Hivi karibuni nikiwa katika safari yangu kuelekea ughaibuni....Mbeya Kampas..niliamua kushuka mji kasoro Bahari ili kusalimia ndugu na jamaa...hapa ni maeneo ya kilakala sekondari...kwa nyuma safu za milima ya uluguru zinaonekana live bila chenga.
Tatizo la kujiunganishia mipira ya maji halipo Dar peke yake...
Bahadhi ya barabara za mji kasoro bahari zinavyoonekana...muda mfupi tu ujao nitakuwa naelekea ughaibuni...tutakutana hukohuko
CHATANDA: MIKOPO ASILIMIA 10 IMEBADILI MAISHA YA WANANCHI MBALIZI
-
*Na: Mwandishi Wetu*
*Mpango wa serikali wa kutoa mikopo isiyo na riba ya asilimia kumi kwa
wanawake, vijana na wenye mahitaji maalum, imeonyesha kuzaa ma...
2 hours ago
0 Responses so far.
Post a Comment