Oryx yatoa mitungi 167 ya gesi kwa watumishi wa afya Kwimba
-
Na Mwandishi Wetu,Kwimba
WATUMISHI wa sekta ya afya katika Wilaya ya Kwimba wamepatiwa nishati safi
ya kupikia ya mitungi mikubwa ya gesi ya Oryx na majiko...
30 minutes ago

Huyu bwana anaitwa Laurent Desire Kabila. Mwanaharakati kutoka Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo zamani Zaire.Mwanaharakati huyu alianza harakati za kupigania haki miaka ya sitini na alifanikiwa kuudondosha Utawala wa Mobutu Sese Seko Kuku Ngubendu wa Zabanga zamani Josefu Mobutu.Mwanaharakati huyu aliuawa na mmmoja wa walinzi wake aitwaye Rashid. Mara tu baada ya kifo chake mtoto wake Joseph Kabila alitwaa madaraka ya babaye.