Tarehe 13/01/2007 Mzumbe brothers tukiwa katika kanisa la Mbeya Mjini tulipoalikwa kama kikundi katika tamasha lililofanyikia kanisani hapo
Wa kwanza kutoka kushoto ni Berius-anaimba sauti ya tatu
Marehemu Tenga wa pili kutoka kushoto-anaimba sauti ya nne
Mimi wa tatu niliyevaa batik na Magesa masige .
Hapa tuko katika ukumbi maarufu jijini Mbeya ujulikanao kama Dhandho tulipoalikwa kusindikiza uzinduzi wa kwaya ya kanisa la wasabato Mbeya Mjini.Mwenye suti ni mlezi wa chama cha wanafunzi wa kisabato Kampas ya Mbeya
WIZARA YA FEDHA YAENDELEA KUPONGEZWA KWA WELEDI WA UTOAJI ELIMU
-
Na. Peter Haule na Chedaiwe Msuya, Dodoma
Naibu Waziri wa Ofi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, Mhe. Deus Sangu (Mb) ameipongeza Wiz...
1 hour ago
0 Responses so far.
Post a Comment