Hii ndiyo njia inayoelekea kituo cha watoto yatima Simike jijini Mbeya.......Kituo cha Simike kimeanzishwa miaka 17 iliyopita, wadau naomba niwapeleke moja kwa moja mkajionee wenyewe mandhari ya huko ili tusaidiane kwa pamoja katika kuwasaidia hawa wadogo zetu.
Safari yangu kuelekea kinjia hiko juu ilianzia hapa
ULIPAJI KODI NI MSINGI WA MAENDELEO YA TAIFA - DC KISHAPU
-
Mkuu wa Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga Peter Masindi, amesema kulipa
kodi ni muhimu sana kwa maendeleo ya Taifa kwani kupitia Kodi Serikali
imeendelea...
34 minutes ago
Duh!Mitaa ya simike sijakatiza tokea mwaka 80. Umenikumbusha mbali.
Blogu hii ina ladha ninayoipenda. Kazi nzuri!