Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Dkt. Jasmine Tiisekwa aliyemwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, akikata utepe kama ishara ya kuweka jiwe la msingi la mradi wa maji wa kijiji cha Mseta wilayani Kongwa wakati wa kilele cha maadhiisho ya wiki ya maji Mkoa wa Dodoma Machi 22, 2015.
 Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Dkt. Jasmine Tiisekwa aliyemwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, akiweka jiwe la msingi la mradi wa maji wa kijiji cha Mseta wilayani Kongwa wakati wa kilele cha maadhiisho ya wiki ya maji Mkoa wa Dodoma Machi 22, 2015.
 Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Dkt. Jasmine Tiisekwa aliyemwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, akifungua bomba la maji kama moja ya zoezi lililofanyika wakati wa kuweka jiwe la msingi la mradi wa maji wa kijiji cha Mseta wilayani Kongwa wakati wa kilele cha maadhiisho ya wiki ya maji Mkoa wa Dodoma Machi 22, 2015.
 Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Dkt. Jasmine Tiisekwa aliyemwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, akinawa mikono yake kwa maji safi na salama wakati wa kiongozi huyo akiweka jiwe la msingi la mradi wa maji wa kijiji cha Mseta wilayani Kongwa wakati wa kilele cha maadhiisho ya wiki ya maji Mkoa wa Dodoma Machi 22, 2015.
 Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Dkt. Jasmine Tiisekwa aliyemwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, akimtwisha ndoo ya maji bi. Asha Omary wa kijiji cha Mseta Wilayani Kongwa mara baada ya kiongozi huyo kuweka jiwe la msingi la mradi wa maji ulioanza kuhudumia wananchi kijijini hapo mapema jana (Machi 22,2015) wakati wa kilele cha maadhiisho ya wiki ya maji Mkoa wa Dodoma.
 Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Dkt. Jasmine Tiisekwa aliyemwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, akiwasilisha hotuba yake ya kuhitimisha maadhimisho ya wiki ya maji Mkoani Dodoma yaliyofanyika Kijiji cha Mseta Wilayani Kongwa MACHI 22, 2015.
Baadhi ya Wakazi wa Kijiji cha Mseta Wilayani Kongwa wakiserebuka ngoma za asili wakati wa sherehe za kilele cha wiki ya maji Mkoa wa Dodoma zilizofanyika kijijini hapo Machi 22,2015.

photo

0 Responses so far.