Tarehe 13/01/2007 Mzumbe brothers tukiwa katika kanisa la Mbeya Mjini tulipoalikwa kama kikundi katika tamasha lililofanyikia kanisani hapo
Wa kwanza kutoka kushoto ni Berius-anaimba sauti ya tatu
Marehemu Tenga wa pili kutoka kushoto-anaimba sauti ya nne
Mimi wa tatu niliyevaa batik na Magesa masige .
Hapa tuko katika ukumbi maarufu jijini Mbeya ujulikanao kama Dhandho tulipoalikwa kusindikiza uzinduzi wa kwaya ya kanisa la wasabato Mbeya Mjini.Mwenye suti ni mlezi wa chama cha wanafunzi wa kisabato Kampas ya Mbeya
KUNENGE AJIVUÄNIA MAFANIKIO YA UTEKELEZAJI WA ILANI YALIYOCHAGIZWA NA
ONGEZEKO LA MAPATO
-
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani Juni 6, 2026
Mkoa wa Pwani umeendelea kutekeleza kwa mafanikio Ilani ya Chama Cha
Mapinduzi (CCM), huku ongezeko la makusanyo ya...
40 minutes ago
0 Responses so far.
Post a Comment