Remigius Komba a.k.a Reyme K -Chief photographer wa Blog hii akiwaza kwa makini jinsi ya kuweza kuiboresha zaidi blog hii kwa picha zenye ubora na kiwango cha hali ya juu.Mshikaji ni mwanafunzi wa mwaka wa pili Digrii ya sheria chuo kikuu Mzumbe.
Sio siri jamaa anatisha sana katika maswala ya photos...michuzi upo?ana ma skilz kibao katika maswala ya production za muziki,picha na kompyuta.
Kwa taarifa yako...picha zote unazoziona humu ni kazi ya mikono yake Reyme K.
SERIKALI YAWEZESHA HUDUMA ZA POSTA KIDIJITALI KUPITIA VIFAA VYA TEHAMA
KUTOKA UCSAF
-
▪️ Postamasta Mkuu aahidi kusambaza vifaa hivyo katika mikoa yote ya Posta
nchini
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry Silaa, amese...
3 hours ago
0 Responses so far.
Post a Comment