Kutoka kushoto:Uhuru Kenyatta na William Ruto wakiteta Jambo katika kampeni zao za mwisho za uchaguzi ujao wa Kenya ,utakaofanyika jumatatu tarehe 4/3/2013 ,walitembelea mitaa ya Kapkatet, Bungoma na Homabay nchini Kenya ,wao wakiwakilisha kundi la JUBILEE.
Uhuru Kenyatta(gari la bluu)  na William Ruto (gari jekundu) wakiwa katika magari ya wazi katika kampeni zao za mwisho za uchaguzi ujao wa Kenya ,utakaofanyika jumatatu tarehe 4/3/2013 ,walitembelea mitaa ya Kapkatet, Bungoma na Homabay nchini Kenya ,wao wakiwakilisha kundi la JUBILEE.


Uhuru Kenyatta na William Ruto wakitaka kuyarudi mangoma katika kampeni zao za uchaguzi ujao wa Kenya ,utakaofanyika jumatatu tarehe 4/3/2013 ,walitembelea mitaa ya Kapkatet, Bungoma na Homabay nchini Kenya ,wao wakiwakilisha kundi la JUBILEE.
William Ruto akiteta Jambo katika kampeni za mwisho za uchaguzi ujao wa Kenya ,utakaofanyika jumatatu tarehe 4/3/2013 ,walitembelea mitaa ya Kapkatet, Bungoma na Homabay nchini Kenya ,wao wakiwakilisha kundi la JUBILEE.
Huu ni UMATI wa watu waliokuja kuhudhuria kampeni za JUBILEE katika mitaa ya Kapkatet, Bungoma na Homabay ,uchaguzi utakafanyika jumatatu tarehe 4/3/2013
Mwana dada akifurahia kampeni za upande wa JUBILEE ,akiwa amevaliwa vazi lenye jina la chama cha TNA ambacho Uhuru Kenyatta ndie anakiwania nacho urais wa Kenya Jumatatu Ijayo. Kwa hisani ya Wazalendo 25 Blog

photo


Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipokea ujumbe maalumu kutoka kwa Rais Omar El Bashir wa Sudan ulioletwa na Mhe.Dkt.Nafie Ali Nafie ikulu jijini Dar es Salaam  Jana asubuhi.Picha na Freddy Maro-IKULU

