Hili ndilo daraja laMungu lililoko mbele kidogo ya Kiwira.Hapo zamani daraja hili lilikuwa na maajabu ya pekee.Siwezi kueleza maajabu yote lakini hiko kidaraja unachokiona hapo hakijawahi kujaa hata siku moja hata mafuriko yawe makubwa kiasi gani...
Haya ndiyo maporomoko ya Kaporogwe...kwa kidhungu wanasema ..Kaporogwe falls
Mto Kiwira
WAJUMBE WANNE BARAZA LA KATA MSITU WA TEMBO SIMANJIRO KORTINI KWA RUSHWA
-
Na Mwandishi wetu, Simanjiro
WAJUMBE wanne wa baraza la ardhi la kata ya Msitu wa Tembo Wilayani
Simanjiro Mkoani Manyara, wamefikishwa mahakamani kwa ...
2 minutes ago
0 Responses so far.
Post a Comment