Yale matokeo ya kidato cha sita yaliyokuwa yakisubiriwa kwa hamu kubwa na watahiniwa wa mtihani huo yameshatoka huku shule nyingi zikiwa zimefanya vibaya uklinganisha na miaka iliyopita. Kiwango cha kufaulu kwa mujibu wa baraza la mitihani la taifa kimepungua kwa asilimia sita ukilinganisha na mwaka jana.
Matokeo hayo hivi saa yanapatikana live bila chenga kupitia mtandao wa www.moe.go.tz
Bofya hapo kuangalia matokeo
KAMISHNA KUJI AFANYA ZIARA YA KIKAZI KUKAGUA MIUNDOMBINU HIFADHI YA TAIFA
SERENGETI
-
Na. Philipo Hassan - SERENGETI
Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), CPA
Mussa Nassoro Kuji, leo Machi 01, 2026, amefanya ...
1 hour ago
0 Responses so far.
Post a Comment