Wenye uzito uliopitilizwa waitwa kufanyiwa matibabu
-
*Kambi maalum inaanza Jumatatu hadi Septemba 11
Na Mwandishi Wetu
HOSPITALI ya Shifaa Pan African ya Kinondoni jijini Dar es Salaam imeandaa
kambi maa...
2 hours ago

Mandhali ya Rungwe huwa yananiacha hoi, kama nikifanikiwa kuwa na pesa nzuri lazima nitarudi kukaa Rungwe, si nyumbani kwetu ila nimetokea kuipenda san aardhi yake, ina kila kitu!!! na bado unashangaa nchi ni maskini. OMG! Tunahitaji msaada mkubwa.