Tarehe 13/01/2007 Mzumbe brothers tukiwa katika kanisa la Mbeya Mjini tulipoalikwa kama kikundi katika tamasha lililofanyikia kanisani hapo
Wa kwanza kutoka kushoto ni Berius-anaimba sauti ya tatu
Marehemu Tenga wa pili kutoka kushoto-anaimba sauti ya nne
Mimi wa tatu niliyevaa batik na Magesa masige .
Hapa tuko katika ukumbi maarufu jijini Mbeya ujulikanao kama Dhandho tulipoalikwa kusindikiza uzinduzi wa kwaya ya kanisa la wasabato Mbeya Mjini.Mwenye suti ni mlezi wa chama cha wanafunzi wa kisabato Kampas ya Mbeya
Ujenzi wa Barabara Kuelekea AFCON 2027 Watiliwa Mkazo
-
Kamati ya Wataalam ya Serikali ya Maandalizi ya Mashindano ya Kombe la
Mataifa Afrika mwaka 2027 (AFCON 2027) imeweka mkazo katika kuhakikisha
miradi ya ...
3 hours ago
0 Responses so far.
Post a Comment