Hivi karibuni nimepata maoni kupitia email na namba yangu ya simu kutoka kwa wadau mbalimbali wa blog hii kuwa wanapata shida sana katika taratibu za kutuma maoni yao.
Zifuatazo ni hatua muhimu katika kutuma maoni kupitia blog hii
1. Bofya kwenye sehemu iliyoandikwa maoni
2. ikishafunguka bofya tena sehemu iliyoandikwa post a comment
3.Ikifunguka anza kuandika maoni yako
4.Jaza maneno yanayoonekana katika kiboksi (word verification) kisha
5.Chagua sehemu iliyoandikwa anonymous kisha
6.Bofya sehemu iliyoandikwa "publish your comment "
Ukikamilisha taratibu hizi hapo maoni yako yatachapishwa moja kwa moja katika sehemu ya maoni.
Karibu tena....
DK SAMIA:UJENZI RELI SGR MWANZA -DAR KUFUNGUA FURSA ZAKIUCHUMI,BIASHARA
-
*Pia aweka wazi mkakati kufufua viwanda vya Ginery kuongeza thamani ya pamba
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
32 minutes ago
0 Responses so far.
Post a Comment