Hivi karibuni nikiwa katika safari yangu kuelekea ughaibuni....Mbeya Kampas..niliamua kushuka mji kasoro Bahari ili kusalimia ndugu na jamaa...hapa ni maeneo ya kilakala sekondari...kwa nyuma safu za milima ya uluguru zinaonekana live bila chenga.
Tatizo la kujiunganishia mipira ya maji halipo Dar peke yake...
Bahadhi ya barabara za mji kasoro bahari zinavyoonekana...muda mfupi tu ujao nitakuwa naelekea ughaibuni...tutakutana hukohuko
NMB, MANTRAC WAFUNGUA UFADHILI WA MITAMBO KWA WACHIMBAJI, WAKANDARASI
-
-Wachimbaji, Wakandarasi Kunufaika na Mpango Mpya wa NMB na Mantrac
DAR ES SALAAM. Benki ya NMB na Mantrac Tanzania Limited zimesaini Hati ya
Makubaliano y...
3 hours ago
0 Responses so far.
Post a Comment