Jeneza liliobeba mwili wa marehemu.Marehemu Rajabu Tenga alikuwa pia mtumishi wa jeshi la polisi. (Usalama wa Raia). alifariki katika harakati za kuwaokoa wananchi na wanafunzi wenzake katika tukio la ujambazi lililohusisha kutupiana risasi kati ya majambazi na polisi.katika harakati hiyo ndipo jambazi moja lilipompiga risasi ya kichwa iliyopoteza maisha ya mwenzetu katika hospitali ya rufaa mbeya. (picha na Rayme A..K)
How FX Reacts to CPI Surprises (And How to Prepare)
-
What people often miss on CPI day is that the number itself isn't what
moves the market. The common reaction is to check whether 3.4% number is
high or...
7 hours ago
0 Responses so far.
Post a Comment