PINDA ATAKA HAKI MCHAKATO WA WAGOMBEA
-
Na Oscar Assenga,TANGA
WAZIRI Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM)
Taifa Mizengo Pinda amehimiza viongozi waliopewa dhamana...
8 hours ago
Mandhali ya Rungwe huwa yananiacha hoi, kama nikifanikiwa kuwa na pesa nzuri lazima nitarudi kukaa Rungwe, si nyumbani kwetu ila nimetokea kuipenda san aardhi yake, ina kila kitu!!! na bado unashangaa nchi ni maskini. OMG! Tunahitaji msaada mkubwa.