Jeneza liliobeba mwili wa marehemu.Marehemu Rajabu Tenga alikuwa pia mtumishi wa jeshi la polisi. (Usalama wa Raia). alifariki katika harakati za kuwaokoa wananchi na wanafunzi wenzake katika tukio la ujambazi lililohusisha kutupiana risasi kati ya majambazi na polisi.katika harakati hiyo ndipo jambazi moja lilipompiga risasi ya kichwa iliyopoteza maisha ya mwenzetu katika hospitali ya rufaa mbeya. (picha na Rayme A..K)
Bahati Yako Kulipuka Hadi Mara 250 Na Mystery Multiplier Drop
-
MASHABIKI wa michezo ya kasino, huu ni wakati wa kuongeza msisimko na
kujaribu bahati yako kwa namna ya kipekee. Meridianbet imekuja na Mystery
Multiplier...
1 hour ago
0 Responses so far.
Post a Comment