STANBIC YAHIMIZA UFADHILI UNAONGOZWA NA WAAFRIKA ILI KUFUNGUA FURSA ZA
MIUNDOMBINU BARANI AFRIKA
-
Afrika inapaswa kutumia zaidi mitaji yake ya ndani, kuimarisha ushirikiano
wa kikanda na kukuza masoko ya fedha ya ndani ili kuziba pengo la ufadhili
wa ...
4 hours ago

Mandhali ya Rungwe huwa yananiacha hoi, kama nikifanikiwa kuwa na pesa nzuri lazima nitarudi kukaa Rungwe, si nyumbani kwetu ila nimetokea kuipenda san aardhi yake, ina kila kitu!!! na bado unashangaa nchi ni maskini. OMG! Tunahitaji msaada mkubwa.