Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride maalum kabla ya kulihutubia Bunge mjini Dodoma .
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini kwenye kitabu cha Wageni kwenye Ofisi ya Spika wa Bunge,Mh. Anne Makinda (kushoto) huku Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akishuhudia.
Spika wa Bunge Anna Makinda akimaribisha Rais Kikwete kulihutubia Bunge.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akilihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mjini Dodoma.
Rais Wa Zanzibar Dr.Ali Mohamed Shein na Makamu wa Rais Dkt.Mohamed Gharib Bilal wakufuatilia hotuba ya Rais Kikwete kwa makini.
Baadhi ya Wabunge na Mawaziri wakifatilia Hotuba ya Mh. Rais.


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Anna Makinda akimsindikiza Rais Kikwete nje ya Bunge baada ya kulihutubia mjini Dodoma.
Rais wa Muungano wa Jamhuri ya Tanzania ,Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Zanzibar Dkt.Ali Mohamed Shein,Makamu wa Rais Dkt.Mohamed Gharib Bilal na Waziri Mkuu Mizengo Pinda wakiwa katika picha ya Pamoja na Wabunge Baada ya Rais Kulihutubia Bunge mjini Dodoma.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiteta na kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni Mhe.Freeman Mbowe baada ya Rais kulihutubia bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dodoma.
Spika Mstaafu Pius Msekwa, Jaji Mkuu Othman Chande na Makamu wa Rais Dkt.Mohamed Gharib Bilal wakimpongeza Rais Kikwete baada ya kulihutubia Bunge mjini Dodoma.Picha na Freddy Maro.IKULU.

photo ,

0 Responses so far.