Yale matokeo ya kidato cha sita yaliyokuwa yakisubiriwa kwa hamu kubwa na watahiniwa wa mtihani huo yameshatoka huku shule nyingi zikiwa zimefanya vibaya uklinganisha na miaka iliyopita. Kiwango cha kufaulu kwa mujibu wa baraza la mitihani la taifa kimepungua kwa asilimia sita ukilinganisha na mwaka jana.
Matokeo hayo hivi saa yanapatikana live bila chenga kupitia mtandao wa www.moe.go.tz
Bofya hapo kuangalia matokeo
ELIMU YA VIPIMO YAWAVUTA WENGI KWENYE MAONESHO YA BIASHARA YA AFRIKA
MASHARIKI
-
*Na WMA - Mwanza*
*Banda la Wakala wa Vipimo (WMA) limeendelea kuvutia makundi mbalimbali ya
wananchi katika Maonesho ya Biashara ya Afrika Mashariki...
4 hours ago
0 Responses so far.
Post a Comment