Siku soko la mwanjelwa lilipokumbwa na zahama ya moto..kama ilivyo kawaida yetu...matukio ya hatari kama haya yanapotokea huwa hatubaki nyuma katika kushuhudia...ingawa ilikuwa ni usiku lakini watu kibao kutoka pande mbalimbali za jiji la mbeya walikusanyika kama unavyowaona hapa
Mwenyekiti wa CCM na Rais Dkt.Samia Suluhu Hassani aongoza kikao cha
Halmashuri Kuu ya CCM Taifa
-
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassani akiongoza kikao cha Halmashuri Kuu ya CCM
Taifa...
50 minutes ago
0 Responses so far.
Post a Comment