Wanafunzi wakiwa wamejipanga tayari kwa kuupokea mwili wa marehemu Tenga ...waliovaa jezi ni baadhi ya wachezaji wenzie wa mpira wa miguu enzi za uhai wake.
Gari la polisi lililobeba mwili wa marehemu likionekana kwa mbali likiingia katika viwanja vya chuo kikuu Mzumbe Mbeya - kampas
Mwili wa marehemu ukiingizwa chuoni na kikosi maalum cha ubebaji kilichoteuliwa kwa ajili ya kazi hiyo.
Wabebaji
Mwili ukishushwa na kuwekwa katika meza maalum
MBUNGE KOOLA ASHIRIKI MASHINDANO YA KUHIFADHI QUR’AN - HIMO
-
VUNJO.
MBUNGE wa Jimbo la Vunjo, Enock Koola amewapongeza walimu wa madrasa kwa
juhudi zao za malezi ya kiroho na maadili kwa watoto na vijana kupitia
...
4 hours ago
0 Responses so far.
Post a Comment