Hivi karibuni nikiwa katika safari yangu kuelekea ughaibuni....Mbeya Kampas..niliamua kushuka mji kasoro Bahari ili kusalimia ndugu na jamaa...hapa ni maeneo ya kilakala sekondari...kwa nyuma safu za milima ya uluguru zinaonekana live bila chenga.
Tatizo la kujiunganishia mipira ya maji halipo Dar peke yake...
Bahadhi ya barabara za mji kasoro bahari zinavyoonekana...muda mfupi tu ujao nitakuwa naelekea ughaibuni...tutakutana hukohuko
SERIKALI YAZINDUA 'UGHAIBUNI LOAN
-
Na OWM (KAM) Dar es Salaam
Serikali imesema itaendelea kuhakikisha vijana nchini wanaendelea kunufaika
na fursa za nje ya nchi na zenye staha kwa kushiri...
11 minutes ago
0 Responses so far.
Post a Comment