Bi Ritha Mushi (VSO Volunteer) akiongea na Vijana wenzake juu ya umuhimu wa kujitolea katika kongamano la siku ya kujitolea duniani lililofanyika jijini Dar es Salaam.
Bw. Ian Tarimo anaejitolea katika Shirika lisilo la Kiserikali la Youth For Change akiongea na Vijana wanaojishughulisha na shughuli mbalimbali za kujitolea katika taasisi mbalimbali wakati wa maadhimisho ya siku ya kujitolea duniani yaliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Dr Ven kutoka DFID akiwaasa vijana wanaojishughulisha na shughuli mbalimbali za kujitolea katika taasisi mbalimbali wakati wa maadhimisho ya siku ya kujitolea duniani yaliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel akiongea na vijana wanaojishughulisha na shughuli mbalimbali za kujitolea katika taasisi mbalimbali wakati wa maadhimisho ya siku ya kujitolea duniani yaliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Kijana akipata maelezo juu ya utendaji kazi wa shirika lisilo la Kiserikali la JICA wakati wa kongamano la siku ya kujitolea lililofanyika jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni Prof. Elisante Ole Gabriel wa pili kutoka kulia akiongea na wanahabari katika maadhimisho ya siku ya kujitolea duniani yaliyofanyika jijini Dar es Salaam leo,wa kwanza kulia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika lisilo la Kiserikali la Volountary Overseas (VSO) Dkt. Philip Goodwin.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel aliyevaa suti akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya vijana wanaojishughulisha na shughuli mbalimbali za kujitolea wakati wa maadhimisho ya siku ya kujitolea duniani yaliyofanyika jijini Dar es Salaam.

photo , ,


Kikosi cha Timu ya Taifa ya Algeria
Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania "Taifa Stars".
Mshambuliaji machachari wa Timu ya Taifa Stars, Thomas Ulimwengu, akionyesha umahiri wake wa kuwatoka mabeki wa timu ya Taifa ya Algeria, wakati wa Mchezo wa kuwania nafasi ya kufuzu kucheza kwenye Mashindano ya Kombo la Dunia ya Mwaka 2018, katika mechi iliyopigwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam leo. Hadi mwisho wa mchezo, Timu zote zimetoka suluhu ya kufungana Bao 2-2.
Mchezaji wa timu ya Taifa ya Algeria, Guediora Aldane akiondoka na mpira mbele ya beki wa Timu ya Taifa Stars, wakati wa Mchezo wa kuwania nafasi ya kufuzu kucheza kwenye Mashindano ya Kombo la Dunia ya Mwaka 2018, katika mechi iliyopigwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam leo. Hadi mwisho wa mchezo, Timu zote zimetoka suluhu ya kufungana Bao 2-2.
Thomas Ulimwengu wa Taifa Stars akichuana vikali kuwania mpira na Beki wa Timu ya Algeria, Ghoulam Faouzi, wakati wa Mchezo wa kuwania nafasi ya kufuzu kucheza kwenye Mashindano ya Kombo la Dunia ya Mwaka 2018, katika mechi iliyopigwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam leo. Hadi mwisho wa mchezo, Timu zote zimetoka suluhu ya kufungana Bao 2-2.
Mlinda Mlango wa timu ya Taifa ya Algeria, M'bolhi Rais akipiga shuti kuondosha mpira langoni mwake.
Mshambuliaji wa Timu ya Taifa Stars, Mbwana Samatta akiangalia namna ya kuwatoka mabeki wa timu ya Taifa ya Algeria, wakati wa Mchezo wa kuwania nafasi ya kufuzu kucheza kwenye Mashindano ya Kombo la Dunia ya Mwaka 2018, katika mechi iliyopigwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam leo. Hadi mwisho wa mchezo, Timu zote zimetoka suluhu ya kufungana Bao 2-2.

Wachezaji wa Timu ya Taifa Stars wakishangilia ushindi wao wa awali, wakati wa Mchezo wa kuwania nafasi ya kufuzu kucheza kwenye Mashindano ya Kombo la Dunia ya Mwaka 2018, katika mechi iliyopigwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam leo. Hadi mwisho wa mchezo, Timu zote zimetoka suluhu ya kufungana Bao 2-2.





















