Remigius Komba a.k.a Reyme K -Chief photographer wa Blog hii akiwaza kwa makini jinsi ya kuweza kuiboresha zaidi blog hii kwa picha zenye ubora na kiwango cha hali ya juu.Mshikaji ni mwanafunzi wa mwaka wa pili Digrii ya sheria chuo kikuu Mzumbe.
Sio siri jamaa anatisha sana katika maswala ya photos...michuzi upo?ana ma skilz kibao katika maswala ya production za muziki,picha na kompyuta.
Kwa taarifa yako...picha zote unazoziona humu ni kazi ya mikono yake Reyme K.
NBAA YASHIRIKI MAONESHO YA 50 YA KIMATAIFA YA BIASHARA YA SABASABA 2026
-
BODI ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) inashiriki
Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya 50 yanayoendelea kwenye Viwanja vya
Sabasab...
24 minutes ago
0 Responses so far.
Post a Comment