Muimbaji mwenye kipaji cha hali ya juu katika anga la muziki wa Injili Tanzania Neema Lyimo amechia kibao chake cha Pokea Sifa. kwa wale watakaohitaji albam ya mwanadada huyu abaye kwa sasa yuko katika mazoezi ya hali ya juu kwa ajili ya maandalizi ya albam hiyo wawasiliane na timu ya blog hii

photo

0 Responses so far.