Hili ndilo daraja laMungu lililoko mbele kidogo ya Kiwira.Hapo zamani daraja hili lilikuwa na maajabu ya pekee.Siwezi kueleza maajabu yote lakini hiko kidaraja unachokiona hapo hakijawahi kujaa hata siku moja hata mafuriko yawe makubwa kiasi gani...
Haya ndiyo maporomoko ya Kaporogwe...kwa kidhungu wanasema ..Kaporogwe falls
Mto Kiwira
TRAMEPRO Yaadhimisha Siku ya Maji Duniani, Yasisitiza Uhifadhi kwa
Maendeleo Endelevu
-
*Kila mwaka tarehe 22 Machi, dunia huungana kuadhimisha Siku ya Maji
Duniani—siku muhimu inayotukumbusha thamani ya rasilimali maji katika
maisha ya kila s...
5 hours ago
0 Responses so far.
Post a Comment