Dkt. Abbasi: Royal Tour Imelipa, Tunakuja na Mikakati Mingine Kabambe
-
Na Mwandishi Wetu, Arusha
Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, leo Aprili
30, 2026, “amewapiga msasa” waongoza watalii zaidi y...
9 hours ago

Mandhali ya Rungwe huwa yananiacha hoi, kama nikifanikiwa kuwa na pesa nzuri lazima nitarudi kukaa Rungwe, si nyumbani kwetu ila nimetokea kuipenda san aardhi yake, ina kila kitu!!! na bado unashangaa nchi ni maskini. OMG! Tunahitaji msaada mkubwa.