarasa mapya
Maliwatoooooo...
Mwasisi wa Blog hii akikagua Mazingira ya shule
photo
KIMAMBA
Jengo hili linaitwa New Planters,liko jirani na stesheni ya Reli ya Kimamba. Ni moja ya majengo kongwe katika mji wa Kimamba.
Kihistoria jengo hili lilikuwa likimilikiwa na Mgiriki tangu miaka ya 60 ambaye baada ya kufariki aliwaachia urithi wa jengo hili watoto wake wa kiume
Soko la Zamani la Kimamba
Baadhi ya Makazi ya watu yanavyoonekana
Ofisi ya Stesheni ya Reli Kimamba
Hapa kuna mradi wa mashine ya kusaga na Kukoboa. Ni mradi wa wanakikundi akina mama.upo eneo la Mji mpya-Kimamba
photo
KIMAMBA
Kituo kikuu cha Mabasi cha Msamvu
Baadhi ya Abiria wakigombea kuingia ndani ya Basi nje ya kituo cha mabasi cha Msamvu
Jamaa akishuka wakati basi likiwa katika mwendo karibu na Mzunguko wa Magari (Round About ya Msamvu).Ni hatari lakini Salama
Round About ya Msamvu
Njia panda ya kwenda Chuo kikuu cha Mzumbe
Mpishano
Melela Mnadani-Njia Panda ya Kilosa,,panaitwa Melela
photo
KIMAMBA
Emanuel Mabisa hakuwa mbali kumuaga Babu yake Mpendwa
photo
MSIBA
Leo Nyololo kwenye uzinduzi wa mnara wa
kumbukumbu ya mauaji ya Daudi Mwangaosi, Kulia ni Benson Kigaila,wapili
kutoka kulia ni Mdogo wake marehemu mwangosi,anayefuata ni Winfrida,na
wa kwanza kutoka kushoti ni naibu katibu mkuu,Chadema Zanzibar Hamad
Yusuf
photo
KUMBUKUMBU
Na Fatma Salum na Hassan Silayo- MAELEZO
Mfuko wa pensheni wa LAPF unatarajia
kutumia kiasi cha shilingi bilioni 35 katika mradi wa kituo cha mabasi
eneo la msamvu Mkoani Morogoro.
Akizungumza kwenye mkutano na
waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Meneja wa mfuko huo Kanda ya
Mashariki Sayi Lulyalya alisema mradi huo ambao ni ubia kati ya Manispaa
ya Morogoro na mfuko wa LAPF unatarajiwa kuanza wakati wowote mwaka
huu.
photo
morogoro
Movie kali iliyorekodiwa kwa viwango vya kimataifa ya World of Benefit iliyohusisha mastaa kibao wa Kitanzania inaingia sokoni muda wowote kuanzia sasa.
Akizungumza na Timu ya Mwaipaja Blog, Mratibu wa Movie hiyo Macdenis Mgatha amesema kuwa Movie hiyo itaingia sokoni muda wowote kuanzia sasa kwakuwa kila kitu kipo tayari kinachosubiriwa ni taratibu tu za namna ya kuiingiza kwenye soko.
Kila la Kheri World of Benefit
photo
MASTAA WA BONGO
Taifa letu linahitaji sana Busara kama zile za Waasisi wetu katika kipindi hiki chenye changamoto za kila namna kila kukicha
photo
NYERERE
Katika kuendeleza huduma ya Usaidizi wa Kisheria nchini Tanzania Mwanasheria Amani Mwaipaja amekuwa akiendesha vipindi vya Msaada wa Sheria Kwa njia ya Radio ambapo vipindi hivyo husikika live kupitia radio tatu tofauti za mkoani Morogoro ikiwemo Top Radio Fm- 99. 3 fm (Siku ya Jumatano Saa tatu Asubuhi), Radio Ukweli Fm 92.6 fm (Siku ya Jumatatu kuanzia saa tatu usiku na Radio Okoa Fm-106.2 fm (Siku ya Jumapili)
Picha ni Mwanasheria Amani Mwaipaja ambaye ni Mwasisi wa Blog hii akiwa na mwanadada Silvia Chilolo mara baada ya kumaliza kufanya kipindi cha Zijue Sheria ndani ya studio za Top Radio mjini Morogoro
photo
SHERIA
Kundi la Vines ni moja ya kundi linaoimba muziki aina ya Acappella.
Kundi la Acappella la Sonda ya Dilhu likiwa jukwaani likiimba kwa stail ya Acappella
Kundi la Caanan Brothers ni moja ya kundi linaloimba Acappella
photo
ACAPPELLA
Tanganyika si ndoto tu, ni UKWELI wa
kihistoria. Na ukweli unaishi. Unapitia hatua 3. 1. Ukiwekwa mezani
hukataliwa, 2. Una gharama, kuwa wakati mwingine mwenye kuusema ajiandae
kulipa gharama ya kuusema ukweli. 3.
Udhihiri, kuwa hata ukifichwa
chini ya uvungu wa kitanda kwa miaka 50, iko siku ukweli utatoka
hadharani bila kusubiri kuvalishwa viatu. Na uhalali wake uanza
kuhesabiwa tangu siku ile ulipokataliwa
photo
SIASA