Jeneza liliobeba mwili wa marehemu.Marehemu Rajabu Tenga alikuwa pia mtumishi wa jeshi la polisi. (Usalama wa Raia). alifariki katika harakati za kuwaokoa wananchi na wanafunzi wenzake katika tukio la ujambazi lililohusisha kutupiana risasi kati ya majambazi na polisi.katika harakati hiyo ndipo jambazi moja lilipompiga risasi ya kichwa iliyopoteza maisha ya mwenzetu katika hospitali ya rufaa mbeya. (picha na Rayme A..K)
KAMISHNA KUJI AFANYA ZIARA YA KIKAZI KUKAGUA MIUNDOMBINU HIFADHI YA TAIFA
SERENGETI
-
Na. Philipo Hassan - SERENGETI
Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), CPA
Mussa Nassoro Kuji, leo Machi 01, 2026, amefanya ...
56 minutes ago
0 Responses so far.
Post a Comment