photo , ,

 Mama Salma Kikwete akisalimiana na Mwenyekiti na Mtendaji Mkuu wa Dangote Industries Alhaj Aliko Dangote katika sherehe za uzinduzi wa kiwanda cha kutengeneza Saruji cha Dangote eneo la Msijute mkoani Mtwara Jumamosi Oktoba 10, 2015
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na  Mwenyekiti na Mtendaji Mkuu wa Dangote Industries Alhaj Aliko Dangote katika sherehe za uzinduzi wa kiwanda cha kutengeneza Saruji cha Dangote eneo la Msijute mkoani Mtwara Jumamosi Oktoba 10, 2015
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitambulishwa kwa mwakilishi wa serikali ya Nigeria na Mwenyekiti na Mtendaji Mkuu wa Dangote Industries Alhaj Aliko Dangote katika sherehe za uzinduzi wa kiwanda cha kutengeneza Saruji cha Dangote eneo la Msijute mkoani Mtwara Jumamosi Oktoba 10, 2015
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitambulishwa kwa mmoja wa maofisa wa Nigeria na Mwenyekiti na Mtendaji Mkuu wa Dangote Industries Alhaj Aliko Dangote katika sherehe za uzinduzi wa kiwanda cha kutengeneza Saruji cha Dangote eneo la Msijute mkoani Mtwara Jumamosi Oktoba 10, 2015
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe  katika sherehe za uzinduzi wa kiwanda cha kutengeneza Saruji cha Dangote eneo la Msijute mkoani Mtwara Jumamosi Oktoba 10, 2015
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Waziri wa Uchukuzi, Mhe. Samuel Sitta katika sherehe za uzinduzi wa kiwanda cha kutengeneza Saruji cha Dangote eneo la Msijute mkoani Mtwara Jumamosi Oktoba 10, 2015
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Lindi  Mhe. Jordan Rugimbana katika sherehe za uzinduzi wa kiwanda cha kutengeneza Saruji cha Dangote eneo la Msijute mkoani Mtwara Jumamosi Oktoba 10, 2015
  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mmoja wa maafisa kutoka Nigeria  katika sherehe za uzinduzi wa kiwanda cha kutengeneza Saruji cha Dangote eneo la Msijute mkoani Mtwara Jumamosi Oktoba 10, 2015
 Meza kuu
 Sehemu ya wageni
 Wageni waalikwa
 Mabinti wa Alhaj Aliko Dangote
 Ukumbi umefurika
 Wageni
 Wageni waalikwa
 Wageni waalikwa
 Wageni waalikwa
 Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC),Julieth Kairuki akibadilishana mawazo na mdau Shose Sinare
 Alhaj Aliko Dangote akihutubia walikwa katika sherehe za uzinduzi wa kiwanda cha kutengeneza Saruji cha Dangote eneo la Msijute mkoani Mtwara Jumamosi Oktoba 10, 2015
 Waalikwa katika sherehe za uzinduzi wa kiwanda cha kutengeneza Saruji cha Dangote eneo la Msijute mkoani Mtwara Jumamosi Oktoba 10, 2015
 Alhaj Aliko Dangote katika sherehe za uzinduzi wa kiwanda cha kutengeneza Saruji cha Dangote eneo la Msijute mkoani Mtwara Jumamosi Oktoba 10, 2015
Wageni  katika sherehe za uzinduzi wa kiwanda cha kutengeneza Saruji cha Dangote eneo la Msijute mkoani Mtwara Jumamosi Oktoba 10, 2015
 Rais Kikwete akimpongeza Alhaj Dangote kwa hotuba nzuri
 Rais Kikwete akihutubia
 Umati ukimsikiliza Rais Kikwete
 Wanakijiji wa Msijute wakisikiliza hotuba
  Rais Kikwete akihutubia
 Sehemu ya kiwanda cha Saruji cha Dangote, Mtwara
 Rais Kikwete akiendelea kuhutubia
 Vifijo baada ya hotuba
 Rais Kikwete, Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe Halima Denengo na Alhaj Dangote wakielekea sehemu ya kupiga picha
 Picha ya kumbukumbukatika uzinduzi wa  kiwanda cha Saruji cha Dangote, Mtwara
 Rais Kikwete na Mama Salma Kikwete na Alhaji Dangote na mabinti wake watatu
 Rais Kikwete na Mama Salma Kikwete na Alhaji Dangote na mabinti wake watatu na ujumbe wao toka Nigeria
 Sehemu ya wafanyakazi wa kutoka China na India wa  katika sherehe za uzinduzi wa kiwanda cha kutengeneza Saruji cha Dangote eneo la Msijute mkoani Mtwara Jumamosi Oktoba 10, 2015
 Rais Kikwete akikata utepe katika sherehe za uzinduzi wa kiwanda cha kutengeneza Saruji cha Dangote eneo la Msijute mkoani Mtwara Jumamosi Oktoba 10, 2015
 Rais Kikwete akifunua pazia katika sherehe za uzinduzi wa kiwanda cha kutengeneza Saruji cha Dangote eneo la Msijute mkoani Mtwara Jumamosi Oktoba 10, 2015
 Rais Kikwete akiweka sahihi katika kitabu cha wageni katika sherehe za uzinduzi wa kiwanda cha kutengeneza Saruji cha Dangote eneo la Msijute mkoani Mtwara Jumamosi Oktoba 10, 2015
 Wataalamu wakiwa kazini katika kiwanda cha Dangote Mtwara
 Rais Kikwete akipata maelezo ya uzalishaji wa saruji kutoka kwa dada Mbumi Mwampeta Mtanzania mwenye umri wa miaka 23 ambaye ni mhandisi wa uzalishaji 
 Rais Kikwete akipata maelezo ya uzalishaji wa saruji kutoka kwa dada Mbumi Mwampeta Mtanzania mwenye umri wa miaka 23 ambaye ni mhandisi wa uzalishaji wakati wa uzinduzi wa kiwanda cha kutengeneza Saruji cha Dangote eneo la Msijute mkoani Mtwara Jumamosi Oktoba 10, 2015
 Rais Kikwete akipata maelezo ya jinsi saruji inavyotengenezwa katika uzinduzi wa kiwanda cha kutengeneza Saruji cha Dangote eneo la Msijute mkoani Mtwara Jumamosi Oktoba 10, 2015
 Rais Kikwete akiondoka kiwandani baada ya  sherehe za uzinduzi wa kiwanda cha kutengeneza Saruji cha Dangote eneo la Msijute mkoani Mtwara Jumamosi Oktoba 10, 2015
 Sehemu ya kiwanda cha Saruji cha Dangote, Mtwara
 Sehemu ya kiwanda cha Saruji cha Dangote, Mtwara
 Sehemu ya kiwanda cha Saruji cha Dangote, Mtwara
Sehemu ya kiwanda cha Saruji cha Dangote, Mtwara

photo , , ,