photo

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini Mpango wa Umoja wa Mataifa wa Amani, Usalama na Ushirikiano katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wakati wa hafla hiyo maalumu iliyofanyika makao makuu ya Umoja wa Afrika mjini  Addis Ababa, Ethiopia.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini Mpango wa Umoja wa Mataifa wa Amani, Usalama na Ushirikiano katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wakati wa hafla hiyo maal: umu iliyofanyika makao makuu ya Umoja wa Afrika mjini  Addis Ababa, Ethiopia.
  Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Mhe Ban Ki-moon akiweka saini Mpango wa Umoja wa Mataifa wa Amani, Usalama na Ushirikiano katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wakati wa hafla hiyo maal: umu iliyofanyika makao makuu ya Umoja wa Afrika mjini  Addis Ababa, Ethiopia.
 Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Mataifa Dkt  Nkosazana Clarice Dlamini-Zuma akisaini Mpango wa Umoja wa Mataifa wa Amani, Usalama na Ushirikiano katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wakati wa hafla hiyo maalumu iliyofanyika makao makuu ya Umoja wa Afrika mjini  Addis Ababa, Ethiopia.
 Rais Joseph Kabila wa DRC na Rais Paul Kagame wa Rwanda wakibadilishana mawazo kwa furaha huku Rais wa Jamhuri ya Kongo (Brazaville) Mhe Denis Sassou Nguesso akiwa kati yao baada ya wote kweka saini  katika Mpango wa Umoja wa Mataifa wa Amani, Usalama na Ushirikiano katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wakati wa hafla hiyo maalumu iliyofanyika makao makuu ya Umoja wa Afrika mjini  Addis Ababa, Ethiopia.
 Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe Shamsi Vuai Nahodha pamoja na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Mahadhi Juma Maalim na wajumbe wengine wa ujumbe wa Tanzania wakati wa uwekaji akiweka saini Mpango wa Umoja wa Mataifa wa Amani, Usalama na Ushirikiano katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wakati wa hafla hiyo maalumu iliyofanyika makao makuu ya Umoja wa Afrika mjini  Addis Ababa, Ethiopia.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipongezwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Bw. Ban Ki-moon kwa kuwa mmoja wa viongozi wa bara la Afrika walio mstari wa mbele kusimamia amani baada uwekaji akiweka saini Mpango wa Umoja wa Mataifa wa Amani, Usalama na Ushirikiano katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wakati wa hafla hiyo maalumu iliyofanyika makao makuu ya Umoja wa Afrika mjini  Addis Ababa, Ethiopia.
  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipongezana na Waziri Mkuu wa Ethiopia Mhe. Hailemariam Desalegn baada uwekaji akiweka saini Mpango wa Umoja wa Mataifa wa Amani, Usalama na Ushirikiano katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wakati wa hafla hiyo maalumu iliyofanyika makao makuu ya Umoja wa Afrika mjini  Addis Ababa, Ethiopia. Katikati ni Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Mataifa Dkt  Nkosazana Clarice Dlamini-Zuma
Rais wa Rwanda Paul Kagame  akiisaini Mpango wa Umoja wa Mataifa wa Amani, Usalama na Ushirikiano katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wakati wa hafla hiyo maalumu iliyofanyika makao makuu ya Umoja wa Afrika mjini  Addis Ababa, Ethiopia.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Mhe Ban Ki-moon katika picha ya pamoja na viongozi wa nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu baada ya uwekaji akiweka saini Mpango wa Umoja wa Mataifa wa Amani, Usalama na Ushirikiano katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wakati wa hafla hiyo maalumu iliyofanyika makao makuu ya Umoja wa Afrika mjini  Addis Ababa, Ethiopia,  Februari 24, 2013.Picha na IKULU
---

STATEMENT BY H.E. JAKAYA MRISHO KIKWETE, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA AT THE SIGNING CEREMONY OF THE PEACE, SECURITY AND COOPERATION FRAMEWORK FOR THE DEMOCRATIC REPUBLIC OF CONGO (DRC) AND THE REGION,24TH FEBRUARY 2013, ADDIS ABABA, ETHIOPIA.
-- 
Your Excellency Haillemariam Desalegn, Prime Minister of the Federal Democratic Republic Ethiopia and Chairperson of the African Union;
Excellencies Heads of State and Government;
Your Excellency Ban Ki-moon, Secretary General of the United Nations;
Your Excellency Dr. Nkosazan Dlamin Zuma, Chairperson of the African Union Commission;
Invited Guests;
Ladies and Gentlemen.

This is a very auspicious and historic day for the people of the Democratic Republic of Congo, her neighbours and the entire Great Lakes Region. It is a momentous day for the Southern African Development Community (SADC), Africa, the African Union, United Nations and the entire international community.

  The people of the DRC have suffered for too long. They deserve a break. They deserve to live a better life; a life where their safety and security is assured and guaranteed; a life where they pre-occupy themselves with more important things for improving their living conditions. 

The signatures we have just appended to the Framework is a solemn undertaking and commitment to deliver on the aspirations of the people of DRC and the Great Lakes Region for peace, security, stability and cooperation.

On behalf of the Government and people of the United Republic of Tanzania I promise that we will play our part accordingly.

In conclusion, I commend the Secretary General of the United Nations, H.E. Ban Ki-Moon for this great initiative. I thank the AU Commission Chairperson, H.E. Nkosazana Dlamini Zuma for the Leadership which made this event possible. 

Last but not least, I thank the Prime Minister of Ethiopia and Chairperson of the African Union, H.E. Hailemariam Desalegn for his wise leadership and warm reception and gracious hospitality accorded to us.

