Tanganyika si ndoto tu, ni UKWELI wa kihistoria. Na ukweli unaishi. Unapitia hatua 3. 1. Ukiwekwa mezani hukataliwa, 2. Una gharama, kuwa wakati mwingine mwenye kuusema ajiandae kulipa gharama ya kuusema ukweli. 3. 

Udhihiri, kuwa hata ukifichwa chini ya uvungu wa kitanda kwa miaka 50, iko siku ukweli utatoka hadharani bila kusubiri kuvalishwa viatu. Na uhalali wake uanza kuhesabiwa tangu siku ile ulipokataliwa

photo

0 Responses so far.