Siku soko la mwanjelwa lilipokumbwa na zahama ya moto..kama ilivyo kawaida yetu...matukio ya hatari kama haya yanapotokea huwa hatubaki nyuma katika kushuhudia...ingawa ilikuwa ni usiku lakini watu kibao kutoka pande mbalimbali za jiji la mbeya walikusanyika kama unavyowaona hapa
WADAI 100 KUONGEZWA KWENYE HATI YA MASHTAKA YA DKT. MANGURUWE
-
UPANDE wa Mashtaka katika kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili Mkurugenzi
Mtendaji wa Kampuni ya Vanilla International, Simon Mkondya maarufu Dkt.
Mangur...
40 minutes ago
0 Responses so far.
Post a Comment