Hivi karibuni nimepata maoni kupitia email na namba yangu ya simu kutoka kwa wadau mbalimbali wa blog hii kuwa wanapata shida sana katika taratibu za kutuma maoni yao.
Zifuatazo ni hatua muhimu katika kutuma maoni kupitia blog hii
1. Bofya kwenye sehemu iliyoandikwa maoni
2. ikishafunguka bofya tena sehemu iliyoandikwa post a comment
3.Ikifunguka anza kuandika maoni yako
4.Jaza maneno yanayoonekana katika kiboksi (word verification) kisha
5.Chagua sehemu iliyoandikwa anonymous kisha
6.Bofya sehemu iliyoandikwa "publish your comment "
Ukikamilisha taratibu hizi hapo maoni yako yatachapishwa moja kwa moja katika sehemu ya maoni.
Karibu tena....
UJUMBE WA SERIKALI YA SOMALIA WATEMBELEA TPSC KUJIFUNZA KUHUSU MAFUNZO NA
MAGEUZI YA UTUMISHI WA UMMA
-
Dar es Salaam, Agosti 31, 2026 Serikali ya Somalia imeendelea kuchukua
hatua za kuimarisha mageuzi ya utumishi wa umma kwa kujipanga kuanzisha
Chuo cha T...
34 minutes ago
0 Responses so far.
Post a Comment