Hili ndilo daraja laMungu lililoko mbele kidogo ya Kiwira.Hapo zamani daraja hili lilikuwa na maajabu ya pekee.Siwezi kueleza maajabu yote lakini hiko kidaraja unachokiona hapo hakijawahi kujaa hata siku moja hata mafuriko yawe makubwa kiasi gani...
Haya ndiyo maporomoko ya Kaporogwe...kwa kidhungu wanasema ..Kaporogwe falls
Mto Kiwira
SHERIA YA NHIF KUPANUA WIGO WA WANACHAMA NA KUBORESHA HUDUMA
-
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) uko kwenye mchakato wa kufanya
marekebisho ya Sheria ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, Sura ya 395, kwa
lengo la ...
5 hours ago
0 Responses so far.
Post a Comment