Wanakijiji nikumbusheni...mnyama huyu huwakilisha nnini kwenye hela yetu?
Unaweza kupagundua mahali hapa? hivi watu wa mipango miji wanajua madhara ya kuruhusu ujenzi wa namna hii?ebu wadau wasilisheni hoja maana kila nikikumbuka kile kilichotokea katika soko la mwanjerwa moyo wangu huruka kichurachura
KAYA 7,816 TANGA ZANUFAIKA NA MPANGO WA BIMA YA AFYA KWA WOTE
-
Na Oscar Assenga,TANGA.
'
Zaidi ya wananchi 20,000 kutoka kaya masikini mkoani Tanga wameanza
kunufaika na mpango wa Bima ya Afya kwa Wote, unaolenga kub...
11 hours ago
Aisee hiyo ni noma sasa sijui serikali hii inaongozwa vp jamani