Yale matokeo ya kidato cha sita yaliyokuwa yakisubiriwa kwa hamu kubwa na watahiniwa wa mtihani huo yameshatoka huku shule nyingi zikiwa zimefanya vibaya uklinganisha na miaka iliyopita. Kiwango cha kufaulu kwa mujibu wa baraza la mitihani la taifa kimepungua kwa asilimia sita ukilinganisha na mwaka jana.
Matokeo hayo hivi saa yanapatikana live bila chenga kupitia mtandao wa www.moe.go.tz
Bofya hapo kuangalia matokeo
NIDA YANG’ARA IKULU: YAKABIDHI TZS 61,053,535,363 KWA MAENDELEO YA WANANCHI
-
Dar es Salaam, 1 Julai 2026 Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA)
inapenda kuufahamisha Umma wa Watanzania kuwa tarehe 30 Juni 2026,
imekabidhi Serik...
5 minutes ago
0 Responses so far.
Post a Comment