Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Mh Said Mecky Sadick akiongea wakati wa msiba wa Marehemu George Otieno (Tyson) leo kwenye viwanja vya leaders ambapo wakazi wa Jiji la Dar Walijitokeza kwaajili ya Kutoa Heshima zao za Mwisho kwa Marehemu kabla ya kusafirishwa kuelekea Kenya Kwa Mazishi
 Mtoto wa Kwanza wa Marehemu George Otieno (George Tyson) wa kwanza kushoto akiwa na majonzi yakuondokewa na baba yake kipenzi huku Mama yake naye akiwa mwenye huzuni tele na simanzi.
Mwakilishi wa Wanahabari kutoka TV1 ambapo Marehemu alikuwa mfanyakazi katika kituo hiko cha Runinga akiongea machache kabla ya kutoa heshima za mwisho
 Mama Mkwe wa Marehemu George Tyson, Natasha akielekea kuketi upande wa meza kuu. Natasha ni mama mzazi wa Aliyekuwa Mke wa Marehemu George Tyson ajulikanae kama Monalisa
 Mboni Masimba akielekea jukwaa kuu kwaajili ya kuketi
 Mwimbaji wa Nyimbo za injili akiimba wimbo kwaajili ya kuwafariji wafiwa wote katika viwanja vya leaders mapema
 Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi ambapo Marehemu kwa kusaidia na Mboni Masimba walikwenda kutoa Msaada wa madawati katika shule hiyo Mkoani Dodoma na mauti kumfika wakati wakitoka Mkoani Dodoma
 Wafanyakazi wa TV 1
 Baadhi ya Wafanyakazi wa TMT wakiwa na majonzi
 Mke aliyekuwa akiishi na Marehemu
 Umati wa Waombolezaji
Mwakilishi wa Wasanii Kutoka Morogoro
 Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam akitoa heshima za Mwisho
.Na Josephat Lukaza wa Lukaza Blog

photo , ,

0 Responses so far.