Hivi karibuni nimepata maoni kupitia email na namba yangu ya simu kutoka kwa wadau mbalimbali wa blog hii kuwa wanapata shida sana katika taratibu za kutuma maoni yao.
Zifuatazo ni hatua muhimu katika kutuma maoni kupitia blog hii
1. Bofya kwenye sehemu iliyoandikwa maoni
2. ikishafunguka bofya tena sehemu iliyoandikwa post a comment
3.Ikifunguka anza kuandika maoni yako
4.Jaza maneno yanayoonekana katika kiboksi (word verification) kisha
5.Chagua sehemu iliyoandikwa anonymous kisha
6.Bofya sehemu iliyoandikwa "publish your comment "
Ukikamilisha taratibu hizi hapo maoni yako yatachapishwa moja kwa moja katika sehemu ya maoni.
Karibu tena....
Rais na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan
apiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM...
33 minutes ago
0 Responses so far.
Post a Comment