Hii ndiyo njia inayoelekea kituo cha watoto yatima Simike jijini Mbeya.......Kituo cha Simike kimeanzishwa miaka 17 iliyopita, wadau naomba niwapeleke moja kwa moja mkajionee wenyewe mandhari ya huko ili tusaidiane kwa pamoja katika kuwasaidia hawa wadogo zetu.
Safari yangu kuelekea kinjia hiko juu ilianzia hapa
Wenye uzito uliopitilizwa waitwa kufanyiwa matibabu
-
*Kambi maalum inaanza Jumatatu hadi Septemba 11
Na Mwandishi Wetu
HOSPITALI ya Shifaa Pan African ya Kinondoni jijini Dar es Salaam imeandaa
kambi maa...
2 hours ago
Duh!Mitaa ya simike sijakatiza tokea mwaka 80. Umenikumbusha mbali.
Blogu hii ina ladha ninayoipenda. Kazi nzuri!