Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Bi Assumpta Maina Mallya akizungumzia jinsi mfuko wa Pensheni wa PPF unavyoendeshwa katika Mkutano wa 24 wa wanachama na Wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF unaofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa AICC jijini Arusha
Meneja Uwekezaji wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Bw Selestine Some akizungumzia jinsi mfuko wa Pensheni wa PPF unavyoweza kutumia michango ya wanachama katika kulinda Michango.
 Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, William Erio akijadiliana jambo na Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Mh Milton Makongoro Mahanga katika Mkutano wa 24 wa Wanachama na wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF unaofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa AICC, Jijini Arusha
 Mdau wa PPF akipitia jarida la PPF katika mkutano wa 24 wa Wanachama na wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF unaofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa AICC, Jijini Arusha
Wadau wakifuatilia Mada mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa na viongozi wa Mfuko wa Pensheni wa PPF katika Mkutano wa 24 wa Wanachama na Wadau wa PPF unaofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa PPF Jijini Arusha
 
Wanachama wa Mfuko wa Pensheni wa PPF akiuliza swali katika Mkutano wa 24 wa wanachama na wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF unaofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa AICC, Jijini Arusha
Wadau wa NSSF wakifuatilia Mada katika mkutano wa 24 wa Wanachama na Wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF unaofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa AICC, Jijini Arusha
 Wanachama na Wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF wakifuatilia Mada mbalimbali zinazotolewa katika Mkutano wa 24 wa wanachama na wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF unaofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa AICC, Jijini Arusha
 Mdau wa PPF akiuliza swali katika Mkutano wa 24 wa Wanachama na wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF unaofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa AICC, Jijini Arusha
 Meza Kuu
Mwanachama wa Mfuko wa Pensheni wa PPF akipitia Jarida la PPF katika mkutano mkuu wa 24 wa Wanachama na Wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF unaofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa AICC, Jijini Arusha.Picha zote na Josephat Lukaza- Lukaza Blog Arusha

photo , ,

0 Responses so far.