Wanakijiji nikumbusheni...mnyama huyu huwakilisha nnini kwenye hela yetu?
Unaweza kupagundua mahali hapa? hivi watu wa mipango miji wanajua madhara ya kuruhusu ujenzi wa namna hii?ebu wadau wasilisheni hoja maana kila nikikumbuka kile kilichotokea katika soko la mwanjerwa moyo wangu huruka kichurachura
RAIS SAMIA KUTOA TUZO KWA WALIPAKODI BORA JULAI MOSI 2026 KATIKA HAFLA YA
MIAKA 30 YA TRA
-
* Julai 1, 2026 Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan , Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania atatoa Ramsi Tuzo ya Mlipakodi bora kwa walipakodi waliokidhi
v...
51 minutes ago
Aisee hiyo ni noma sasa sijui serikali hii inaongozwa vp jamani