Hivi karibuni nikiwa katika safari yangu kuelekea ughaibuni....Mbeya Kampas..niliamua kushuka mji kasoro Bahari ili kusalimia ndugu na jamaa...hapa ni maeneo ya kilakala sekondari...kwa nyuma safu za milima ya uluguru zinaonekana live bila chenga.
Tatizo la kujiunganishia mipira ya maji halipo Dar peke yake...
Bahadhi ya barabara za mji kasoro bahari zinavyoonekana...muda mfupi tu ujao nitakuwa naelekea ughaibuni...tutakutana hukohuko
WAZIRI MKUU AMPONGEZA MKURUGENZI KONDOA MJI
-
Waziri Mkuu Dk. Mwigulu Lameck Nchemba amempongeza Mkurugenzi wa
Halmashauri ya Mji wa Kondoa, Said Majaliwa kwa usimamizi, utekelezaji wa
mradi wa ujenz...
10 hours ago
0 Responses so far.
Post a Comment