Wanakijiji nikumbusheni...mnyama huyu huwakilisha nnini kwenye hela yetu?
Unaweza kupagundua mahali hapa? hivi watu wa mipango miji wanajua madhara ya kuruhusu ujenzi wa namna hii?ebu wadau wasilisheni hoja maana kila nikikumbuka kile kilichotokea katika soko la mwanjerwa moyo wangu huruka kichurachura
RC Sendiga Aongoza Zoezi la Ugawaji Bima ya Afya kwa Kaya Maskini Babati
-
Na Mwandishi Wetu, Manyara.
WANANCHI wa kaya maskini katika Kijiji cha Imbilili, Kata ya Sigino, Wilaya
ya Babati mkoani Manyara, wameanza kunufaika na hud...
10 hours ago
Aisee hiyo ni noma sasa sijui serikali hii inaongozwa vp jamani