Yale matokeo ya kidato cha sita yaliyokuwa yakisubiriwa kwa hamu kubwa na watahiniwa wa mtihani huo yameshatoka huku shule nyingi zikiwa zimefanya vibaya uklinganisha na miaka iliyopita. Kiwango cha kufaulu kwa mujibu wa baraza la mitihani la taifa kimepungua kwa asilimia sita ukilinganisha na mwaka jana.
Matokeo hayo hivi saa yanapatikana live bila chenga kupitia mtandao wa www.moe.go.tz
Bofya hapo kuangalia matokeo
Katibu Mkuu CCM akutana na Balozi wa Umoja wa Ulaya Kujadili Ushirikiano wa
Maendeleo
-
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Asha-Rose Migiro, amefanya
mazungumzo na Mheshimiwa Christine Grau, Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini
Tanz...
6 hours ago
0 Responses so far.
Post a Comment