RAIS DKT. SAMIA AKIFUNGUA MRADI WA MAJI WA BUTIMBA NA KUZUNGUMZA NA WANANCHI
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akizindua mradi wa maji Butimba mkoani Mwanza tarehe 20 Juni, 2025. mradi
huu wa...
13 minutes ago
Mandhali ya Rungwe huwa yananiacha hoi, kama nikifanikiwa kuwa na pesa nzuri lazima nitarudi kukaa Rungwe, si nyumbani kwetu ila nimetokea kuipenda san aardhi yake, ina kila kitu!!! na bado unashangaa nchi ni maskini. OMG! Tunahitaji msaada mkubwa.