Hii ndiyo njia inayoelekea kituo cha watoto yatima Simike jijini Mbeya.......Kituo cha Simike kimeanzishwa miaka 17 iliyopita, wadau naomba niwapeleke moja kwa moja mkajionee wenyewe mandhari ya huko ili tusaidiane kwa pamoja katika kuwasaidia hawa wadogo zetu.
Safari yangu kuelekea kinjia hiko juu ilianzia hapa
Serikali yakutana na Mjumbe Malaam wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola
-
Na, Mwandishi Wetu
Ujumbe wa Serikali ya Tanzania ukingozwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri
Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Mhe. Profe...
49 minutes ago
Duh!Mitaa ya simike sijakatiza tokea mwaka 80. Umenikumbusha mbali.
Blogu hii ina ladha ninayoipenda. Kazi nzuri!