Rajabu Tenga -mwanafunzi wa chuo kikuu Mzumbe kampas ya Mbeya ambaye amefariki jana jioni baada ya kupigwa risasi na majambazi waliovamia supa maket moja iliyoko jirani na chuo cha Mzumbe.
Taratibu za kuusafirisha mwili wa marehemu kwenda nyumbani kwao Same zinafanyika.
Marehemu Tenga alikuwa mwanafunzi wa mwaka wa pili- digrii ya sheria.
MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALI PEMA PEPONI................................
Oryx yatoa mitungi 167 ya gesi kwa watumishi wa afya Kwimba
-
Na Mwandishi Wetu,Kwimba
WATUMISHI wa sekta ya afya katika Wilaya ya Kwimba wamepatiwa nishati safi
ya kupikia ya mitungi mikubwa ya gesi ya Oryx na majiko...
30 minutes ago
0 Responses so far.
Post a Comment