Hili ndilo daraja laMungu lililoko mbele kidogo ya Kiwira.Hapo zamani daraja hili lilikuwa na maajabu ya pekee.Siwezi kueleza maajabu yote lakini hiko kidaraja unachokiona hapo hakijawahi kujaa hata siku moja hata mafuriko yawe makubwa kiasi gani...
Haya ndiyo maporomoko ya Kaporogwe...kwa kidhungu wanasema ..Kaporogwe falls
Mto Kiwira
SERIKALI KUJENGA KITUO CHA KUPOZA UMEME NA SWITCHING STATION SONGWE- MHE.
KAPINGA
-
-- Lengo ni kuimarisha upatikanaji umeme mkoani Songwe
--- Uboreshaji wa miundombinu ya umeme unaendelea
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesem...
6 hours ago
0 Responses so far.
Post a Comment