Hili ndilo daraja laMungu lililoko mbele kidogo ya Kiwira.Hapo zamani daraja hili lilikuwa na maajabu ya pekee.Siwezi kueleza maajabu yote lakini hiko kidaraja unachokiona hapo hakijawahi kujaa hata siku moja hata mafuriko yawe makubwa kiasi gani...
Haya ndiyo maporomoko ya Kaporogwe...kwa kidhungu wanasema ..Kaporogwe falls
Mto Kiwira
TPSC DAR ES SALAAM KATIKA MAADHIMISHO YA MEI MOSI DAR ES SALAAM, Mei 1, 2026
-
Watumishi wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania, Makao Makuu na Kampasi ya
Dar es Salaam, leo wameungana na watumishi wengine wa taasisi za umma na
binafsi...
10 hours ago
0 Responses so far.
Post a Comment