Mlima maarufu wa Chamanyani upo katika wilaya ya Morogoro Vijijini. Mlima huu upo njiani kama unaenda vijiji vya Mvuha, Dutumi au Kisaki. Kwa wale walio wahi kupita Mlima Kitonga huufananisha Mlima Chamanyani na Mlima Kitonga kutokana na kuwa na kona nyingi na za hatari. 

Mlima huu ni sehemu ya kivutio  kikubwa kwa wasafiri waendao Morogoro Vijijini. Wenyeji wanadai kuwa Asili ya Jina "Chamanyani" ni kutokana na Mlima huo kuwa na Nyani wengi
Ukarabati wa Miundombinu ukiendelea ndani ya Wilaya ya Morogoro.
Ofisi ya serikali ya Kijijij cha Mtamba kilichopo Matombo Morogoro. Ni mwendo wa dakika 45 tu kutoka Mtamba mpaka kufika Mlima Chamanyani

photo

0 Responses so far.