Hii ndiyo njia inayoelekea kituo cha watoto yatima Simike jijini Mbeya.......Kituo cha Simike kimeanzishwa miaka 17 iliyopita, wadau naomba niwapeleke moja kwa moja mkajionee wenyewe mandhari ya huko ili tusaidiane kwa pamoja katika kuwasaidia hawa wadogo zetu.
Safari yangu kuelekea kinjia hiko juu ilianzia hapa
PSPTB YATANGAZA MATOKEO YA MITIHANI YA MEI 2026: ASILIMIA 43.7 WAFAULU,
DIRISHA LA MITIHANI YA KATI KUFUNGULIWA JULAI 1, 2026
-
Na Janeth Raphael MichuziTv
Bodi ya Kitaaluma ya Ununuzi na Ugavi (PSPTB) imetangaza matokeo ya
mitihani ya 33 ya taaluma ya Mnyororo wa Ugavi iliyofanyik...
2 hours ago
Duh!Mitaa ya simike sijakatiza tokea mwaka 80. Umenikumbusha mbali.
Blogu hii ina ladha ninayoipenda. Kazi nzuri!