Hii ndiyo njia inayoelekea kituo cha watoto yatima Simike jijini Mbeya.......Kituo cha Simike kimeanzishwa miaka 17 iliyopita, wadau naomba niwapeleke moja kwa moja mkajionee wenyewe mandhari ya huko ili tusaidiane kwa pamoja katika kuwasaidia hawa wadogo zetu.
Safari yangu kuelekea kinjia hiko juu ilianzia hapa
KATIBU MKUU LUEHEMEJA AIFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU SIFAEL
-
*Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Cypriana Luhemeja akiifariji
familia ya aliyeshiriki tukio la kuchanganya udongo wa iliyokuwa Tanganyika
na ...
1 hour ago
Duh!Mitaa ya simike sijakatiza tokea mwaka 80. Umenikumbusha mbali.
Blogu hii ina ladha ninayoipenda. Kazi nzuri!