Hii ndiyo njia inayoelekea kituo cha watoto yatima Simike jijini Mbeya.......Kituo cha Simike kimeanzishwa miaka 17 iliyopita, wadau naomba niwapeleke moja kwa moja mkajionee wenyewe mandhari ya huko ili tusaidiane kwa pamoja katika kuwasaidia hawa wadogo zetu.
Safari yangu kuelekea kinjia hiko juu ilianzia hapa
STANBIC YAHIMIZA UFADHILI UNAONGOZWA NA WAAFRIKA ILI KUFUNGUA FURSA ZA
MIUNDOMBINU BARANI AFRIKA
-
Afrika inapaswa kutumia zaidi mitaji yake ya ndani, kuimarisha ushirikiano
wa kikanda na kukuza masoko ya fedha ya ndani ili kuziba pengo la ufadhili
wa ...
4 hours ago
Duh!Mitaa ya simike sijakatiza tokea mwaka 80. Umenikumbusha mbali.
Blogu hii ina ladha ninayoipenda. Kazi nzuri!