Baadhi ya machanguduoa wakipandishwa kwenye gari la polisi .


Baadhi ya machanguduoa wakipandishwa kwenye gari la polisi . katika Msako huo uliofanyika katika maeneo ya afrika sana mpaka mori sinza ilibainika pia kuwa baadhi ya wanaofanya biashara hiyo wengi wao ni wake za watu,wafanyakazi za ndani na wahudumu wa bar. Jumla machanguduoa 60 walikamatwa na kufikishwa katika kituo cha polisi usiku wa jumanne.

Zimetumwa na "Nginya the Blogger" kutoka Sinza Dar

photo

0 Responses so far.