Hivi karibuni nimepata maoni kupitia email na namba yangu ya simu kutoka kwa wadau mbalimbali wa blog hii kuwa wanapata shida sana katika taratibu za kutuma maoni yao.
Zifuatazo ni hatua muhimu katika kutuma maoni kupitia blog hii
1. Bofya kwenye sehemu iliyoandikwa maoni
2. ikishafunguka bofya tena sehemu iliyoandikwa post a comment
3.Ikifunguka anza kuandika maoni yako
4.Jaza maneno yanayoonekana katika kiboksi (word verification) kisha
5.Chagua sehemu iliyoandikwa anonymous kisha
6.Bofya sehemu iliyoandikwa "publish your comment "
Ukikamilisha taratibu hizi hapo maoni yako yatachapishwa moja kwa moja katika sehemu ya maoni.
Karibu tena....
DC MWEMA AONGOZA KIKAO CHA MAANDALIZI YA MWENGE WA UHURU WILAYANI BABATI
-
*Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Babati na Mkuu wa Wilaya ya Kiteto, Mheshimiwa
Remidius Mwema, leo tarehe 10 Juni 2026, ameongoza kikao maalum cha Kamati
ya...
16 hours ago
0 Responses so far.
Post a Comment