Wanakijiji nikumbusheni...mnyama huyu huwakilisha nnini kwenye hela yetu?
Unaweza kupagundua mahali hapa? hivi watu wa mipango miji wanajua madhara ya kuruhusu ujenzi wa namna hii?ebu wadau wasilisheni hoja maana kila nikikumbuka kile kilichotokea katika soko la mwanjerwa moyo wangu huruka kichurachura
Wenye uzito uliopitilizwa waitwa kufanyiwa matibabu
-
*Kambi maalum inaanza Jumatatu hadi Septemba 11
Na Mwandishi Wetu
HOSPITALI ya Shifaa Pan African ya Kinondoni jijini Dar es Salaam imeandaa
kambi maa...
2 hours ago
Aisee hiyo ni noma sasa sijui serikali hii inaongozwa vp jamani