Tarehe 13/01/2007 Mzumbe brothers tukiwa katika kanisa la Mbeya Mjini tulipoalikwa kama kikundi katika tamasha lililofanyikia kanisani hapo
Wa kwanza kutoka kushoto ni Berius-anaimba sauti ya tatu
Marehemu Tenga wa pili kutoka kushoto-anaimba sauti ya nne
Mimi wa tatu niliyevaa batik na Magesa masige .
Hapa tuko katika ukumbi maarufu jijini Mbeya ujulikanao kama Dhandho tulipoalikwa kusindikiza uzinduzi wa kwaya ya kanisa la wasabato Mbeya Mjini.Mwenye suti ni mlezi wa chama cha wanafunzi wa kisabato Kampas ya Mbeya
TANAPA YAZIDI KUJIIMARISHA KIUTENDAJI, YAWAAPISHA MAKAMISHNA WAPYA WA
UHIFADHI
-
Na. Edmund Salaho - Dodoma
Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) limeendelea kuimarisha safu
yake ya Uongozi ili kuboresha utendaji kazi wa Shiri...
1 hour ago
0 Responses so far.
Post a Comment