Hivi karibuni nikiwa katika safari yangu kuelekea ughaibuni....Mbeya Kampas..niliamua kushuka mji kasoro Bahari ili kusalimia ndugu na jamaa...hapa ni maeneo ya kilakala sekondari...kwa nyuma safu za milima ya uluguru zinaonekana live bila chenga.
Tatizo la kujiunganishia mipira ya maji halipo Dar peke yake...
Bahadhi ya barabara za mji kasoro bahari zinavyoonekana...muda mfupi tu ujao nitakuwa naelekea ughaibuni...tutakutana hukohuko
STANDARD CHARTERED YAONGOZA TUKIO LA UPANDAJI MITI BAGAMOYO.
-
Kama sehemu ya dhamira yake ya kukuza uendelevu wa mazingira na uhifadhi
wa mazingira, Standard Chartered Tanzania imeongoza shughuli ya upandaji
miti k...
38 minutes ago
0 Responses so far.
Post a Comment