Tarehe 13/01/2007 Mzumbe brothers tukiwa katika kanisa la Mbeya Mjini tulipoalikwa kama kikundi katika tamasha lililofanyikia kanisani hapo
Wa kwanza kutoka kushoto ni Berius-anaimba sauti ya tatu
Marehemu Tenga wa pili kutoka kushoto-anaimba sauti ya nne
Mimi wa tatu niliyevaa batik na Magesa masige .
Hapa tuko katika ukumbi maarufu jijini Mbeya ujulikanao kama Dhandho tulipoalikwa kusindikiza uzinduzi wa kwaya ya kanisa la wasabato Mbeya Mjini.Mwenye suti ni mlezi wa chama cha wanafunzi wa kisabato Kampas ya Mbeya
DK SAMIA:UJENZI RELI SGR MWANZA -DAR KUFUNGUA FURSA ZAKIUCHUMI,BIASHARA
-
*Pia aweka wazi mkakati kufufua viwanda vya Ginery kuongeza thamani ya pamba
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
35 minutes ago
0 Responses so far.
Post a Comment