KAMISHNA KUJI AFANYA ZIARA YA KIKAZI KUKAGUA MIUNDOMBINU HIFADHI YA TAIFA
SERENGETI
-
Na. Philipo Hassan - SERENGETI
Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), CPA
Mussa Nassoro Kuji, leo Machi 01, 2026, amefanya ...
1 hour ago

Mandhali ya Rungwe huwa yananiacha hoi, kama nikifanikiwa kuwa na pesa nzuri lazima nitarudi kukaa Rungwe, si nyumbani kwetu ila nimetokea kuipenda san aardhi yake, ina kila kitu!!! na bado unashangaa nchi ni maskini. OMG! Tunahitaji msaada mkubwa.