Remigius Komba a.k.a Reyme K -Chief photographer wa Blog hii akiwaza kwa makini jinsi ya kuweza kuiboresha zaidi blog hii kwa picha zenye ubora na kiwango cha hali ya juu.Mshikaji ni mwanafunzi wa mwaka wa pili Digrii ya sheria chuo kikuu Mzumbe.
Sio siri jamaa anatisha sana katika maswala ya photos...michuzi upo?ana ma skilz kibao katika maswala ya production za muziki,picha na kompyuta.
Kwa taarifa yako...picha zote unazoziona humu ni kazi ya mikono yake Reyme K.
Tuzo za ZICA: NBC Yaibuka Kinara Uwezeshaji Miradi ya Ujenzi Zanzibar.
-
Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeibuka mshindi kwenye Tuzo za Kimataifa
za Ujenzi Zanzibar (ZICA Awards) baada ya kutunukiwa tuzo ya Benki Bora
katika K...
1 hour ago
0 Responses so far.
Post a Comment