Siku soko la mwanjelwa lilipokumbwa na zahama ya moto..kama ilivyo kawaida yetu...matukio ya hatari kama haya yanapotokea huwa hatubaki nyuma katika kushuhudia...ingawa ilikuwa ni usiku lakini watu kibao kutoka pande mbalimbali za jiji la mbeya walikusanyika kama unavyowaona hapa
WAZIRI MKUU AKUTANA NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI COMORO
-
*Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Balozi wa Tanzania nchini
Comoro, Said Othman Yakubu kwenye ukumbi wa Spika, bungeni jijini Dodoma,
Mei 9, ...
4 minutes ago
0 Responses so far.
Post a Comment