Tarehe 13/01/2007 Mzumbe brothers tukiwa katika kanisa la Mbeya Mjini tulipoalikwa kama kikundi katika tamasha lililofanyikia kanisani hapo
Wa kwanza kutoka kushoto ni Berius-anaimba sauti ya tatu
Marehemu Tenga wa pili kutoka kushoto-anaimba sauti ya nne
Mimi wa tatu niliyevaa batik na Magesa masige .
Hapa tuko katika ukumbi maarufu jijini Mbeya ujulikanao kama Dhandho tulipoalikwa kusindikiza uzinduzi wa kwaya ya kanisa la wasabato Mbeya Mjini.Mwenye suti ni mlezi wa chama cha wanafunzi wa kisabato Kampas ya Mbeya
SERIKALI KUGHARAMIA MAZISHI YA WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA MGODI NYANDOLWA.
-
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge na
Uratibu Mhe. William Lukuvi, amemfikishia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Mh...
2 hours ago
0 Responses so far.
Post a Comment