MIRADI YA CHUMA NJOMBE KUTIKISA UCHUMI, AJIRA MAELFU KUNUKIA LUDEWA
-
*Njombe**Mkoa wa Njombe unatarajiwa kuwa kitovu kipya cha uchumi wa madini
nchini kufuatia uwekezaji mkubwa katika miradi ya uchimbaji na uchakataji
wa m...
9 hours ago

Huyu bwana anaitwa Laurent Desire Kabila. Mwanaharakati kutoka Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo zamani Zaire.Mwanaharakati huyu alianza harakati za kupigania haki miaka ya sitini na alifanikiwa kuudondosha Utawala wa Mobutu Sese Seko Kuku Ngubendu wa Zabanga zamani Josefu Mobutu.Mwanaharakati huyu aliuawa na mmmoja wa walinzi wake aitwaye Rashid. Mara tu baada ya kifo chake mtoto wake Joseph Kabila alitwaa madaraka ya babaye.