Yale matokeo ya kidato cha sita yaliyokuwa yakisubiriwa kwa hamu kubwa na watahiniwa wa mtihani huo yameshatoka huku shule nyingi zikiwa zimefanya vibaya uklinganisha na miaka iliyopita. Kiwango cha kufaulu kwa mujibu wa baraza la mitihani la taifa kimepungua kwa asilimia sita ukilinganisha na mwaka jana.
Matokeo hayo hivi saa yanapatikana live bila chenga kupitia mtandao wa www.moe.go.tz
Bofya hapo kuangalia matokeo
DK SAMIA:UJENZI RELI SGR MWANZA -DAR KUFUNGUA FURSA ZAKIUCHUMI,BIASHARA
-
*Pia aweka wazi mkakati kufufua viwanda vya Ginery kuongeza thamani ya pamba
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
39 minutes ago
0 Responses so far.
Post a Comment