Hii ni habari mbaya kwa Taifa lenye sifa ya Amani Tanzania watu wake wamegeuka wanyama na kuchukua maamuzi mikononi.Leo asubuhi basi la kampuni ya Mtei toka Arusha limechomwa moto maeneo ya Njia panda mnadani singida baada ya basi hilo kugonga pikipiki yaani bodaboda na kuua watu watatu Hapo hapo.

photo

0 Responses so far.