Meridianbet Na Udhamini Uliotoa Burudani Kubwa Belgrade
-
Meridianbet imeendelea kujiweka katikati ya matukio makubwa ya michezo
baada ya udhamini mkubwa wa pambano la UFC, lililofanyika Agosti 1, 2026
pale B...
8 hours ago

Huyu bwana anaitwa Laurent Desire Kabila. Mwanaharakati kutoka Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo zamani Zaire.Mwanaharakati huyu alianza harakati za kupigania haki miaka ya sitini na alifanikiwa kuudondosha Utawala wa Mobutu Sese Seko Kuku Ngubendu wa Zabanga zamani Josefu Mobutu.Mwanaharakati huyu aliuawa na mmmoja wa walinzi wake aitwaye Rashid. Mara tu baada ya kifo chake mtoto wake Joseph Kabila alitwaa madaraka ya babaye.