Hili ndilo daraja laMungu lililoko mbele kidogo ya Kiwira.Hapo zamani daraja hili lilikuwa na maajabu ya pekee.Siwezi kueleza maajabu yote lakini hiko kidaraja unachokiona hapo hakijawahi kujaa hata siku moja hata mafuriko yawe makubwa kiasi gani...
Haya ndiyo maporomoko ya Kaporogwe...kwa kidhungu wanasema ..Kaporogwe falls
Mto Kiwira
Tuzo za ZICA: NBC Yaibuka Kinara Uwezeshaji Miradi ya Ujenzi Zanzibar.
-
Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeibuka mshindi kwenye Tuzo za Kimataifa
za Ujenzi Zanzibar (ZICA Awards) baada ya kutunukiwa tuzo ya Benki Bora
katika K...
1 hour ago
0 Responses so far.
Post a Comment