Katika kuendeleza huduma ya Usaidizi wa Kisheria nchini Tanzania Mwanasheria Amani Mwaipaja amekuwa akiendesha vipindi vya Msaada wa Sheria Kwa njia ya Radio ambapo vipindi hivyo husikika live kupitia radio tatu tofauti za mkoani Morogoro ikiwemo Top Radio Fm- 99. 3 fm (Siku ya Jumatano Saa tatu Asubuhi), Radio Ukweli Fm 92.6 fm (Siku ya Jumatatu kuanzia saa tatu usiku na Radio Okoa Fm-106.2 fm (Siku ya Jumapili)

Picha ni Mwanasheria Amani Mwaipaja ambaye ni Mwasisi wa Blog hii akiwa na mwanadada Silvia Chilolo mara baada ya kumaliza kufanya kipindi cha Zijue Sheria ndani ya studio za Top Radio mjini Morogoro


photo

0 Responses so far.