Siku soko la mwanjelwa lilipokumbwa na zahama ya moto..kama ilivyo kawaida yetu...matukio ya hatari kama haya yanapotokea huwa hatubaki nyuma katika kushuhudia...ingawa ilikuwa ni usiku lakini watu kibao kutoka pande mbalimbali za jiji la mbeya walikusanyika kama unavyowaona hapa
Tafiti za Kiafya Sasa Kunufaisha Jamii
-
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS)
Prof. Appolinary Kamuhabwa akizungumza wakati akifunga Kongamano la 13 la
Kis...
7 minutes ago
0 Responses so far.
Post a Comment