Yale matokeo ya kidato cha sita yaliyokuwa yakisubiriwa kwa hamu kubwa na watahiniwa wa mtihani huo yameshatoka huku shule nyingi zikiwa zimefanya vibaya uklinganisha na miaka iliyopita. Kiwango cha kufaulu kwa mujibu wa baraza la mitihani la taifa kimepungua kwa asilimia sita ukilinganisha na mwaka jana.
Matokeo hayo hivi saa yanapatikana live bila chenga kupitia mtandao wa www.moe.go.tz
Bofya hapo kuangalia matokeo
RC Sendiga Aongoza Zoezi la Ugawaji Bima ya Afya kwa Kaya Maskini Babati
-
Na Mwandishi Wetu, Manyara.
WANANCHI wa kaya maskini katika Kijiji cha Imbilili, Kata ya Sigino, Wilaya
ya Babati mkoani Manyara, wameanza kunufaika na hud...
10 hours ago
0 Responses so far.
Post a Comment