NMB yatwaa tuzo baada ya kuikabidhi Serikali gawio la Sh96.9 bilioni-
-
BENKI ya NMB imetunukiwa tuzo ya mchangiaji bora wa gawio baada ya
kuikabidhi Serikali Sh96.9 bilioni, ikiwa ni utambuzi wa mchango wake
katika kuongeza ...
2 hours ago

Huyu bwana anaitwa Laurent Desire Kabila. Mwanaharakati kutoka Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo zamani Zaire.Mwanaharakati huyu alianza harakati za kupigania haki miaka ya sitini na alifanikiwa kuudondosha Utawala wa Mobutu Sese Seko Kuku Ngubendu wa Zabanga zamani Josefu Mobutu.Mwanaharakati huyu aliuawa na mmmoja wa walinzi wake aitwaye Rashid. Mara tu baada ya kifo chake mtoto wake Joseph Kabila alitwaa madaraka ya babaye.