Jeneza liliobeba mwili wa marehemu.Marehemu Rajabu Tenga alikuwa pia mtumishi wa jeshi la polisi. (Usalama wa Raia). alifariki katika harakati za kuwaokoa wananchi na wanafunzi wenzake katika tukio la ujambazi lililohusisha kutupiana risasi kati ya majambazi na polisi.katika harakati hiyo ndipo jambazi moja lilipompiga risasi ya kichwa iliyopoteza maisha ya mwenzetu katika hospitali ya rufaa mbeya. (picha na Rayme A..K)
MCHENGERWA AWEKA AJENDA YA MAGEUZI KWA BODI YA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA
Mt. MERU, ATAKA UONGOZI WA MATOKEO.
-
*Waziri wa Afya, Mheshimiwa Mohamed Omary Mchengerwa, ameitaka Bodi mpya ya
Ushauri ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mt. Meru kuongoza kwa mtazamo wa
ma...
1 hour ago
0 Responses so far.
Post a Comment