Wanakijiji nikumbusheni...mnyama huyu huwakilisha nnini kwenye hela yetu?
Unaweza kupagundua mahali hapa? hivi watu wa mipango miji wanajua madhara ya kuruhusu ujenzi wa namna hii?ebu wadau wasilisheni hoja maana kila nikikumbuka kile kilichotokea katika soko la mwanjerwa moyo wangu huruka kichurachura
Waziri Kombo Ashiriki Mkutano wa Tisa wa Bahari ya Hindi Mauritius
-
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud
Thabit Kombo ameshiriki Mkutano wa Tisa wa Bahari ya Hindi, unaofanyika
jijini Por...
8 hours ago
Aisee hiyo ni noma sasa sijui serikali hii inaongozwa vp jamani