Remigius Komba a.k.a Reyme K -Chief photographer wa Blog hii akiwaza kwa makini jinsi ya kuweza kuiboresha zaidi blog hii kwa picha zenye ubora na kiwango cha hali ya juu.Mshikaji ni mwanafunzi wa mwaka wa pili Digrii ya sheria chuo kikuu Mzumbe.
Sio siri jamaa anatisha sana katika maswala ya photos...michuzi upo?ana ma skilz kibao katika maswala ya production za muziki,picha na kompyuta.
Kwa taarifa yako...picha zote unazoziona humu ni kazi ya mikono yake Reyme K.
MIXX yakutanisha wajasiriamali 18 Sabasaba
-
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MIXX imewakutanisha wajasiriamali 18 katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya
Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba), ...
1 hour ago
0 Responses so far.
Post a Comment