UBUNIFU WA KISAYANSI SUA WAMVUTIA MHE. PINDA NANENANE 2025
-
Farida Mangube, Morogoro
Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Mizengo Pinda, ametembelea banda la Chuo Kikuu
cha Sokoine cha Kilimo (SUA) katika Maonesho ya Nanena...
22 minutes ago
Mandhali ya Rungwe huwa yananiacha hoi, kama nikifanikiwa kuwa na pesa nzuri lazima nitarudi kukaa Rungwe, si nyumbani kwetu ila nimetokea kuipenda san aardhi yake, ina kila kitu!!! na bado unashangaa nchi ni maskini. OMG! Tunahitaji msaada mkubwa.