Yale matokeo ya kidato cha sita yaliyokuwa yakisubiriwa kwa hamu kubwa na watahiniwa wa mtihani huo yameshatoka huku shule nyingi zikiwa zimefanya vibaya uklinganisha na miaka iliyopita. Kiwango cha kufaulu kwa mujibu wa baraza la mitihani la taifa kimepungua kwa asilimia sita ukilinganisha na mwaka jana.
Matokeo hayo hivi saa yanapatikana live bila chenga kupitia mtandao wa www.moe.go.tz
Bofya hapo kuangalia matokeo
SERIKALI YATANGAZA NEEMA KWA WAKULIMA KUPITIA VISIMA VYA UMWAGILIAJI
-
Njedengwa - Dodoma 📍
SERIKALI inaendelea na utekelezaji wa mkakati wake wa kuongeza tija katika
kilimo baada ya kusambaza pampu za Umwagiliaji kwa vikun...
4 hours ago
0 Responses so far.
Post a Comment