Hili ndilo daraja laMungu lililoko mbele kidogo ya Kiwira.Hapo zamani daraja hili lilikuwa na maajabu ya pekee.Siwezi kueleza maajabu yote lakini hiko kidaraja unachokiona hapo hakijawahi kujaa hata siku moja hata mafuriko yawe makubwa kiasi gani...
Haya ndiyo maporomoko ya Kaporogwe...kwa kidhungu wanasema ..Kaporogwe falls
Mto Kiwira
UBUNIFU WA KISAYANSI SUA WAMVUTIA MHE. PINDA NANENANE 2025
-
Farida Mangube, Morogoro
Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Mizengo Pinda, ametembelea banda la Chuo Kikuu
cha Sokoine cha Kilimo (SUA) katika Maonesho ya Nanena...
16 minutes ago
0 Responses so far.
Post a Comment