Wanakijiji nikumbusheni...mnyama huyu huwakilisha nnini kwenye hela yetu?
Unaweza kupagundua mahali hapa? hivi watu wa mipango miji wanajua madhara ya kuruhusu ujenzi wa namna hii?ebu wadau wasilisheni hoja maana kila nikikumbuka kile kilichotokea katika soko la mwanjerwa moyo wangu huruka kichurachura
JASI YATIKISA SAME
-
*Na Mwandishi Wetu, Same*
*SHUGHULI za uchimbaji wa madini ya Jasi katika vijiji vya Ruvu Jiungeni na
Makanya, wilayani Same mkoani Kilimanjaro, zimee...
1 hour ago
Aisee hiyo ni noma sasa sijui serikali hii inaongozwa vp jamani