Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh Joel Bendera Akimpokea Bondia Francis Cheka wakati akiwasili uwanjani  katika halfa ya kumpongeza Bondia huyo aliyenyakua Ubingwa wa Dunia Kwa Kumchapa bondia kutoka Marekani.

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh Joel Bendera Akikabidhiwa Mkanda wa Ubingwa wa Dunia kutoka kwa Bondia Francis Cheka Mjini Morogoro
Bondia Francis Cheka akitoa neno la Shukrani na Pembeni yake Ni Mke wa Bondia Huyo

Kocha wa Bondia Huyo Aliyefahamika kwa jina la Komando Akisema Machache wakati wa Halfa hiyo leo
Mkuu wa wilaya ya Mvomero na rais wa Riadha Tanzania Mh Antony Mtaka Akisema machache
Akizungumza katika hafla Mkuu wa Mkoa Mh Joel  Bendera alisema  ushindi wa Cheka ni sifa kwa tanzania katika  mchezo wa ngumi. Bondia Francis Cheka amezawadiwa kiwanja  mabati, na Tani moja ya saruji.Picha na MATUKIO NA MICHAPO BLOG

photo ,

Baadhi ya majengo ya shule ikiwemo maliwato si salama kwa usomaji,mazingira na afya,ni Changamoto inayotakiwa kuchukuliwa hatua za haraka kabla hayajatokea maafa makubwa

photo

 Wakati wa Likizo...
Madarasa mapya
 Maliwatoooooo...
Mwasisi wa Blog hii akikagua Mazingira ya shule

photo

Jengo hili linaitwa New Planters,liko jirani na stesheni ya Reli ya Kimamba. Ni moja ya majengo kongwe katika mji wa Kimamba.

Kihistoria jengo hili lilikuwa likimilikiwa na Mgiriki tangu miaka ya 60 ambaye baada ya kufariki aliwaachia urithi wa jengo hili watoto wake wa kiume
Soko la Zamani la Kimamba
 Baadhi ya Makazi ya watu yanavyoonekana

Ofisi ya Stesheni ya Reli Kimamba
Hapa kuna mradi wa mashine ya kusaga na Kukoboa. Ni mradi wa wanakikundi akina mama.upo eneo la Mji mpya-Kimamba

photo

Soko la Kimamba

photo

 Kituo kikuu cha Mabasi cha Msamvu
 Baadhi ya Abiria wakigombea kuingia ndani ya Basi nje ya kituo cha mabasi cha Msamvu
Jamaa akishuka wakati basi likiwa katika mwendo karibu na Mzunguko wa Magari (Round About ya Msamvu).Ni hatari lakini Salama
 Round About ya Msamvu
Njia panda ya kwenda Chuo kikuu cha Mzumbe
 Mpishano
 Melela Mnadani-Njia Panda ya Kilosa,,panaitwa Melela

photo


Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Bw. Innocent Mungy akitoa mada katika Semina ya siku moja, iliyodhaminiwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ikishirikiana na Arusha Press Club(APC) 5 Sept. 2013 Olasiti Garden Jijini Arusha.
Kutoka Kushoto ni Mkurugenzi wa ASILI YETU TANZANIA BLOG Bw. Victor Machota akiwa na Gadiola Emanuel mwenyekiti wa Arusha Bloggers Associations na Mkurugenzi wa WAZALENDO 25 BLOG katika Semina ya siku moja iliyotolewa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ikishirikiana na Arusha Press Club 5 Sept. 2013 Olasiti Garden Jijini Arusha. Kwa picha zaidi Bofya hapa>>>

photo ,

Emanuel Mabisa hakuwa mbali kumuaga Babu yake Mpendwa

photo

Leo Nyololo kwenye uzinduzi wa mnara wa kumbukumbu ya mauaji ya Daudi Mwangaosi, Kulia ni Benson Kigaila,wapili kutoka kulia ni Mdogo wake marehemu mwangosi,anayefuata ni Winfrida,na wa kwanza kutoka kushoti ni naibu katibu mkuu,Chadema Zanzibar Hamad Yusuf

photo

Na Fatma Salum na Hassan Silayo- MAELEZO
Mfuko wa pensheni wa LAPF unatarajia kutumia kiasi cha shilingi bilioni 35 katika mradi wa kituo cha mabasi eneo la msamvu Mkoani Morogoro.

Akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Meneja wa mfuko huo Kanda ya Mashariki Sayi Lulyalya alisema mradi huo ambao ni ubia kati ya Manispaa ya Morogoro na mfuko wa LAPF unatarajiwa kuanza wakati wowote mwaka huu.

photo

Movie kali iliyorekodiwa kwa viwango vya kimataifa ya World of Benefit iliyohusisha mastaa kibao wa Kitanzania inaingia sokoni muda wowote kuanzia sasa. 

Akizungumza na Timu ya Mwaipaja Blog, Mratibu wa Movie hiyo Macdenis Mgatha amesema kuwa Movie hiyo itaingia sokoni muda wowote kuanzia sasa kwakuwa kila kitu kipo tayari kinachosubiriwa ni taratibu tu za namna ya kuiingiza kwenye soko.
Kila la Kheri World of Benefit

photo

Taifa letu linahitaji sana Busara kama zile za Waasisi wetu katika kipindi hiki chenye changamoto za kila namna kila kukicha

photo

Katika kuendeleza huduma ya Usaidizi wa Kisheria nchini Tanzania Mwanasheria Amani Mwaipaja amekuwa akiendesha vipindi vya Msaada wa Sheria Kwa njia ya Radio ambapo vipindi hivyo husikika live kupitia radio tatu tofauti za mkoani Morogoro ikiwemo Top Radio Fm- 99. 3 fm (Siku ya Jumatano Saa tatu Asubuhi), Radio Ukweli Fm 92.6 fm (Siku ya Jumatatu kuanzia saa tatu usiku na Radio Okoa Fm-106.2 fm (Siku ya Jumapili)

Picha ni Mwanasheria Amani Mwaipaja ambaye ni Mwasisi wa Blog hii akiwa na mwanadada Silvia Chilolo mara baada ya kumaliza kufanya kipindi cha Zijue Sheria ndani ya studio za Top Radio mjini Morogoro


photo



 Kundi la Vines ni moja ya kundi linaoimba muziki aina ya Acappella.
 Kundi la Acappella la Sonda ya Dilhu likiwa jukwaani likiimba kwa stail ya Acappella
Kundi la Caanan Brothers ni moja ya kundi linaloimba Acappella

photo

Tanganyika si ndoto tu, ni UKWELI wa kihistoria. Na ukweli unaishi. Unapitia hatua 3. 1. Ukiwekwa mezani hukataliwa, 2. Una gharama, kuwa wakati mwingine mwenye kuusema ajiandae kulipa gharama ya kuusema ukweli. 3. 

Udhihiri, kuwa hata ukifichwa chini ya uvungu wa kitanda kwa miaka 50, iko siku ukweli utatoka hadharani bila kusubiri kuvalishwa viatu. Na uhalali wake uanza kuhesabiwa tangu siku ile ulipokataliwa

photo