MBUNGE KOOLA ASHIRIKI MASHINDANO YA KUHIFADHI QUR’AN - HIMO
-
VUNJO.
MBUNGE wa Jimbo la Vunjo, Enock Koola amewapongeza walimu wa madrasa kwa
juhudi zao za malezi ya kiroho na maadili kwa watoto na vijana kupitia
...
3 hours ago

Huyu bwana anaitwa Laurent Desire Kabila. Mwanaharakati kutoka Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo zamani Zaire.Mwanaharakati huyu alianza harakati za kupigania haki miaka ya sitini na alifanikiwa kuudondosha Utawala wa Mobutu Sese Seko Kuku Ngubendu wa Zabanga zamani Josefu Mobutu.Mwanaharakati huyu aliuawa na mmmoja wa walinzi wake aitwaye Rashid. Mara tu baada ya kifo chake mtoto wake Joseph Kabila alitwaa madaraka ya babaye.