Usinckeshe.....wakati mwingine mtu hulazimika kuangua kicheko pale pale point inapokuonekana.....Lintel akifurahi meno 30 na nje yote mbili katika mkutano wa wanafunzi ulioitishwa na co-ordinata na mkurugenzi msaidizi wa huku ughaibuni kwetu...Mbeya kampas
Hapa nimepozi na .......msije mkafikiri ndiye naniii...wangu
Ughaibuni kuzuri jamani...umeona kijani kibichi jinsi kilivyokubali hapo chini?
RAIS DKT SAMIA ATUMA UJUMBE MAALUM KWA RAIS WA CHINA
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akimkabidhi Waziri wa Idara ya Kimataifa ya Chama cha Kikomunisti cha China
Mhe. ...
9 hours ago
0 Responses so far.
Post a Comment