Rajabu Tenga -mwanafunzi wa chuo kikuu Mzumbe kampas ya Mbeya ambaye amefariki jana jioni baada ya kupigwa risasi na majambazi waliovamia supa maket moja iliyoko jirani na chuo cha Mzumbe.
Taratibu za kuusafirisha mwili wa marehemu kwenda nyumbani kwao Same zinafanyika.
Marehemu Tenga alikuwa mwanafunzi wa mwaka wa pili- digrii ya sheria.
MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALI PEMA PEPONI................................
Meridianbet Na Udhamini Uliotoa Burudani Kubwa Belgrade
-
Meridianbet imeendelea kujiweka katikati ya matukio makubwa ya michezo
baada ya udhamini mkubwa wa pambano la UFC, lililofanyika Agosti 1, 2026
pale B...
10 hours ago
0 Responses so far.
Post a Comment