Usinckeshe.....wakati mwingine mtu hulazimika kuangua kicheko pale pale point inapokuonekana.....Lintel akifurahi meno 30 na nje yote mbili katika mkutano wa wanafunzi ulioitishwa na co-ordinata na mkurugenzi msaidizi wa huku ughaibuni kwetu...Mbeya kampas
Hapa nimepozi na .......msije mkafikiri ndiye naniii...wangu
Ughaibuni kuzuri jamani...umeona kijani kibichi jinsi kilivyokubali hapo chini?
CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA TANZANIA (TPSC) KUFANYA KILELE CHA MAADHIMISHO YA
MIAKA 25 TAREHE 3 JULAI 2026
-
Dar es Salaam, Julai 2026
Mkuu wa Chuo na Mtendaji Mkuu wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC),
Dkt. Ernest Mabonesho, ametangaza kuwa kilele cha m...
1 hour ago
0 Responses so far.
Post a Comment