Siku soko la mwanjelwa lilipokumbwa na zahama ya moto..kama ilivyo kawaida yetu...matukio ya hatari kama haya yanapotokea huwa hatubaki nyuma katika kushuhudia...ingawa ilikuwa ni usiku lakini watu kibao kutoka pande mbalimbali za jiji la mbeya walikusanyika kama unavyowaona hapa
KAMISHNA KUJI AFANYA ZIARA YA KIKAZI KUKAGUA MIUNDOMBINU HIFADHI YA TAIFA
SERENGETI
-
Na. Philipo Hassan - SERENGETI
Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), CPA
Mussa Nassoro Kuji, leo Machi 01, 2026, amefanya ...
57 minutes ago
0 Responses so far.
Post a Comment