Siku soko la mwanjelwa lilipokumbwa na zahama ya moto..kama ilivyo kawaida yetu...matukio ya hatari kama haya yanapotokea huwa hatubaki nyuma katika kushuhudia...ingawa ilikuwa ni usiku lakini watu kibao kutoka pande mbalimbali za jiji la mbeya walikusanyika kama unavyowaona hapa
UONGOZI WA WAADVENTISTA TEXAS WAOMBA MAOMBI KWA AJILI YA MCHUNGAJI
ALIYEKAMATWA
-
*Uongozi wa Konferensi ya Texas ya Kanisa la Waadventista wa Sabato umetoa
wito kwa waumini kuungana kumwombea Mchungaji Luis Morales na familia yake,...
8 hours ago
0 Responses so far.
Post a Comment