Yale matokeo ya kidato cha sita yaliyokuwa yakisubiriwa kwa hamu kubwa na watahiniwa wa mtihani huo yameshatoka huku shule nyingi zikiwa zimefanya vibaya uklinganisha na miaka iliyopita. Kiwango cha kufaulu kwa mujibu wa baraza la mitihani la taifa kimepungua kwa asilimia sita ukilinganisha na mwaka jana.
Matokeo hayo hivi saa yanapatikana live bila chenga kupitia mtandao wa www.moe.go.tz
Bofya hapo kuangalia matokeo
WANAFUNZI LYOTO WAFIKIWA NA JESHI LA POLISI.
-
*Kuelekea Maadhimisho ya miaka 20 ya Polisi Jamii nchini, Jeshi la Polisi
Mkoa wa Mbeya limewataka Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Lyoto kutoa
taarifa z...
1 hour ago
0 Responses so far.
Post a Comment