I thank you for your kind attention.

photo

Baada ya kimya cha muda mrefu globuni,sasa nimerudi rasmi.



Mh Amina chifupa akiapa mbele ya Bunge.....nimeipenda picha hii, wewe je?

photo ,

Nani alaumiwe kwa hili?



Picha hii nimetumiwa na mdau kutoka jijini Arusha...ni kama anasikia raha eh?


Wanakijiji nikumbusheni...mnyama huyu huwakilisha nnini kwenye hela yetu?
Unaweza kupagundua mahali hapa? hivi watu wa mipango miji wanajua madhara ya kuruhusu ujenzi wa namna hii?ebu wadau wasilisheni hoja maana kila nikikumbuka kile kilichotokea katika soko la mwanjerwa moyo wangu huruka kichurachura



Aliyekuwa Rais wa Benki ya Dunia akitafakari jambo......


Usipomjua huyu wewe si Mtanganyika....anaitwa nani vile?


Wapi hapa?


Hili ndilo kundi la Acappella kutoka Africa ya kusini lijulikanalo kama Ladysmith black Mambazo.Kundi hili linaimba muziki wa asili bila kutumia vyombo vya muziki yaani akapela na lilianzishwa mwaka 1964 na kiongozi wa kundi hilo - wa kwanza kutoka kushoto mstari wa mbele ambaye anaitwa Joseph shabalala.
Kundi hili ni moja ya vikundi maarufu duniani vinavyoimba muziki wa acappella kutoka Africa na kwa taarifa yako limesafiri na kushirikishwa na waimbaji mbalimbali maarufu duniani. Sauti za kundi hili ndizo zinazosikika katika ile picha ya Eddie Murphy iliyotokewa kupendwa sana ya COMING TO AMERICA.kama hujawahi kuitazama nenda kaikandamize sasa hivi.
Jamaa hawa wako mbioni kuja nchini Tanzania kwa udhamini wa Nyanza Company Limited


Hii imekaaje?
Mwanamke wa shoka...unamkumbuka huyu?.....hata kama humkumbuki lakini amini kuwa siku hazigandi


Hii ndiyo njia inayoelekea kituo cha watoto yatima Simike jijini Mbeya.......Kituo cha Simike kimeanzishwa miaka 17 iliyopita, wadau naomba niwapeleke moja kwa moja mkajionee wenyewe mandhari ya huko ili tusaidiane kwa pamoja katika kuwasaidia hawa wadogo zetu.
Safari yangu kuelekea kinjia hiko juu ilianzia hapa


Mtoto huyu umuoneaye hapo alipo hasikii, haoni na wala haongei.
Ni mmoja wa watoto yatima wanaolelewa na kituo cha Simike jiji Mbeya.



Mtoto huyu anayejulikana kwa jina la Amani ni mmoja kati ya watoto yatima wanaolelewa na kituo cha watoto yatima cha Simike...Mtoto huyu alipelekwa kituoni hapo akiwa na umri wa wiki moja baada ya mama yake aliyemzaa kumtelekeza katika hospitali ya wazazi ya Meta.Hapa alikuwa akiwaimbisha wenzake.
Watoto hawa wanahitaji msaada wako, hata kuwatembelea na kuwajulia hali na kuongea nao ni sehemu mojawapo ya kuwapatia faraja


Mazingira ya ndani.....mbele ya hilo pipa kwa upande wa kulia ndipo kilipo chumba hiki hapa chini


Chumba hiki hutumiwa kama sebule na darasa kwa watoto wa kituo cha Yatima Simike


Wema Sepetu? !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Wadau toeni maoni juu ya hili......mimi naona haikubaliki totally


Ni vitu vya kawaida ukiwa ughaibuni kutinga makoti kama haya....nimepozi na Frank Zacharia..Mkurugenzi wa Nyanza Company Limited



Ukiingia tu ndani ya geti la Hospitali ya wazazi Meta karibu na jengo la damu utakaribishwa na ujumbe huu


