Siku soko la mwanjelwa lilipokumbwa na zahama ya moto..kama ilivyo kawaida yetu...matukio ya hatari kama haya yanapotokea huwa hatubaki nyuma katika kushuhudia...ingawa ilikuwa ni usiku lakini watu kibao kutoka pande mbalimbali za jiji la mbeya walikusanyika kama unavyowaona hapa
KATIBU MKUU LUEHEMEJA AIFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU SIFAEL
-
*Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Cypriana Luhemeja akiifariji
familia ya aliyeshiriki tukio la kuchanganya udongo wa iliyokuwa Tanganyika
na ...
50 minutes ago
0 Responses so far.
Post a Comment