Hili ni ziwa masoko..ni moja kati ya maziwa machache yenye maajabu na historia ya pekee kama ile ya Ziwa kisiba....watu mbalimbali hufika kuangalia mandhari ya ziwa hili lililozungukwa na milima.


2 Responses so far.

  1. Nimepitia hapa leo na kuona uzuri wa nyumbani. Nyumbani ni nyumbani.
    Tegemea meni mwingine wa kila siku.

  2. asante sana bwana mloy kwa kupitia na kusifia uzuri wa nyumbani...nawakaribisha wadau wote kupitia nyumbani kwani muda mfupi tu chakula kitakuwa tayari