Rajabu Tenga -mwanafunzi wa chuo kikuu Mzumbe kampas ya Mbeya ambaye amefariki jana jioni baada ya kupigwa risasi na majambazi waliovamia supa maket moja iliyoko jirani na chuo cha Mzumbe.
Taratibu za kuusafirisha mwili wa marehemu kwenda nyumbani kwao Same zinafanyika.
Marehemu Tenga alikuwa mwanafunzi wa mwaka wa pili- digrii ya sheria.
MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALI PEMA PEPONI................................
WANANCHI WAENDELEA KUELIMISHWA UFUGAJI WA NYUKI
-
Wananchi wanaendelea kuelimishwa kuhusu ufugaji wa nyuki kuwa ni fursa
kubwa ya kipato na maisha bora kwani nyuki wanatupa asali yenye thamani
kubwa so...
1 hour ago
0 Responses so far.
Post a Comment