WATUMISHI WA UMMA WASISITIZWA NIDHAMU NA UADILIFU KATIKA KAZI
-
*Watumishi wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania wakiwa katika picha ya
pamoja mara baada ya kushiriki maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani
‘Mei ...
1 hour ago

Huyu bwana anaitwa Laurent Desire Kabila. Mwanaharakati kutoka Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo zamani Zaire.Mwanaharakati huyu alianza harakati za kupigania haki miaka ya sitini na alifanikiwa kuudondosha Utawala wa Mobutu Sese Seko Kuku Ngubendu wa Zabanga zamani Josefu Mobutu.Mwanaharakati huyu aliuawa na mmmoja wa walinzi wake aitwaye Rashid. Mara tu baada ya kifo chake mtoto wake Joseph Kabila alitwaa madaraka ya babaye.