Hivi karibuni nimepata maoni kupitia email na namba yangu ya simu kutoka kwa wadau mbalimbali wa blog hii kuwa wanapata shida sana katika taratibu za kutuma maoni yao.
Zifuatazo ni hatua muhimu katika kutuma maoni kupitia blog hii
1. Bofya kwenye sehemu iliyoandikwa maoni
2. ikishafunguka bofya tena sehemu iliyoandikwa post a comment
3.Ikifunguka anza kuandika maoni yako
4.Jaza maneno yanayoonekana katika kiboksi (word verification) kisha
5.Chagua sehemu iliyoandikwa anonymous kisha
6.Bofya sehemu iliyoandikwa "publish your comment "
Ukikamilisha taratibu hizi hapo maoni yako yatachapishwa moja kwa moja katika sehemu ya maoni.
Karibu tena....
WABUNGE WAJENGEWA UWEZO WA HAKI MADINI NA HAKI ARDHI
-
*Na Mwandishi wetu, Dodoma*
*Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imepatiwa mafunzo maalum
kuhusu Sheria, Kanuni na Miongozo ya Sekta ya Mad...
31 minutes ago
0 Responses so far.
Post a Comment