Wanakijiji nikumbusheni...mnyama huyu huwakilisha nnini kwenye hela yetu?
Unaweza kupagundua mahali hapa? hivi watu wa mipango miji wanajua madhara ya kuruhusu ujenzi wa namna hii?ebu wadau wasilisheni hoja maana kila nikikumbuka kile kilichotokea katika soko la mwanjerwa moyo wangu huruka kichurachura
STANBIC YAHIMIZA UFADHILI UNAONGOZWA NA WAAFRIKA ILI KUFUNGUA FURSA ZA
MIUNDOMBINU BARANI AFRIKA
-
Afrika inapaswa kutumia zaidi mitaji yake ya ndani, kuimarisha ushirikiano
wa kikanda na kukuza masoko ya fedha ya ndani ili kuziba pengo la ufadhili
wa ...
4 hours ago
Aisee hiyo ni noma sasa sijui serikali hii inaongozwa vp jamani