Hivi karibuni nimepata maoni kupitia email na namba yangu ya simu kutoka kwa wadau mbalimbali wa blog hii kuwa wanapata shida sana katika taratibu za kutuma maoni yao.
Zifuatazo ni hatua muhimu katika kutuma maoni kupitia blog hii
1. Bofya kwenye sehemu iliyoandikwa maoni
2. ikishafunguka bofya tena sehemu iliyoandikwa post a comment
3.Ikifunguka anza kuandika maoni yako
4.Jaza maneno yanayoonekana katika kiboksi (word verification) kisha
5.Chagua sehemu iliyoandikwa anonymous kisha
6.Bofya sehemu iliyoandikwa "publish your comment "
Ukikamilisha taratibu hizi hapo maoni yako yatachapishwa moja kwa moja katika sehemu ya maoni.
Karibu tena....
SUA YASISITIZA MCHANGO WA WAFANYAKAZI, YAENDELEA KUBORESHA MAZINGIRA YA KAZI
-
Farida Mangube, Morogoro
CHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kimesisitiza kuwa mafanikio yake
katika tafiti, ufundishaji na utoaji wa huduma kwa ...
3 hours ago
0 Responses so far.
Post a Comment