Jengo hili linaitwa New Planters,liko jirani na stesheni ya Reli ya Kimamba. Ni moja ya majengo kongwe katika mji wa Kimamba.

Kihistoria jengo hili lilikuwa likimilikiwa na Mgiriki tangu miaka ya 60 ambaye baada ya kufariki aliwaachia urithi wa jengo hili watoto wake wa kiume
Soko la Zamani la Kimamba
 Baadhi ya Makazi ya watu yanavyoonekana

Ofisi ya Stesheni ya Reli Kimamba
Hapa kuna mradi wa mashine ya kusaga na Kukoboa. Ni mradi wa wanakikundi akina mama.upo eneo la Mji mpya-Kimamba

photo

0 Responses so far.