Anaitwa
 Remmy Williams, Mtanzania anayefanya muziki nchini Italy. Remmy Williams amefanya nyimbo 
akiwashirikisha wasanii wa hapa Bongo ambao ni King Ruston, Moses Thomas& Mirror 
Rhymes. 
Nyimbo inaitwa AFRICA, imefanyika katika studio za Overclassic na video ya wimbo wa Africa imefanywa na  Kampuni ya E-media chini mwongozaji NIck Dizo na 
Sama.
Video ya wimbo wa Africa imefanywa katika viunga vya jijini Mwanza



 
 
 
 
 
.png) 
 
 
 
 
 
0 Responses so far.
Post a Comment