Remigius Komba a.k.a Reyme K -Chief photographer wa Blog hii akiwaza kwa makini jinsi ya kuweza kuiboresha zaidi blog hii kwa picha zenye ubora na kiwango cha hali ya juu.Mshikaji ni mwanafunzi wa mwaka wa pili Digrii ya sheria chuo kikuu Mzumbe.
Sio siri jamaa anatisha sana katika maswala ya photos...michuzi upo?ana ma skilz kibao katika maswala ya production za muziki,picha na kompyuta.
Kwa taarifa yako...picha zote unazoziona humu ni kazi ya mikono yake Reyme K.
KAMISHNA KUJI AFANYA ZIARA YA KIKAZI KUKAGUA MIUNDOMBINU HIFADHI YA TAIFA
SERENGETI
-
Na. Philipo Hassan - SERENGETI
Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), CPA
Mussa Nassoro Kuji, leo Machi 01, 2026, amefanya ...
1 hour ago
0 Responses so far.
Post a Comment