Msanii Mahiri anayetesa katika muziki wa Bongo Fleva nchini Tanzania namzungumzia Timbulo ally ameachia kibao chake kipya cha Sina Makosa na tayari kibao hicho kimeshaanza kufanya vizuuri katika vyombo mbalimbali vya habari zikiwemo radio na mitandao.

photo

1 Response so far.

  1. nampa big up yeye mkali