Hili ndilo daraja laMungu lililoko mbele kidogo ya Kiwira.Hapo zamani daraja hili lilikuwa na maajabu ya pekee.Siwezi kueleza maajabu yote lakini hiko kidaraja unachokiona hapo hakijawahi kujaa hata siku moja hata mafuriko yawe makubwa kiasi gani...
Haya ndiyo maporomoko ya Kaporogwe...kwa kidhungu wanasema ..Kaporogwe falls
Mto Kiwira
Benki ya Absa Tanzania ilivyoshiriki Maonesho ya Wakulima Nane Nane Mkoani
Dodoma
-
Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo (Katikati), akipewa maelezo kuhusu
huduma mbalimbali za kibenki zinazotolewa na Benki ya Absa Tanzania,
alipote...
3 hours ago
0 Responses so far.
Post a Comment