Hili ndilo daraja laMungu lililoko mbele kidogo ya Kiwira.Hapo zamani daraja hili lilikuwa na maajabu ya pekee.Siwezi kueleza maajabu yote lakini hiko kidaraja unachokiona hapo hakijawahi kujaa hata siku moja hata mafuriko yawe makubwa kiasi gani...
Haya ndiyo maporomoko ya Kaporogwe...kwa kidhungu wanasema ..Kaporogwe falls
Mto Kiwira
WANANCHI WAENDELEA KUELIMISHWA UFUGAJI WA NYUKI
-
Wananchi wanaendelea kuelimishwa kuhusu ufugaji wa nyuki kuwa ni fursa
kubwa ya kipato na maisha bora kwani nyuki wanatupa asali yenye thamani
kubwa so...
1 hour ago
0 Responses so far.
Post a Comment