Hili ndilo daraja laMungu lililoko mbele kidogo ya Kiwira.Hapo zamani daraja hili lilikuwa na maajabu ya pekee.Siwezi kueleza maajabu yote lakini hiko kidaraja unachokiona hapo hakijawahi kujaa hata siku moja hata mafuriko yawe makubwa kiasi gani...
Haya ndiyo maporomoko ya Kaporogwe...kwa kidhungu wanasema ..Kaporogwe falls
Mto Kiwira
KAYA 7,816 TANGA ZANUFAIKA NA MPANGO WA BIMA YA AFYA KWA WOTE
-
Na Oscar Assenga,TANGA.
'
Zaidi ya wananchi 20,000 kutoka kaya masikini mkoani Tanga wameanza
kunufaika na mpango wa Bima ya Afya kwa Wote, unaolenga kub...
6 hours ago
0 Responses so far.
Post a Comment