Mkurugenzi wa kituo cha Wasaidizi wa Sheria cha Morogoro Paralegal Centre Bi. Flora Masoy akiongea na washiriki wa Mafunzo ndani ya ukumbi wa Mikutano.
 Baadhi ya washiriki wa mafunzo wakiwa katika majadiliano ya Vikundi wakati wa mafunzo
Baadhi ya washiriki wa Mafunzo wakiwa katika majadiliano.

HABARI KAMILI
Kituo cha Wasaidizi wa Kisheria cha Morogoro Paralegal Centre kinatekeleza mradi wa Kuboresha na kuimarisha upatikanaji wa Huduma ya Msaada wa kisheria katika Mkoa wa Morogoro.

Mradi huo unafadhiliwa na Legal Services Facility.Ni mradi wa Miaka miwili.
 

photo

0 Responses so far.