Hivi karibuni nimepata maoni kupitia email na namba yangu ya simu kutoka kwa wadau mbalimbali wa blog hii kuwa wanapata shida sana katika taratibu za kutuma maoni yao.
Zifuatazo ni hatua muhimu katika kutuma maoni kupitia blog hii
1. Bofya kwenye sehemu iliyoandikwa maoni
2. ikishafunguka bofya tena sehemu iliyoandikwa post a comment
3.Ikifunguka anza kuandika maoni yako
4.Jaza maneno yanayoonekana katika kiboksi (word verification) kisha
5.Chagua sehemu iliyoandikwa anonymous kisha
6.Bofya sehemu iliyoandikwa "publish your comment "
Ukikamilisha taratibu hizi hapo maoni yako yatachapishwa moja kwa moja katika sehemu ya maoni.
Karibu tena....
KATIBU MKUU LUEHEMEJA AIFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU SIFAEL
-
*Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Cypriana Luhemeja akiifariji
familia ya aliyeshiriki tukio la kuchanganya udongo wa iliyokuwa Tanganyika
na ...
1 hour ago
0 Responses so far.
Post a Comment