Usinckeshe.....wakati mwingine mtu hulazimika kuangua kicheko pale pale point inapokuonekana.....Lintel akifurahi meno 30 na nje yote mbili katika mkutano wa wanafunzi ulioitishwa na co-ordinata na mkurugenzi msaidizi wa huku ughaibuni kwetu...Mbeya kampas
Hapa nimepozi na .......msije mkafikiri ndiye naniii...wangu
Ughaibuni kuzuri jamani...umeona kijani kibichi jinsi kilivyokubali hapo chini?
NMB, BUNGE WACHOCHEA HAMASA YA AFCON 2027.
-
Naibu Spika wa Bunge, Daniel Baran Sillo, amesema Bunge lipo tayari
kushirikiana na Serikali katika maandalizi ya AFCON PAMOJA 2027. Alitoa
kauli hiyo wa...
1 hour ago
0 Responses so far.
Post a Comment