Rajabu Tenga -mwanafunzi wa chuo kikuu Mzumbe kampas ya Mbeya ambaye amefariki jana jioni baada ya kupigwa risasi na majambazi waliovamia supa maket moja iliyoko jirani na chuo cha Mzumbe.
Taratibu za kuusafirisha mwili wa marehemu kwenda nyumbani kwao Same zinafanyika.
Marehemu Tenga alikuwa mwanafunzi wa mwaka wa pili- digrii ya sheria.
MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALI PEMA PEPONI................................
Teknolojia : Serikali Yazihimiza Taasisi za Umma na Sekta Binafsi Kutumia
Anwani za Makazi
-
SERIKALI imezidisha kasi ya kujenga uchumi wa kidijitali kwa kusisitiza
matumizi mapana ya mfumo wa anwani za makazi, hatua inayolenga kurahisisha
ut...
59 minutes ago
0 Responses so far.
Post a Comment