TotalEnergies kutoa tuzo kwa makampuni wakati wa kuadhimisha Miaka 100
-
TotalEnergies imeanzisha tena shindano lake la makampuni machanga ambapo
inalenga kutoa tuzo kwa wajasiriamali 100 kutoka Afrika.
Shindano la mwaka huu, ...
1 hour ago
Mandhali ya Rungwe huwa yananiacha hoi, kama nikifanikiwa kuwa na pesa nzuri lazima nitarudi kukaa Rungwe, si nyumbani kwetu ila nimetokea kuipenda san aardhi yake, ina kila kitu!!! na bado unashangaa nchi ni maskini. OMG! Tunahitaji msaada mkubwa.