Wabongo wengi wamekuwa na kasumba ya kuogopa kutoa damu...hivi tatizo ni nini?ukosefu wa elimu au?Michuzi unasemaje?kama huogopi njoo


Afande Sele akiwa katika pozi ndani ya gari lililokuwa likitumiwa na tour ya wanaume halisi na ndege tunduni...jamaa anatisha sana katika utunzi wa mashairi yaliyokwenda shule....Kitururu unamzungumziaje mshikaji huyu?...toa hoja



Hawa ni moja ya wadau wangu wa blog hii ambao nao wanakandamiza digrii ya sheria ughaibuni....jamaa anaitwa Keny ambaye pia ni mtunzi mashuhuri wa mashairi ya kidhungu...huyo mdada aliyenaye ndiye my nanii wake


Ikulu inavyoonekana kwa mbele. Soma historia yake fupi hapa chini

Ikulu ya tanzania ndiyo ofisi kuu ya Rais wa jamhuri ya tanzania ambapo ilianza kutumika kama ofisi ya Rais wa Tanzania mwaka 1962.


Jengo hili la Ikulu lilijengwa kwa mara ya kwanza mwaka 1919 na Gavana wa kwanza wa kijerumani ndugu Horrace Byatt. Baada ya gavana huyu kuingia madarakani alilazimika kukaa katika makazi ya muda yaliyoko karibu na Ikulu ya sasa ambayo makazi hayo yanatumika kama ofisi za wizara ya Afya.


Ujenzi huo ulikuja kukamilika mwaka 1922 huku baadhi ya nakshi za jengo hilo zikiwa zimewekwa na ndugu J. H Sinclair - Mtaalam wa majengo wakati wa ukoloni.


Mapambo mengine katika jengio hilo yalikuja kuongezeka baada ya uhuru ambapo mataifa mbalimbali yaliyotoa zawadi kama sehemu ya furaha yao katika kusherehekea uhuru wa tanzania.





Hili ndilo Fuvu la chief wa wahehe....MKWAWA likiwa katika sehemu ya makumbusho huko Kalenga-Iringa.Fuvu hili lilirudishwa nchini Tanzania (Tanganyika kwa wakati huo) na serikali ya kijerumani mwaka 1954 kwa kuzingatia mkataba wa versaile mwaka 1919 ulioitaka serikali ya kijerumani kulirudisha fuvu hilo.
Chief Mkwawa inasemekana alizaliwa kati ya mwaka 1855 -1898 akiwa mtoto wa Mwinyigumba aliyefariki mwaka 1879


Hiki ndicho kivuko cha Ferry jijini Dar es salaam


Teddy Sodoyeka akitabasam baada ya kugundua kuwa kamera ya kutoka duniani ipo sambamba na uwepo wake...mdada anakamua Digrii ya sheria Ughaibuni


Wadau wa Blog hii wakiwa katika nyuso za furaha.....kutoka kulia ni Teddy Sodoyeka, Neema Haki na rafiki yao kipenzi anayefanya makamuzi pale Hope Univeristy

Uspime



Mshikaji akiwa katika pozi...maeneo ya arusha nilipotembelea hivi karibuni.


Yale matokeo ya kidato cha sita yaliyokuwa yakisubiriwa kwa hamu kubwa na watahiniwa wa mtihani huo yameshatoka huku shule nyingi zikiwa zimefanya vibaya uklinganisha na miaka iliyopita. Kiwango cha kufaulu kwa mujibu wa baraza la mitihani la taifa kimepungua kwa asilimia sita ukilinganisha na mwaka jana.
Matokeo hayo hivi saa yanapatikana live bila chenga kupitia mtandao wa
www.moe.go.tz
Bofya hapo kuangalia matokeo


Kwa wale wasioifahamu vizuri sura halisi ya Idd enzi za uhai wake
Jamaa alijitwika mavyeo kibao....




Utamaduni huu hatuwezi kuuiga....kwa habari zaidi bofya hapa www.saharanvibe.blogspot.com